Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umeshindwa kujibu swali langu unaleta mbwembwe.
Kwanini unaogopa kujibu swali?
Hizo DMUs zenu zinatoka wapi kuelekea wapi?
Sikuachi, uligeuza swali ulipopata jibu, unajaribu kujiepusha aibu, nyambaff.., nimekuonyesha many stations za DMU, yaani unataka nimege nikulishe na nikusaidie kumeza, nyambaff,., Tanzania kungekua na jibu ungesha post.., kwenda kabisa., Size yenu Mombasa na ni kiasi kidogo sana, gorofa tatu, cable stayed bridges na ka BRT,.., makazi ya raiya Mombasa bingwa.., tukome sisi sio wenzenu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila Wakunya [emoji116]


Kuchangamkia fursaaaa
20230118_213106.jpg
 
Sikuachi, uligeuza swali ulipopata jibu, unajaribu kujiepusha aibu, nyambaff.., nimekuonyesha many stations za DMU, yaani unataka nimege nikulishe na nikusaidie kumeza, nyambaff,., Tanzania kungekua na jibu ungesha post.., kwenda kabisa., Size yenu Mombasa na ni kiasi kidogo sana, gorofa tatu, cable stayed bridges na ka BRT,.., makazi ya raiya Mombasa bingwa.., tukome sisi sio wenzenu.
Swali lipo pale pale hujajibu. DMUs zinatoka wapi kuelekea wapi?
Kwani swali hilo ni gumu?
 
Swali lipo pale pale hujajibu. DMUs zinatoka wapi kuelekea wapi?
Kwani swali hilo ni gumu?
Pitia jibu ya kwanza pale juu.., Kisha chukua map ya Nairobi Metropolitan uangalie how far apart are those stations.., Kisha niletee ya Dar is Slum..., BRT naijua mwanzo mwisho..,
 
Pitia jibu ya kwanza pale juu.., Kisha chukua mapa ya Nairobi Metropolitan uangalie how far apart are those stations.., Kisha niletee ya Dar is Slum..., BRT naijua mwanzo mwisho..,
BRT kwasasa hizo phases mbili tu zinakava eneo kubwa mno la DAR.. we unayoijua wewe ni BRT ipi.?
 
Pitia jibu ya kwanza pale juu.., Kisha chukua mapa ya Nairobi Metropolitan uangalie how far apart are those stations.., Kisha niletee ya Dar is Slum..., BRT naijua mwanzo mwisho..,
Je, swali limekushinda tuendelee na mjadala mwingine?
DMUs za Nairobi zinatoka wapi kuelekea wapi?
 
BRT kwasasa hizo phases mbili tu zinakava eneo kubwa mno la DAR.. we unayoijua wewe ni BRT ipi.?
Potelea mbali dogo.., kubwa ndio nini haswa?..,ime cover kushoto kulia Kaskazini na Kusini i ya Dar eti?🤔

Yaani tumewaacha, sio kwa Superhighway, sasa expressway, na bypasses(western, eastern na Southern).., with a vast commuter rail imecover sehemu za kushoto, kulia Kaskazini na Kusini,.. kojoeni mlale kwa amani, mtafika siku moja, wekeni amani kwa mama Samia, Yuko na nia nzuri kwa Tanzania.,😜😂😂😂😂😂😂
 
Je, swali limekushinda tuendelee na mjadala mwingine?
DMUs za Nairobi zinatoka wapi kuelekea wapi?
Wewe jipe shughli kama umeshindwa kutazama map.., Mimi sio kijakazi wako zezeta.., lishamba lizembe hili😂😂😂😂
 
Umechanganyikiwa. Wewe ni mtu mzima siwezi kukuaibisha.
Tuendelee na jambo jingine
Je umeiona vizuri picha hii?
Fma9Wb1XoAAD12p
Nilijua utakimbia, koma huko kabisa, bladfwakin, ninewabana kote🤣🤣🤣🤣🤣🤣😜,
 
Mimi huwasijadiliani na waoga. Wewe ni muoga umeshindwa kutuambia DMUs za Nairobi zinatoka wapi kuelekea wapi.
Umepata somo, tafuta wenzenu sio Kenya kabisaaa.., Kiswahili pelekea wa vijiweni wenzako.., nimekunyonga kabisa, wewe sio mzima tena, raha tele 😜😂😂😂,
 
Potelea mbali dogo.., kubwa ndio nini haswa?..,ime cover kushoto kulia Kaskazini na Kusini i ya Dar eti?🤔

Yaani tumewaacha, sio kwa Superhighway, sasa expressway, na bypasses(western, eastern na Southern).., with a vast commuter rail imecover sehemu za kushoto, kulia Kaskazini na Kusini,.. kojoeni mlale kwa amani, mtafika siku moja, wekeni amani kwa mama Samia, Yuko na nia nzuri kwa Tanzania.,😜😂😂😂😂😂😂
Hee 🤣🤣🤣 kwa unavyojua wewe BRT imekava wapi na wapi.?
 
Back
Top Bottom