Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,911
- 103,771
😂😂 Mna shida kweliSema nini huu uwanja wakimaliza kuuezeka hakuna takataka yoyote ya kutia pia hapa, ukanda mzima huu. 👇🏾View attachment 3571188View attachment 3571187View attachment 3571189washaanza kuezeka. Ndani ya mwezi mmoya mzigo utakua na maganda yake, na hapo tutakua tumewakata ngebe wakunya. Mana hiyo exterior design ya huu uwanja ni out of this continent of Africa.
Hapana hii ni ideology ya watu wa kitaambo. Saiv ukijinga majengo marefu kwa mji caliber ya Arusha unaifanya ipendeze zaidi. Ngoja nikupe mfano. Hii apo vancouver city.Kwa arusha ukijenga majengo marefu mengi sana utaharibu maandhari ya utalii, hicho kiwanja kinahitaji garden la maana kuuzunguka uwanja, utavutia sana kuliko kukimbilia kuweka mijengo.
sasa ingekua moshi pale na kale kaview cha kilimanjaroHapana hii ni ideology ya watu wa kitaambo. Saiv ukijinga majengo marefu kwa mji caliber ya Arusha unaifanya ipendeze zaidi. Ngoja nikupe mfano. Hii apo vancouver city. View attachment 3571454