Jana nilikuwa naongea na mdogo wangu mmoja aliyekuwa anadhani Bongo ni kubaya sana, sasa kapata nafasi ya kutoka na kapiga ziara nchi nne za Afrika, kaenda Kenya, South Afrika, Eswatini na Mozambique, karudi na picha tofauti sana kuhusu UKUU wa Bongo, ila kuna nchi mbili alizitaja kama zina common denominator ya uchafu na watu wa kwenye majiji yao makuu ambayo ni Nairobi na Maputo kukosa nuru kwenye nyuso zao, anasema literally kuna maeneo walikuwa wanatembea wameziba pua…….alishangaa sana, nikamwambia welcome to our world, ukiambiwa uko katika nchi nzuri usichukulie poa, kuna sababu why hata tunapata wageni wengi, usidhani nchi zingine hazina vivutio, shida ni hazivutii wala hazikaliki.