chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,309
- 45,109
Huyu hapa mwamba anachekelea baada ya kupokea msaasa wa ugali toka Ukraine, njaa haitambui vita
View attachment 2488679
Anatekeleza policy yake 😂😂😂😂
Huyu hapa mwamba anachekelea baada ya kupokea msaasa wa ugali toka Ukraine, njaa haitambui vita
View attachment 2488679



Hii takataka si chochote kwa standard za JNIA..It is dope man..., Makapuku wa South watangoja sana🔥🔥🔥🔥🔥🔥
![]()
![]()
![]()
So kwa hizi akili zako uchwara mko level moja na China? Kenya sio wenzenu jua hivyo😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Nimekuuliza unajua hilo?
Maana China yupo kwenye kundi letu pia.
Hebu tuambie ni nchi ngapi hapa Africa middle income nchi zao zinanjaa?So kwa hizi akili zako uchwara mko level moja na China? Kenya sio wenzenu jua hivyo😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Banda la kuku with cosmetics aka mabati Godown eti?😂😂😂😂😂😂😂😂Hii takataka si chochote kwa standard za JNIA..
A massive 6-Lanes 3km bridge across Lake Victoria..
magufuli Bridge - one of the longest in the continent
The only difference between these two pictures is JKIA ni jengo la duara while JNIA ni jengo mstatili ..Banda la kuku with cosmetics aka mabati Godown eti?😂😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 2488870
ndio ufananishe na hii complex..., JKIA ikiwa Tz itakua a town hivi, Baba levo ka kawaelezea alicho shuhudia bado unabweka bweka humu 😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 2488874
Ni nchi ngapi hapa Africa za LOWER Middle income zimetajwa kukuwa na watu wengi fukara wa kutupwa kando na Nigeria?Hebu tuambie ni nchi ngapi hapa Africa middle income nchi zao zinanjaa?
Kalilie kwa choo, hauna lolote wewe, ni domo domo tu nimekuzoea kilaza...,The only difference between these two pictures is JKIA ni jengo la duara while JNIA ni jengo mstatili ..
Unajua maana ya neno highway kweli wewe? semi-illiterate😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Hii nayo ni highway? View attachment 2488793
Huna cha kujitetea na ndio mana ulitafuta hizo picha za juu .. ukasahau kwamba ulianzisha disc kwa picha za ndani ya jengo. Wewe ni mfa majiKalilie kwa choo, hauna lolote wewe, ni domo domo tu nimekuzoea kilaza...,
Huoni hata aibu. Shenzi typeBanda la kuku with cosmetics aka mabati Godown eti?😂😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 2488870
ndio ufananishe na hii complex..., JKIA ikiwa Tz itakua a town hivi, Baba levo ka kawaelezea alicho shuhudia bado unabweka bweka humu 😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 2488874
Hana haya huyo jamaaHuoni hata aibu. Shenzi type
Unaleta Taarifa wakati Tanzania ikiwa LDC. Leta Taarifa za sasa. Si unajua sisi ni middle income country. Au umesahau?Ni nchi ngapi hapa Africa za LOWER Middle income zimetajwa kukuwa na watu wengi fukara wa kutupwa kando na Nigeria?
View attachment 2488876
Ni hivyo hivyo ndio North korea inaamini USA wako, na nyie ndio North Korea hapa Africa, mlikua mmekandamiza vyombo vya habari ili kueneza propaganda na kuficha ukweli, sasa tumewaumbua na kuanika kila kitu mnatapatapa mkijaribu kutafuta pakutokea na kujiliwaza tu..., google earth, World Bank, Knight Frank, IMF, CoG, your TBS na kadhalika zimewamulika, na pia Mama Samia wa dini mpenda ukweli..., hamuna lenu nyie, jikubalini tu, hadi raha hamtudanganyi kamwe😂😂😂😂😂😂Hawana akili kabisa, akili yao ipo corrupted kuhusu Tanzania ni kama wananchi wa kawaida wa USA wanavyoichukulia North Korea wanaona ni nchi moja mbovu mno watu wanakufa njaa, hakuna barabara, hakuna chakula, hakuna umeme, hakuna maisha kabisa mostly ukiangalia documentaries za USA kuhusu North Korea ndiyo image inazoonesha kuhusu North Korea ila ukifuatilia North Korea kwenyewe ni mambo 100 tofauti!
Ni hivi karibuni tu nilishangaa mkenya haamini kama Tanzania kuna watu wanajua kuzungumza kabisa English, wengi wao wanaamini hakuna mtanzania yeyote anajua kuzungumza English, Mwingine haamini kama Tanzania kuna barabara nyingi za lami za mikoani 😅😅😅
Akikuletea unistue, niko paleeUnaleta Taarifa wakati Tanzania ikiwa LDC. Leta Taarifa za sasa. Si unajua sisi ni middle income country. Au umesahau?
Sasa leta list ya nchi zilizopo Middle Income watu wake wanakufa na njaa.