ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Tuktuk ni nyingi kuliko magari 🤣🤣🤣🤣
Tuktuk ni nyingi kuliko magari 🤣🤣🤣🤣
Alaf wako busy kufananisha huo uchafu na mwanza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wanauza maji barabarani! Kweli hadi leo maji yanauzwa kwa madumu city centre?
View attachment 2457616
Kwan mm mombasa siijui au 🤣🤣 ningekua siijui sawa ila ndio mji kenya nimefika mara nyingi zaidiheb ongeza volume📢 hapo kiasi, ili hawa masera watatu hawa wapate kukusikiliza vizuri..
na maanisha hawa:-
▪︎The best 007
▪︎ichoboy01
▪︎Geza Ulole
🤣🤣🤣
Hao wanashida mpaka katikati ya kalio mbili 🤣🤣🤣🤣🤣 wanamaisha magumu sana ukitaka kuamini just compare chips na robo kuku dar ni 4500 ila mombasa utaambiwa 450 to 500 ksh jaribu kuuliza utanipa majibuHawa ni ndugu zetu,wenzetu kabisa. Matatizo yao kama yetu
Hizo miaka zote Kagame alikataa kutoa rebels wake Congo lakini after ameona KDF kwa ground aka surrender bila hata kufyatua risasi moja, amejua shit is real. Kwa ground mambo ni different, na ni KDF leading the EACRF ndio wako kwa ground. Your Kagame and his rebels are cowards.WE KWA MAWAZO YAKO UNAFIKILI KAGAME KAWAONDOA M23 (RDF) KISA KDF. TUONYESHE USHAHIDI HAPA KWAMBA WAMEOGOPA KUPIGANA NA KDF.
TENA INGEINGIA VITA NA M23 NDO KAGAME ANGEFURAHI ZAIDI COZ ANGEPATA UHALALI WA KUUKUZA OZOZO KWA NJIA YA KUONGEZA VIJANA KULE CONGO. NA NDIVYO ALIVYOKUWA NATAKA SEMA IMESHINDIKANA.
Binaadamu hasa maskini kwao ni kama kondoo hana thamani 😃😃😃😃Hii ni barabara mpya huko nairobi.. wakenya kwann hamuweki pedestrian lane?
View attachment 2457663
Bado mnatumia bunduki za kizamani sana 😁 😁 😁 😁Hizo miaka zote Kagame alikataa kutoa rebels wake Congo lakini after ameona KDF kwa ground aka surrender bila hata kufyatua risasi moja, amejua shit is real. Kwa ground mambo ni different, na ni KDF leading the EACRF ndio wako kwa ground. Your Kagame and his rebels are cowards.
General Nyagah hapo Goma yeye ndio kusema wengine wanatii.
![]()
Ona mtu wako wa RDF vile anaskia vibaya. 🤣 🤣 🤣
![]()
heb revisit pg21233 upate kutazama tena mombasani vizuri kama ni uswazi jinsi unavyo sisitiza na kuadaa wakuu humu..Alaf wako busy kufananisha huo uchafu na mwanza 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Naona uchafu kila kona. Hakuna paving, wadada wanakula vumbi kama lote😁😁😁Hii ni barabara mpya huko nairobi.. wakenya kwann hamuweki pedestrian lane?
View attachment 2457663
Mombasa mm nimefika mara nyingi au unataka kunidanganya mombasa gani 🤣🤣🤣🤣🤣 au ww unataka kusemaje labda nikuskilizeheb revisit pg21233 upate kutazama tena mombasani vizuri kama ni uswazi jinsi unavyo sisitiza na kuadaa wakuu humu..
Huyo ni keyboard warrior wa Youtube and M23 sympathizer kwa ground KDF ndio kusema.HAYA RAIA WA KULE WANAVYOSEMA CONGO MSIKILIZE KIIZA
View attachment 2457646
Hakuna kipya mzee. Vifaa vya kizamani sanaHuyo ni keyboard warrior wa Youtube and M23 sympathizer kwa ground KDF ndio kusema.
![]()
![]()
![]()
Barabara ya chini sio mpya..currently it is under construction tena...Hii ni barabara mpya huko nairobi.. wakenya kwann hamuweki pedestrian lane?
View attachment 2457663
Inaskitisha hii nchi 🤣🤣🤣tusema maskini hawatakula nyama na ndio wengi zaidi ya 75%
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
wish tu ungepata fursa kufika kanairobaa and beyond, ata hadi thika, nyeri, meru, naxar, eldy, kisumu, kakamega, ata kwetu kco, ndo ujue kenya ni king ya eastern africa kwa affluence, living standards and general lifestyle as a whole.! hio kieleweke na si tafadhali.!Hawa ni ndugu zetu,wenzetu kabisa. Matatizo yao kama yetu