Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni kweli hatuko kwenye level moja, tunawazidi kwenye vyote, uchumi karibia mara mbili yenu.....licha ya kainchi ketu kuwa kadogo na zaidi ya nusu ni kame tupu, hauwezi kupewa vyote, nyie mumepewa raslimali mkanyimwa akili, sisi tukakosa raslimali ila tukapewa ubongo.
Unaongea lkn ukiwa hujiamini kwa ss tofauti na ilivyokuwa kipindi kile battle inaanza, kitu pekee unachojivunua ni paper GDP ya kutengeneza lkn ground tumewazidi vyote, kwa ss hakuna infrastructure ipo Kenya isiwepo Tz lkn kuna infrastructures kibao zipo Tz huwezi pata East and Central Africa na bado tunazidi kujenga nyingine nyingi ambazo nyie kwenu ni ndoto kuwa nazo kutokana na umaskini mlio nao.

Hakuna kitu chochote kinachoweza kukupa guts za kujiweka level moja na Tz kwa sasa, tuna airports nyingi na za kisasa kuliko nyie, tuna tuna barabara quality kuliko nyie, tuna madaraja ya kisasa zaidi kuliko nyie, tuna hospitals za kisasa zaidi kuliko nyie, tuna reli ya kisasa ambayo ni ndoto kwa nchi zote za East and Central Africa, hatuna ma slums kama nyie, tuna rate ndogo ya unemployed population zaidi yenu, tunajitosheleza kwa chakula, tuna mabwawa ya umeme mengi na makubwa zaidi yenu, tuna meli nyingi na kubwa zaidi yenu, tuna bus terminals nyingi zaidi yenu yn nikianza ku mention hapa sitamaliza mapema so hivi ndio vitu vinawanyima usingizi na kuwafanya muwe inferior over Tz kwa sasa na bado tunaendelea kuongeza gape cause we are the rich country over you, hayo mambo cjui mlikosa mali sisi hayatuhusu

Eti mna akili zen nchi yenu yote imejaa matakataka namna hiyo labda akili ya chooni kutembea na mbolea matakoni ndio unaongelea hapa
 
Unaongea lkn ukiwa hujiamini kwa ss tofauti na ilivyokuwa kipindi kile battle inaanza, kitu pekee unachojivunua ni paper GDP ya kutengeneza lkn ground tumewazidi vyote, kwa ss hakuna infrastructure ipo Kenya isiwepo Tz lkn kuna infrastructures kibao zipo Tz huwezi pata East and Central Africa na bado tunazidi kujenga nyingine nyingi ambazo nyie kwenu ni ndoto kuwa nazo kutokana na umaskini mlio nao.

Hakuna kitu chochote kinachoweza kukupa guts za kujiweka level moja na Tz kwa sasa, tuna airports nyingi na za kisasa kuliko nyie, tuna tuna barabara quality kuliko nyie, tuna madaraja ya kisasa zaidi kuliko nyie, tuna hospitals za kisasa zaidi kuliko nyie, tuna reli ya kisasa ambayo ni ndoto kwa nchi zote za East and Central Africa, hatuna ma slums kama nyie, tuna rate ndogo ya unemployed population zaidi yenu, tunajitosheleza kwa chakula, tuna mabwawa ya umeme mengi na makubwa zaidi yenu, tuna meli nyingi na kubwa zaidi yenu, tuna bus terminals nyingi zaidi yenu yn nikianza ku mention hapa sitamaliza mapema so hivi ndio vitu vinawanyima usingizi na kuwafanya muwe inferior over Tz kwa sasa na bado tunaendelea kuongeza gape cause we are the rich country over you, hayo mambo cjui mlikosa mali sisi hayatuhusu

Eti mna akili zen nchi yenu yote imejaa matakataka namna hiyo labda akili ya chooni kutembea na mbolea matakoni ndio unaongelea hapa

 
20230121_063704.jpg
 
Tumekua wapweke sana kwenye hiyo ramani, tumezungukwa na mivivu ya kufa mtu, unakuta nchi kubwa kama Tanzania tunaizidi mara mbili kiuchumi.
KENYA inazidi Tanzania mara mbili kiuchumi na wana population kubwa kutushinda
 
Unaongea lkn ukiwa hujiamini kwa ss tofauti na ilivyokuwa kipindi kile battle inaanza, kitu pekee unachojivunua ni paper GDP ya kutengeneza lkn ground tumewazidi vyote, kwa ss hakuna infrastructure ipo Kenya isiwepo Tz lkn kuna infrastructures kibao zipo Tz huwezi pata East and Central Africa na bado tunazidi kujenga nyingine nyingi ambazo nyie kwenu ni ndoto kuwa nazo kutokana na umaskini mlio nao.

Hakuna kitu chochote kinachoweza kukupa guts za kujiweka level moja na Tz kwa sasa, tuna airports nyingi na za kisasa kuliko nyie, tuna tuna barabara quality kuliko nyie, tuna madaraja ya kisasa zaidi kuliko nyie, tuna hospitals za kisasa zaidi kuliko nyie, tuna reli ya kisasa ambayo ni ndoto kwa nchi zote za East and Central Africa, hatuna ma slums kama nyie, tuna rate ndogo ya unemployed population zaidi yenu, tunajitosheleza kwa chakula, tuna mabwawa ya umeme mengi na makubwa zaidi yenu, tuna meli nyingi na kubwa zaidi yenu, tuna bus terminals nyingi zaidi yenu yn nikianza ku mention hapa sitamaliza mapema so hivi ndio vitu vinawanyima usingizi na kuwafanya muwe inferior over Tz kwa sasa na bado tunaendelea kuongeza gape cause we are the rich country over you, hayo mambo cjui mlikosa mali sisi hayatuhusu

Eti mna akili zen nchi yenu yote imejaa matakataka namna hiyo labda akili ya chooni kutembea na mbolea matakoni ndio unaongelea hapa
Hawa watu wako group moja na Nigerians kwa akili zao za kitapeli kuanzia kwenye economic data mpaka kwenye corruption na propaganda za kiboya. Hiyo ndio akili anayozungumzia MK254 kwa tuliosoma Cuba tumeshamuelewa
 
Back
Top Bottom