nguvusimba
JF-Expert Member
- Feb 17, 2020
- 1,127
- 1,839
ukila na kipofu usimguse mkono
tatizo lenu wakunya kiswahili ni zero, omba uelimishwe kwa waalimu wa kiswahili duniani.You said rumours? Na bado unapost huku?🤣🤣😂😂
Hahahaha, wakulaumiwa hapa ni mzee Jommo Kenyatta, ndiye aliyeanzisha huu ujinga na upumbavu
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
wakunya hawajui kiingeeza wala kiswahili, yaani hawaelewekiThose are godowns.
kwa hizo report zenu za kupika?Bongolala, I am asking you again, do you want me to share poverty reports between these two countries ndio tujueni wapi ndio poverty imepitliza? Hizi longololo zko hazitakusaidia
It’s more fun akipigwa zaidi akishinda. Fans wake wanaenjoy zaidi akishindwa, so huwa wanamwambia tutakuwa na wewe mpaka wakuue…….😅😅 ila to him it doesn’t make a difference wether you win or loose……yeye anasema ukimpiga ni kama amekupiga na ukimpiga ni kama amekupiga tu. Yaani mfano mzuri ni hii battle, hata mkitupiga ni kama tumewapiga, na tukiwapiga ni tumewapiga tu, yaani hamponi mandonga style😅😅
hapo mkunya hafahamu, anaangalia wingi tu na si efficiency!Kenyans are poor na ushahidi wameuweka wenyewe shemzi!
*68 million account and they are at $56 billion
*Tanzania at 33 million accounts we are at 49 billion.
*Tofauti yetu ni $7 billion only with a difference of 35 million accounts!
*That means our transactions have more value than theirs
* Other thing to note is the population of Kenya is 58 million people but there are 68 million accounts???? Food for thought there
*Could have these numbers been inflated as usual?![]()
nairobea hahahha
hawa ndiyo askari, walikuwa kongo kupigana siyo wale wakunya kila picha inayopigwa ni show offHakuna kipya mzee. Vifaa vya kizamani sana
Siku mkiwa na zana kama hizi niambie
![]()
Naona siku hizi umekuwa muoga sana. Kule Nairaland ulikuwa unatukandia sana. Umesahau?Ungefuatilia maisha yako jinsi unavyofuatilia Kenya hungekuwa bado unatumia Itel L5007.
haya makunya yataliwa kiboga kama yalivyoliwa kule somalia, waombe Mungu kwa vile Tanzania na Waganda wapo humo, kdf hawana tofauti na sungusungu wa Tanzania
Hahaha, unataka nitumie simu gani?. pole kwa kuzaliwa katika nchi ya hovyoUngefuatilia maisha yako jinsi unavyofuatilia Kenya hungekuwa bado unatumia Itel L5007.
Dar kama Dar.., no filter.., 80% ushago 😝 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 ..,
Shida kubwa ya Kenya pale mwamzoni walikuwa wanapenda kuimba kwa kiingereza hawakupenda kuimba kwa kiswahili ili ku target local audience mwisho wa siku wakajikuta kiingereza cha ugoko kupenya kwenye masoko makubwa ikawa taabu kuja kurudi kwenye kiswahili it was too late Tz ilishafika mbali na kujijengea ufalme wake hapa EA.
Poverty haikai kwenye karatasi jirani.Bongolala, I am asking you again, do you want me to share poverty reports between these two countries ndio tujueni wapi ndio poverty imepitliza? Hizi longololo zko hazitakusaidia