Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa arusha ukijenga majengo marefu mengi sana utaharibu maandhari ya utalii, hicho kiwanja kinahitaji garden la maana kuuzunguka uwanja, utavutia sana kuliko kukimbilia kuweka mijengo.
Hapana hii ni ideology ya watu wa kitaambo. Saiv ukijinga majengo marefu kwa mji caliber ya Arusha unaifanya ipendeze zaidi. Ngoja nikupe mfano. Hii apo vancouver city.
IMG_4099.jpeg
 
Back
Top Bottom