President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Ndiyo design imekuwa approved. Tutaufuatilia mradi huo.Huu mradi umeshaanza.? Updates tafadhali
Ndiyo design imekuwa approved. Tutaufuatilia mradi huo.Huu mradi umeshaanza.? Updates tafadhali
Umeonesha nini hapo? Tanzania hamna cruise ship terminal, cruise ships zinadock kwenye port alafu mnaweka hema kuwapokea wataliiHapo ni kwa shangazi yako?
Oumbavu kabisa. Unajiona unafanya wewe tu but hayo unayoyaweka ni ya kawaida sana. Ushamba unakusumbua
View attachment 2457757

Sasa shida yako ni nini? Unataka tuweke tako lako?Umeonesha nini hapo? Tanzania hamna cruise ship terminal, cruise ships zinadock kwenye port alafu mnaweka hema kuwapokea watalii
Cruise terminal ya mombasa
View attachment 2457792
Hamna kitu hapo mzee. Sisi tuko huku
Inashusha abiria kutoka ulaya kwenye bonge la tent. 🤣 🤣 🤣 wamewekewa hadi red carpet straight hadi ndani ya tent.Mambo ya kawaida sana hayo. Hakuna kipya. Leta kipya tukione
![]()
Hii design ni kiboko, yn Dodoma inazidi kuiangamiza miji ya kimaskini ya EA.
Naunga mkono hoja! Itangazwe hifadhi!Hiyo milima wailinde wasiiache ijengwe hovyo kama ya mwanza itaharibu mandhari.
Jengo halifiki hata $200,000 ndiyo la kubrag? Unatia aibu mazee.Umeonesha nini hapo? Tanzania hamna cruise ship terminal, cruise ships zinadock kwenye port alafu mnaweka hema kuwapokea watalii
Cruise terminal ya mombasa
View attachment 2457792
Duh zinajengwa pamoja phase 3 and 4!! Noma












Ndio hatutakiwi kutoa maoni?Mzee hapa tupo kwenye battle baina ya Kenya na Tanzania. Nahisi kama umekosea thread.
Kaka bado sijaona kabisa mambo yako na SGR station ya DOMJengo halifiki hata $200,000 ndiyo la kubrag? Unatia aibu mazee.
Tunashusha kwenye tako lako.Inashusha abiria kutoka ulaya kwenye bonge la tent. 🤣 🤣 🤣 wamewekewa hadi red carpet straight hadi ndani ya tent.
Hata mimi naona wanyama wamepunguaNi exposure ndogo tu, milima ya mawe iliotapakaa Mwanza ni utalii wa viwango vya kimataifa kabisa, kisiwa cha saanane toka Nyerere abuni ile mbuga mpaka leo bado hawaimarket vya kutosha na nimeshangaa kuona wanyama wamepungua mno kuliko miaka miwili nyuma, japo nawapongeza kwa kujenga tents za kisasa na open lobby kubwa, nasubiri kuona soko kubwa la samaki na lenyewe litaboresha sura ya Mwanza kwa watalii
Wanaweka hadi red carpet inaelekea hadi ndani ya hema. 🤣 🤣 🤣 🤣Umeonesha nini hapo? Tanzania hamna cruise ship terminal, cruise ships zinadock kwenye port alafu mnaweka hema kuwapokea watalii
Cruise terminal ya mombasa
View attachment 2457792
Enda uskie vibaya huko ndani ya hio hema.🤣🤣🤣Tunashusha kwenye tako lako.
Siwezi kujadiliana na vijana kutoka Kundustan Republic. Nchi nzima hakua hata BRT 🤣 🤣 🤣 🤣Enda uskie vibaya huko ndani ya hio hema.🤣🤣🤣