Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya now 18.5 🤣🤣🤣 from 23 hii dunia haina haki
20230119_210021.jpg
 
Pole bro najua inauma, ila purpose ya thread ni kuonesha tumezidiana namna gani kwenye kila aspect ya maendeleo. Sasa kwa suala la uchafu hongereni sana mko juu, mnaongoza East and Central Africa if not the whole horns of Afrika, mmetuzidi mbali sana na hatubishi.
Wanataka kujifanya hawajui maana ya battle
 
The only difference between Kenya and Tz is that, we have data - you don't. I'm pretty sure it's worse in Tanzania especially considering your richest man is richer than our richest yet our average wealth is higher than your average.
The poorest of Kenya anakufa njaa wakati wa Tanzania analima mashamba
 
Tungeona hapa, Kapark wapi mkoko, kala nini lunch leo, ana ticket ya holiday wapi , anasukuma mkoko gani etc kama Expressway na Majengo ya Mchina tunaonyeshwa hivi kila saa je private life kama wapo vizuri tungehama humu na album za picha. Kuna msela ana residence permit ya ulaya imeexpire miaka mingi lakini bado anayo na anatuonyesha humu . Kuna mwingine ana lipiwa kila kitu na pisi mbovu yenye harrier na anajaza album za fuckation humu . kuna mmoja alinunua bites za 3000 supermarket na katuwekea humu . hata kama wanasema hawapendi show off, lakini vitu walivyonavyo kama simu, etc pia vibovu kuna jamaa alipiga picha za location kali huko kwao na device inayoaminika ya mwaka 2006 .
View attachment 2487662

Kundustan watu wenye nafuu ya maisha ni wanasiasa, wahindi na wasomali,
In fact 90% ya biashara zote nairobi ni za wasomali,
 
Kundustan watu wenye nafuu ya maisha ni wanasiasa, wahindi na wasomali,
In fact 90% ya biashara zote nairobi ni za wasomali,
We umekua tu mchinga kama wengine hapa. Kwaivo hao wasomali si wakenya? Nani ndo mkenya haswa kwako kulingana na wewe?? Alafu hizo statistics zako kama huwezi kuziback rudi tu nazo huko chooni ulipozitoa
 
Hakuna mtu anaweza kuishi na hawa wapumbavu, Samia aliona kama Magu alikua anawaonea ila nafikiri ushamba wa madaraka unamuisha taratibu na kuona wakenya ni watu wa aina gani.

Hajanunua parachichi changa kwa bahati mbaya, kanunua na atipaki kwa nembo ya Tanzania ili kuharibu soko la parachichi za Tanzania kimataifa
Kijinga kile Kibibi na ushungi. Nyerere alifunga border zote na Kenya kwa takriban miaka 10 naaa.

Kenya is an enemy state.
 
Back
Top Bottom