Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unaleta Taarifa wakati Tanzania ikiwa LDC. Leta Taarifa za sasa. Si unajua sisi ni middle income country. Au umesahau?
Sasa leta list ya nchi zilizopo Middle Income watu wake wanakufa na njaa.
Sasa ndio usiseme, maana hali imekua mbaya duniani, mtakua vipi nyie?.., soma bwana wacha kukurupuka, tumia common sense angalau, hekaya za vijiweni uselete humu zezeta...,
 
Sasa ndio usiseme, maana hali imekua mbaya duniani, mtakua vipi nyie?.., soma bwana wacha kukurupuka, tumia common sense angalau, hekaya za vijiweni uselete humu zezeta...,
Sasa tuongee ukweli. Kenya ni middle income country au Middle Finger Country?

1674220121027.png
 
I see no beauty to compare to JNIA terminal 3 . Tulia tu mzee
Nchi ya City moja, CBD moja, Terminal 3 moja ya maana, alafu uswazi ndio wimbo, pole tafuta size yako, usipandwe na pressure bure dogo, umeanza kuumwa naona, jiondoe mapema wewe, sina huruma mie, utahara humu 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Nchi ya City moja, CBD moja, Terminal 3 moja ya maana, alafu uswazi ndio wimbo, pole tafuta size yako, usipandwe na pressure bure dogo, umeanza kuumwa naona, jiondoe mapema wewe, sina huruma mie, utahara humu 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Kenya haina hata City. Kenya kuna Sit tu. 🤣 🤣 🤣
 
Nchi ya City moja, CBD moja, Terminal 3 moja ya maana, alafu uswazi ndio wimbo, pole tafuta size yako, usipandwe na pressure bure dogo, umeanza kuumwa naona, jiondoe mapema wewe, sina huruma mie, utahara humu 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Hujiskii vibaya kila siku unaimba wimbo huo huo ..?
 
Ukweli lazima ukuingie hadi kwa mishipa, hautakimbia, I will rub it on your face hadi basi 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Unajiskia lakini.? Tz

Iko na international airports zenye hadhi 3 ambazo zote ni operational
1.JNIA terminal 3
2.Zanzibar terminal 3
3.KIA

Mbili zipo under construction na zote zina hadhi na quality and they ar of modern days facilities .

1.Msalato international airport U/C
2.Mwanza international airport U/C

Sasa ndio uniumize kichwa wewe .? 🤣🤣🤣 Mko na JKIA moja tu ndio airport nzuri pekee tajika.. hizo zingine ni vituko
 
Huoni hata aibu. Shenzi type
Hana haya huyo jamaa
Ukweli huwa inawamaliza nguvu, hamutaki kuona hii👇 tatizo ilianzia hapa 👇kwa dogo, poleni nendeni JKIA muufute kabisa 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Kufeni mjizike mtapona😝😝🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 kuweni na subra na Mama Samia pengine na yeye atawajengea Terminal nyingine ya maana muwe angalau na mbili😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
1674221399854.png

1674221341954.png

1674221353987.png

1674221461444.png

1674221474287.png

1674221493662.png

1674221514698.png
 
Unajiskia lakini.? Tz

Iko na international airports zenye hadhi 3 ambazo zote ni operational
1.JNIA terminal 3
2.Zanzibar terminal 3
3.KIA

Mbili zipo under construction na zote zina hadhi na quality and they ar of modern days facilities .

1.Msalato international airport U/C
2.Mwanza international airport U/C

Sasa ndio uniumize kichwa wewe .? 🤣🤣🤣 Mko na JKIA moja tu ndio airport nzuri pekee tajika.. hizo zingine ni vituko
JNIA terminal ni moja, mengine ni viosk ndani ya Airport, kama tu vile in Tanzania city ni moja yenye CBD ka moja, mengine ni vijiji...,
 
Ukweli huwa inawamaliza nguvu, hamutaki kuona hii👇 tatizo ilianzia hapa 👇kwa dogo, poleni nendeni JKIA muufute kabisa 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Kufeni mjizike mtapona😝😝🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 kuweni na subra na Mama Samia pengine na yeye atawajenga Terminal nyingine ya maana muwe angalau na mbili😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 2488916
View attachment 2488913
View attachment 2488914
View attachment 2488917
View attachment 2488918
View attachment 2488919
View attachment 2488920
🤣🤣🤣🤣🤣 Hii ni takataka mzee kwa JNIA world class facility.. hii deco inakaa residential apartment ..
 
Kuna vid moja ya DODOMA (mji wa serikali) niliiona kwenye post ya kampuni fulani ya kuuza viwanja.. duh kumeendelea sana DOM . wenye wivu watakufa mwaka huu .. nitaitafuta nipost humu
Leta haraka.., ukikosa nikusaidie na Goodle Earth 3D views za Dom yoote..., dunia ya leo haitaki kelele na kiherehere, kua mpole hakuna sehemu siwezi kufika in Tanzania 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom