Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata ukiumganisha haya Madaraja still hayatawahi fikia urefu wa Kigongo busisi bridge .. 🤣🤣🤣🚮
Haijalishi, hiyo two lanes bridge ni kama tu njia..., tulieni tu na Dar is slum, kule nje hakuna kitu cha maana vile.., wacha kujitekenya dogo, ulifikiria hakuna kitu nje ya Nairobi, pole sana mko na mwendo bado😝😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Makupa..,
Barabara inayo elekea maupa bridge, Mombasa..,
1674226177591.png

1674226191194.png

1674226238603.png



Kisha Mwache-Mteza Bridge.., classy!
1674225485686.png

1674225685196.png
 
Haijalishi, hiyo two lanes bridge ni kama tu njia..., tulieni tu na Dar is slum, kule nje hakuna kitu cha maana vile.., wacha kujitekenya dogo, ulifikiria hakuna kitu nje ya Nairobi, pole sana mko na mwendo bado😝😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Makupa..,
Barabara inayo elekea maupa bridge, Mombasa..,
View attachment 2489034
View attachment 2489035
View attachment 2489037


Kisha Mwache-Mteza Bridge.., classy!
View attachment 2489015
View attachment 2489030
🤣🤣🤣 Busisi ni six Lanes bridge. Mzee. Halaf angalia please usitaje hizo takataka zako mbele ya Busisi bridge.. Busisi ni record breaking bridge.. lipe heshima yake tafadhali 🤣🤣🤣
 
DODOMA bhana 🤘View attachment 2489032View attachment 2489033hii DODOMA inakua balaa sana .. Kanairo kajipange sana 🤣🤣🤣. Ila Bongo ni wababe wa huu ukanda.. Don YF. Kwahyo ndio umenuna hutaki kutia hata neno.? 🤣🤣
Tatu city ya Kiambu tu iko na investments kuliko haka eti magufuli city, jaribu sana, tia bidii kwa kujikaza ambia wakandarasi waarakishe mfike mahali tupo..., bado sana...,
 
🤣🤣🤣 Busisi ni six Lanes bridge. Mzee. Halaf angalia please usitaje hizo takataka zako mbele ya Busisi bridge.. Busisi ni record breaking bridge.. lipe heshima yake tafadhali 🤣🤣🤣
Kalilie kwa choo mjukuu, Tanzania ni Dar pekee..., 😝😝😝😂😂😂😂
 
Tatu city ya Kiambu tu iko na investments kuliko haka eti magufuli city, jaribu sana, tia bidii kwa kujikaza ambia wakandarasi waarakishe mfike mahali tupo..., bado sana...,
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Dah.. nikikuomba progress, utapost nini bro.? Wacha uongo
 
Kalilie kwa choo mjukuu, Tanzania ni Dar pekee..., 😝😝😝😂😂😂😂
Naeza post facilities zenye zipo Mwanza ambazo huezi pata hata hapo NAIROBI.. tusiitaje DODOMA kabisa mana kwasasa DODOMA ni upcoming second most developed city in Tz in terms of infrastructure development n.k
 
Ila JNIA inakuuma mzee mpaka unaiita banda la kuku..🤣🤣🤣 sio kwa maumivu hayo.. haya pole
Umewai kufika sehemu wanafuga kuku wengi? (Large scale chicken farm) JNIA ina muonekano kama wa nyumba ya kuku wale, ama muonekano wa godown ya kuweka mizigo..,
Tazama kwa juu...,
1674226864369.png
 
🤣🤣🤣 Busisi ni six Lanes bridge. Mzee. Halaf angalia please usitaje hizo takataka zako mbele ya Busisi bridge.. Busisi ni record breaking bridge.. lipe heshima yake tafadhali 🤣🤣🤣
Makupa bridge yenyewe ni lanes ngapi dogo? sina miwani, ebu nihesabie kisha unipe jibu...,
1674227161987.png

1674227081900.png
 
Nimekwambia usitaje hizi takataka mbele ya Busisi bridge a.k.a The record breaking bridge.. the longest in EA and Central Africa.. Kaaa kwa kutulia 🤣🤣🤣
Yaani ni footpath ndefu tu in comparison., wachana na bridge zilizo pishana, sio footpath ndefu 😝 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Footpath ni ile ya likoni 🤣🤣🤣 au unajisahau.?
Sasa mbona pia mnajenga njia ya gari iwe kama footpath?, ya Likoni ni ya watu wa miguu, hiyo ni sawa kabisa.., but hiyo Busisi ukilinganisha na Mwache Mteza ama Makupa, where zote mbili ni double bridge, yenyu itakua tu "footpath" ndefu 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 ., konda!!
 
Sasa mbona pia mnajenga njia ya gari iwe kama footpath?, ya Likoni ni ya watu wa miguu, hiyo ni sawa kabisa.., but hiyo Busisi ukilinganisha na Mwache Mteza ama Makupa, where zote mbili ni double bridge, yenyu itakua tu "footpath" ndefu 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 ., konda!!
Mzee nenda kapumzike, ukiendelea hivi utakuwa kichaa.
 
Back
Top Bottom