TECHB
JF-Expert Member
- Aug 16, 2022
- 703
- 1,632
muda wa kulala huu ujiongezi au auna mkeHiyo standard "hatuzingatii" ndio imetufikisha hapa, kitu ambacho kitabaki kuwa ndoto hapo bongolala
muda wa kulala huu ujiongezi au auna mkeHiyo standard "hatuzingatii" ndio imetufikisha hapa, kitu ambacho kitabaki kuwa ndoto hapo bongolala
Wewe mwenye wake unafanya nini humu saa hii!? Mibongolala banamuda wa kulala huu ujiongezi au auna mke
Ni kampuni gani ilipewa tenda ya BRT 3?Wanakimbiza sana.
😅😅😅 Hiki kitu sikuwahi kufikiri kinawezekana, mifuko inaoshwa halafu inarudi sokoni, ina maana wateja hawaoni hii mifuko imeshatumika? 🙄Kila maajabu yapo Nchi hii,Kweli they are (FILTHY RICH)
![]()
Wakenya wanatakiwa wapigwe marufuku kabisa kuchukua parachichi za Tanzania sababu saivi Tanzania Ina pack houses za kutosha kupack mzigo wa ukubwa wowote, inashangaza kusikia huyo jamaa alikua amepewa kabisa na serikali pack house wakati Watanzania wenye huo uwezo wapo!Wanawatuma wakenya wenzao kuja kuharibu biashara ya parachichi
Jamaa washenzi sana hawa, wakenya ni kama chatu hakuna mtu anaweza kuishi nao, malezi waliokulia ni ya kishenzi mno wamelelewa kichokoraa hakuna mwenye class hata mmojaKumbe inshu kubwa, nilikua sijui.
Hizo parachichi zimetupwa na nani? 😅😅😅Sijajua kosa la huyu maana sijafuatilia, ila ingekua enzi zilee mlikua mumepagawa, huyu angeokotwa kwenye mifuko ya sandarusi kule mto ruvu kama ambavyo tulishuhudia miili ya watu ikiokotwa humo, ila kwa sasa utawala wa sheria naona umetamalaki ambapo aidha mtuhumiwa anafunguliwa mashtaka au anafukuzwa, sio kutia vifaranga kiberiti au kupoteza watu.
Naomba isitokee tena mkaingiwa na kitu kama hicho, subirini mama Mzanzibari awafundishe ukarimu wa Kizanzibari maana hizo roho chafu za huko mikoani ndio zinawaponza, huwa mpo majitu ya ajabu yenye sifa ya kuua hata albino.
Tatizo siyo Nyerere bali nchi zilizosaidiwa kutokurudisha fadhila na shukrani kwa Tanzania. Kama Nyerere asingefanye vile, leo hii Tanzania tungekuwa chini ya utawala wa kikaburu.Ni Nyerere na mambo yake ya Ukombozi wa Africa kutumia hela zetu kununulia silaha, kutrain na kuongoza vita wa uhuru wa hizo nchi zisizo na faida yeyote kwetu.
Kaka achana na huyu fala, ni chawa wa kitengo kenya, aliyetumwa hapa JF kama instigator. Mara nyingi hupenda kuandika comment za udini na kumnanga Magufuli ili kuudhi baadhi ya watu na kuleta mgawanyiko baina yetu. Utaona, alipotea hapa jukwaani lakini ishu ya maparachichi mabichi (ambao ni mpango wa serikali yao) imemuibua ghafla.Hizo parachichi zimetupwa na nani? 😅😅😅
Unafikiri mtu anaweza kununua parachichi nyingi kiasi hicho kisha azitupe? Ni serikali imeshurutisha zitupwe na kama wangekua ni vifaranga vingechomwa
Hiyo jamaa ni mkenya na ni agent wa secret service kutoka Kenya ambae ametumwa kuja kusabotage avo industry in TZ.
Mnafikiri hatujui michezo yenu. Mnaexport products hovyo ili bidhaa zetu zisiaminiwe duniani.
When people boycott produce from TZ who benefits the most?? KENYA!!!!
Hizo parachichi zimetupwa na nani? 😅😅😅
Unafikiri mtu anaweza kununua parachichi nyingi kiasi hicho kisha azitupe? Ni serikali imeshurutisha zitupwe na kama wangekua ni vifaranga vingechomwa
Loss making KQ now donates aircraft to high schools? Have they cleared their debt?
DaaLoss making KQ now donates aircraft to high schools?
Wewe mwenyeweWe umekua tu mchinga kama wengine hapa. Kwaivo hao wasomali si wakenya? Nani ndo mkenya haswa kwako kulingana na wewe?? Alafu hizo statistics zako kama huwezi kuziback rudi tu nazo huko chooni ulipozitoa
umeshawaita kuwa ni wasomali sasa wanakuwaje wakenya tena? Mbona unaji contradict tena?Embu tuonesheni hiyo terminal yenu kwa nje tuione kidogoIle godown yao can't come close to this terminal.

Sisi sio watu wa kurudia vipichapicha hivyo hivyo kila siku kama nyie wakati tuna miradi mingi mipya inajengwa kila siku.Ile godown yao can't come close to this terminal.