Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii njia hawatapata tabu kwenye ujenzi,ila daah miti hii inazidi kutoka inabidi kuwe na utaratibu maalum wa kupanda miti pembeni wakati wa ujenzi ukiwa unaendelea ili mradi ukikamilika iwe angalau ishastawi kiasi

Maana miti ipo hatarini kutolewa
 
Kweli kabisa, jamaa yupo real mno and he means business, ukimessup hakwepeshi, hao wakenya hawatamsahau sababu wamepata double kick, kwanza wamenunua parachichi kwa wakulima, wakiwa kwenye harakati za kuyapack kwa lebo ya Tanzania wakashtukiwa wakashurutishwa wakayatupe then na leseni wakafutiwa na Tanzania hawatakiwi kuonekana, hii kitu ni zaidi ya sugunyo na pelesu pelesu 😅😅😅
Kumbe inshu kubwa, nilikua sijui.
 
Huyu mkunya kayakanyaga kwa Bashe kafukuzwa kama mbwa Tanzania, ingekua kipindi cha JPM huyu taahira MK254 angesema Magufuli ana wivu na Wakundustan ila ni kipindi cha kipenzi chao 🤣🤣🤣



Sijajua kosa la huyu maana sijafuatilia, ila ingekua enzi zilee mlikua mumepagawa, huyu angeokotwa kwenye mifuko ya sandarusi kule mto ruvu kama ambavyo tulishuhudia miili ya watu ikiokotwa humo, ila kwa sasa utawala wa sheria naona umetamalaki ambapo aidha mtuhumiwa anafunguliwa mashtaka au anafukuzwa, sio kutia vifaranga kiberiti au kupoteza watu.

Naomba isitokee tena mkaingiwa na kitu kama hicho, subirini mama Mzanzibari awafundishe ukarimu wa Kizanzibari maana hizo roho chafu za huko mikoani ndio zinawaponza, huwa mpo majitu ya ajabu yenye sifa ya kuua hata albino.
 
Kumbe SA si lolote si chochote, ligi yetu ni bora sana, hapo uyo aliye juu yetu hastahili kabisa, mwakani tunapiga chini tunaanza kuwatafuta waarabu, si unakumbuka Yanga ilivyowapigia mwingi waarabu kwenye ardhi yao, hyo inatosha kuonesha jinsi gani ligi imekuwa sn.
Lighi yetu ni bora sana na zaidi ya ligi nyingi tu zilizo orodheshwa hapo. hapo ni Egypt, Morocco, Tanzania.

Tanzania is a real giant, taratibu tunaelekea tunapostahili Africa hii. Ni Nyerere na mambo yake ya Ukombozi wa Africa kutumia hela zetu kununulia silaha, kutrain na kuongoza vita wa uhuru wa hizo nchi zisizo na faida yeyote kwetu.

Barabara, referal hospitals, madaraja na miundombinu mingi tunayojenga leo ilitakiwa iweimeshajengwa kabla ya 1987.
 
Tungeona hapa, Kapark wapi mkoko, kala nini lunch leo, ana ticket ya holiday wapi , anasukuma mkoko gani etc kama Expressway na Majengo ya Mchina tunaonyeshwa hivi kila saa je private life kama wapo vizuri tungehama humu na album za picha. Kuna msela ana residence permit ya ulaya imeexpire miaka mingi lakini bado anayo na anatuonyesha humu . Kuna mwingine ana lipiwa kila kitu na pisi mbovu yenye harrier na anajaza album za fuckation humu . kuna mmoja alinunua bites za 3000 supermarket na katuwekea humu . hata kama wanasema hawapendi show off, lakini vitu walivyonavyo kama simu, etc pia vibovu kuna jamaa alipiga picha za location kali huko kwao na device inayoaminika ya mwaka 2006 .
View attachment 2487662
Umemsahau bwana mapesa ya mitandaoni. .

Wangekuwa wanafuga hata kuku mmoja mbona tungeambiwa wao ni wafugaji hodari dunia nzima hata Ruto kuku wake ananunua kwao? Yaani hawa watu tuishi nao kwa akili wana udhaifu wao very special
 
Huku mwehu hawezi leta picha, anapita kimya kimya kwa maumivu.., anatafuta taka na mapungufu kujiliwaza, baba levo alizurura akakubali yaishe.,
images-2023-01-19t105501-725-jpeg.2487348

beautiful-estate-nairobi-kenya-african-continent-environment-africa-beautiful-estate-nairobi-2-jpg.2487374
Huyo hayuko Nairobi alirudi migori picha ni matbt anaokota anascreenshot
 
Picha za mitandaoni hazitakusaidia, zaidi zaidi unaji expose ufukara wako, mwenzio Ichoboy amekuja ka Nairobi kwa kazi ya kupiga picha tu na sio mtanzania wa kwanza na hatokuwa wa mwisho kuja kwenye kanchi kenu na kupiga picha. Na wote waliofika hapo picha zinafanana, ma slums, mauchafu, nyumba za mabati ndio symbol ya Kenya, zinawekwa mpk picha ambazo nyie mmezifanyia cherry picking lkn zikiwekwa uhalisia wake humu ni hovyo sn.

So, acha kujifariji na picha za mitandaoni njoo Dar picha, hujiulizi Wakenya wachache waliofanikiwa kuja Dar hawana picha chafu za ku post humu mfano KENPAULITE huwa anakuja Dar na picha chafu hana, wee fukara baki na picha za mwaka 70 zenye plastic bags wkt unajua fika no plastic bags in Tz as we speak.
Tuliagree niwache kupiga picha maeneo za maana nipige kule kubaya homework bado inakuja relax
 
Sijajua kosa la huyu maana sijafuatilia, ila ingekua enzi zilee mlikua mumepagawa, huyu angeokotwa kwenye mifuko ya sandarusi kule mto ruvu kama ambavyo tulishuhudia miili ya watu ikiokotwa humo, ila kwa sasa utawala wa sheria naona umetamalaki ambapo aidha mtuhumiwa anafunguliwa mashtaka au anafukuzwa, sio kutia vifaranga kiberiti au kupoteza watu.

Naomba isitokee tena mkaingiwa na kitu kama hicho, subirini mama Mzanzibari awafundishe ukarimu wa Kizanzibari maana hizo roho chafu za huko mikoani ndio zinawaponza, huwa mpo majitu ya ajabu yenye sifa ya kuua hata albino.
Hiyo jamaa ni mkenya na ni agent wa secret service kutoka Kenya ambae ametumwa kuja kusabotage avo industry in TZ.

Mnafikiri hatujui michezo yenu. Mnaexport products hovyo ili bidhaa zetu zisiaminiwe duniani.

When people boycott produce from TZ who benefits the most?? KENYA!!!!
 
Back
Top Bottom