Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umepata somo, tafuta wenzenu sio Kenya kabisaaa.., Kiswahili pelekea wa vijiweni wenzako.., nimekunyonga kabisa, wewe sio mzima tena, raha tele 😜😂😂😂,
Hakuna kitu chochote mnachotuzidi nyie kondoo.. we are building the entire City of DODOMA..
Na miradi kama
1. government City
2. msalato international airport
3. DODOMA outer ring road 100+ kms
4. Bus terminus+ Biggest market central zone Tz
5. DODOMA inner ring road
6. Water diversion project (From lake Victoria Mwanza -Dodoma)
7. TBA nyumba 3000 project
8. NHC 1500 housing project
9. Watumishi housing project

Hii ni kwa DODOMA tu .. 🤣🤣🤣🤣 miradi yote ipo U/C .. 👇
Screenshot_20230118-194052_1.jpg
Screenshot_20230118-194130_1.jpg
.. sitaji miradi inayojengwa DAR wala Mwanza.. wala sitaji miradi mikubwa ya kimkakati ya kitaifa.. 🤣🤣.. then nataka uambie hadhira hapa mnaizidi Tz kwenye nini.?
 
Hakuna kitu chochote mnachotuzidi nyie kondoo.. we are building the entire City of DODOMA..
Na miradi kama
1. government City
2. msalato international airport
3. DODOMA outer ring road 100+ kms
4. Bus terminus+ Biggest market central zone Tz
5. DODOMA inner ring road
6. Water diversion project (From lake Victoria Mwanza -Dodoma)
7. TBA nyumba 3000 project
8. NHC 1500 housing project
9. Watumishi housing project

Hii ni kwa DODOMA tu .. 🤣🤣🤣🤣 miradi yote ipo U/C .. 👇View attachment 2489258View attachment 2489259.. sitaji miradi inayojengwa DAR wala Mwanza.. wala sitaji miradi mikubwa ya kimkakati ya kitaifa.. 🤣🤣.. then nataka uambie hadhira hapa mnaizidi Tz kwenye nini.?
Na kuna miradi ya mall pia usisahau kuna kiwanda kikubwa cha cement kinajengwa na kuna mradi mkubwa sana wa bwawa la farkwa
 
Hakuna kitu chochote mnachotuzidi nyie kondoo.. we are building the entire City of DODOMA..
Na miradi kama
1. government City
2. msalato international airport
3. DODOMA outer ring road 100+ kms
4. Bus terminus+ Biggest market central zone Tz
5. DODOMA inner ring road
6. Water diversion project (From lake Victoria Mwanza -Dodoma)
7. TBA nyumba 3000 project
8. NHC 1500 housing project
9. Watumishi housing project

Hii ni kwa DODOMA tu .. 🤣🤣🤣🤣 miradi yote ipo U/C .. 👇View attachment 2489258View attachment 2489259.. sitaji miradi inayojengwa DAR wala Mwanza.. wala sitaji miradi mikubwa ya kimkakati ya kitaifa.. 🤣🤣.. then nataka uambie hadhira hapa mnaizidi Tz kwenye nini.?
 
Don YF njoo hapa upate mateso .. ona vile The brand new government City inavyong'ara .. safiii kiboko ya takataka zote East Africa .
 
2012!! ujinga peleka vijiweni.., unajua hii ni youtube ya mwaka gani wewe mwehu? ukweli mchungu, imekutesa moyoni
View attachment 2488745
View attachment 2488744
View attachment 2488743
View attachment 2488742
View attachment 2488738
View attachment 2488739
View attachment 2488740

Ama kwa sasa mmejenga appartments and organized residentials kama Nairobi? siku ile mtafika hizi levels ikija mitaa za kawaida nitag please bila wasi wasi wowote, nitawapongeza roho safi..,
View attachment 2488747
View attachment 2488748
View attachment 2488749
View attachment 2488750
Ma estate yenu yamekaa hovyo hovyo sn, cku hz estate hazijengwi kama shule namna hiyo msee, yamerundikana sehemu moja hakuna hewa yn hovyo sn.
 
2012!! ujinga peleka vijiweni.., unajua hii ni youtube ya mwaka gani wewe mwehu? ukweli mchungu, imekutesa moyoni
View attachment 2488745
View attachment 2488744
View attachment 2488743
View attachment 2488742
View attachment 2488738
View attachment 2488739
View attachment 2488740

Ama kwa sasa mmejenga appartments and organized residentials kama Nairobi? siku ile mtafika hizi levels ikija mitaa za kawaida nitag please bila wasi wasi wowote, nitawapongeza roho safi..,
View attachment 2488747
View attachment 2488748
View attachment 2488749
View attachment 2488750
Angalia huu uchafu mazeee
tapatalk_-673807102_703x460.jpg
tapatalk_-1359061174_712x449.jpg
tapatalk_-901343475_711x492.jpg
tapatalk_-1306347544_362x241.jpg
 
Hawana akili kabisa, akili yao ipo corrupted kuhusu Tanzania ni kama wananchi wa kawaida wa USA wanavyoichukulia North Korea wanaona ni nchi moja mbovu mno watu wanakufa njaa, hakuna barabara, hakuna chakula, hakuna umeme, hakuna maisha kabisa mostly ukiangalia documentaries za USA kuhusu North Korea ndiyo image inazoonesha kuhusu North Korea ila ukifuatilia North Korea kwenyewe ni mambo 100 tofauti!

Ni hivi karibuni tu nilishangaa mkenya haamini kama Tanzania kuna watu wanajua kuzungumza kabisa English, wengi wao wanaamini hakuna mtanzania yeyote anajua kuzungumza English, Mwingine haamini kama Tanzania kuna barabara nyingi za lami za mikoani
Hiyo ilikuwa zamani, cku hz sisi Watz ndio hatuamini kama Kenya kuna maisha mazuri wala hatuamini kama Kenya kuna miji mizuri kama bongo, hasa mm siamini kabisa kama Wakenya wanaenjoy maisha kama sisi, huwa nashangaa nkiona mkenya anajivunia Kenya mbele ya Tz yn naona kama anatania aisee. Mm huku kwetu mtaani mtu akikuomba hela ukimjibu kama Kenya mwanangu yn maana yake huna kitu ni njaa tupu.
 
Back
Top Bottom