Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Good job, nimepita hapo juzi wanaenda vizuri. My advice ni kuona hiyo miti pembeni wanaitunza since barabara ina space ya kutosha kutanua 6lanes plus service road bila kuigusa. Hii barabara ya phase 2 sioni jamaa wakipanda hata mti mmoja tofauti kabisa na phase 1 provison ya miti iliwekwa na Mkandarasi na aliipanda.
 
Terminal 1B & C at the JKIA
download - 2023-01-19T184049.317.jpeg
FhrUUjEXEAEUspv.jpeg
FhrXNn0WAAIhrej.jpeg
FhtmfMtX0AA3S4-.jpeg
FhtqtveXEAIVDBc.jpeg
FhtmfM4WYAA0IDr.jpeg
FhvNLALWQAEjryO.jpeg
download - 2023-01-19T184515.005.jpeg
 
Hivi ni kitu gani kimesababisha watu waache kupost updates za miradi mkaanza kupost uchafu wa mjini?
Turudishe maana ya Battle tena...
Tupashe kidogo Suala la barabara...Eneo muhimu na Nyeti kwenye Jiji
The thread is losing its meaning with each passing day
 
Hongera, ufanye kazi sasa mana ukizubaa utarudi kwenu ukawe jobless kama kina Don YF na Nicxie japo kazi za house maid zina mateso sn.
Sikuwa naenda job bro, holiday treat, nimekuwa nikifanya kazi the whole year lazima nitake break 🥱
Ingawa I travel hata katikati ya mwaka lakini traveling kufanya kazi na kujibamba ni 2 different things
 
The thread is losing its meaning with each passing day
Pole bro najua inauma, ila purpose ya thread ni kuonesha tumezidiana namna gani kwenye kila aspect ya maendeleo. Sasa kwa suala la uchafu hongereni sana mko juu, mnaongoza East and Central Africa if not the whole horns of Afrika, mmetuzidi mbali sana na hatubishi.😅😅
 
Pole bro najua inauma, ila purpose ya thread ni kuonesha tumezidiana namna gani kwenye kila aspect ya maendeleo. Sasa kwa suala la uchafu hongereni sana mko juu, mnaongoza East and Central Africa if not the whole horns of Afrika, mmetuzidi mbali sana na hatubishi.
Embu tujikumbushe kidogo maneno yao pendwa.

The dirtiest city in EA, the most corrupt country in EA, the first failed state in EA.

Vipi sauti imefika huko ama tuongeze?
 
Back
Top Bottom