President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Daraja la SGR mwanza 1.4KM

















Kundustan Republic ukiwawekea issue za SGR wanakula kona. Walichobaki kutuonesha ni kile kibarabara chao kimoja tuHii station imewauma sn wakundustan kabla hata iishe
Wakundustan nawakumbusha tuuu hii ndiyo ile station funga kazi, nafikiri mshanielewa, alafu cku hz nishajua kiboko yenu ni hii station funga kazi, kwamba joka litaingia ndani ya station![]()
View attachment 2457543View attachment 2457544
Biashara inataka creativity, monopoly haiwezi kuza biashara. Zikizalishwa nguo quality watu watakimbia kwenye mtumbaMimi nilipenda kuelimishwa faida za uchumi wa kununua bidhaa za wengine bila kuzalisha sisi wenyewe.
Tuchukulie biashara ya mitumba, ilipoanza kipindi kile cha Mwinyi, wachuuzi wengi walifaidika sana (ajira). Kadhalika wafanyabiashara wa maduka ya jumla na reja reja pamoja na watu wachache wanaowazunguka walinufaika (ajira). Kwa upande mwingine, zao la pamba lilikufa kibudu.
Wakati wa Mwalimu watu walivaa nguo za pamba za kushona. Hapa kulikuwa na ajira kubwa sana ya mafundi cherehani (nchi nzima), hasa kipindi cha siku kuu. Kulikuwa na maduka mengi ya kuuza vitambaa (ajira), vilivyotengenezwa kwenye viwanda vya Tanzania kama Urafiki (ajira). Viwanda hivi vilinunua pamba kutoka kwa wakulima wa Tanzania (ajira), wakulima hawa walinunua pembejeo kutoka viwanda vya Tanzania kama ZZK (ajira). Ukiangalia mlolongo huo utaona wanaonufaika walikuwa wengi sana.
Sasa naomba kuelimishwa faida za uchumi wa uchuuzi kwa taifa ni zipi?














uko kenya🇰🇪 ya wapi wewe fortune seeker! unangoja nn.. heb vipeperushe hivyo vipicha kama kweli upo kenya! bonoko!
Sisi tunafurahia kuassemble a big chunk of our vehicles. We zidi kushabikia ushenziHaya magari yameshushwa na meli moja tu hapa DSM. Kundustan Republic wanahaha kutuonesha tugari twao huto.
View attachment 2457389
uko kenya🇰🇪 ya wapi wewe fortune seeker! unangoja nn.. heb vipeperushe hivyo vipicha kama kweli upo kenya! bonoko!
Hizo bajaji ndo zimejaa mombasa....na ndo usafiri mkubwa wa umma ...
Namsubiri aje niendelee kuweka mabanda barabaraniHizo bajaji ndo zimejaa mombasa....na ndo usafiri mkubwa wa umma ...
Halafu wako kucheka public transport ya Mwanza....mji unaotumia costa sasa kama usafiri wa umma kwa kiasi kikubwa
Kayataka mwenyewe mpe spana, mana ulitaka uache kuwaaibisha sasa kataka, tupe utamu, anafikiri unatania hajui kama wabongo tunapesa ya kutembea









Barabara hazina njia za watembea kwa miguu,hazina mitaro,mabanda huku na huku nyumba za ghorofa hazina viwango ndio maana zinaanguka kila siku.Kayataka mwenyewe mpe spana, mana ulitaka uache kuwaaibisha sasa kataka, tupe utamu, anafikiri unatania hajui kama wabongo tunapesa ya kutembea![]()
Hawa hawana adabu mkuu uliamua kukausha lkn ona alivyokutusi na anajua kabisa kuna uharo kushoto kulia.Barabara hazina njia za watembea kwa miguu,hazina mitaro,mabanda huku na huku nyumba za ghorofa hazina viwango ndio maana zinaanguka kila siku.
Kayataka mwenyewe mpe spana, mana ulitaka uache kuwaaibisha sasa kataka, tupe utamu, anafikiri unatania hajui kama wabongo tunapesa ya kutembea![]()
Na walivyo na maisha magumu,
Wasemaga electric cable huko kunyaland zinapita underground kumbe waongo. Kwa sifa za kijinga hongereni
Huwaoni humu baada watakuja na vipicha vyao vya barabara moja.Na walivyo na maisha magumu,View attachment 2457602View attachment 2457603Wakiona haya hapa watazimia kabisa 🏃🏃