Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Angalien umaskin wa wakenya





🤣🤣 Hao wanapewa mpaka rushwa za chapati na rais 😂😂

FgXsVYYWYAQKIdo.jpeg


Ufukara wa kutisha uzuri wanajijua, sasa huku ndio penye ahueni vipi ingekua huko North au Coast?

 
Kilaza unajua maana ya Krismasi kweli. Chrismas is all about shsring and bonding. Sasa wewe ukiona mtu anashare na wenzake msimu huu you call it poverty. How did you ascertain that the people he was sharing with are poor. Nchi yenye wafukara wengi ukanda huu inajulikana ni Tanzania and if you want suporting evidence itisha uletewe
Mwenyewe kasema ni poverty inawezekana alitegemea waje 200 sasa wamekuja 200k 😂😂😂

 
Mwenyewe kasema ni poverty inawezekana alitegemea waje 200 sasa wamekuja 200k 😂😂😂


Poverty is a subjective matter. Yeye alitumia mbinu gani kujua kwamba hao watu wote walikuwa masikini. Wanasemanga fanya mema nenda zako. Yeye alifanya hivyo labda to gain political milliage and even went as far as calling those people poor which in my opinion is wrong.

Poverty is not measured by sharing Christmass goodies with people then calling them poor. It is a scientific data. As i told you, if you want to know mahali poverty imemea mizizi hapa EA itisha data uletewe,don't become a Twitter worrior
 
Ila we mdogo wangu bhana sometimes unanihuzunisha sana, nyie mko busy kumtukana Samia, tena matusi kabisa. Sisi tukikosoa mapungufu ya JPM mnasema hatuna heshima? Heshima ni nini? Mind you ukiwa kiongozi immunity yako ya kusemwa inakufa, utasemwa ukiwa hai utasemwa ukifa sababu maamuzi yako yameacha athari kwenye maisha ya watu. So sitaacha kumsema JPM au yoyote akionesha mapungufu, ambacho sitafanya ni kuwatukana na kuwakosea adabu.

So ukweli ni kwamba kwenye uwanja wa Mwanza (ambayo ni maamuzi ya JPM), alikosea kutoa maelekezo bila kuwashirikisha TAA na ndio kinasumbua mpaka sasa hivi uwanja haujakamilika, wewe uko kwenye aviation industry unajua. Matokeo yake kila mkuu wa mkoa akija anakuja na maagizo yake. Watu hawataki tu kusema ukweli. Very funny situation.
Hao wakuu wa mikoa si wanateuliwa na raisi kumsaidia kazi, iweje kila mmoja awe na maamuzi take tofauti.
Kama limeshindikana basi liachwe libakie gofu, TAA wajenge la kwao.
Marehemu angekuwa hai huu uwanja ungeshaisha,
 
mambo kama haya.. sasa tanganyika mtakua mnaionea tu viusasa


Kila nchi ina sera zake, na kila nchi inajenga aina flani ya urafiki na nchi zinazo endana na sera zao. Nyie tangu uhuru mliamua kuendelea kuwa koloni la mabepari na sisi tuliamua kwenda sawa na China/Russia.

Angalia nini China kaifanyia Tanzania kwenye Viwanda, Kijeshi, Miundombinu na kwengineko tangu 1970s, ni mambo ambayo America wala Uingereza haijawahi ifanyia Kenya zaidi ya kuweka kambi za kijeshi hapo Kenya.
 
Ila we mdogo wangu bhana sometimes unanihuzunisha sana, nyie mko busy kumtukana Samia, tena matusi kabisa. Sisi tukikosoa mapungufu ya JPM mnasema hatuna heshima? Heshima ni nini? Mind you ukiwa kiongozi immunity yako ya kusemwa inakufa, utasemwa ukiwa hai utasemwa ukifa sababu maamuzi yako yameacha athari kwenye maisha ya watu. So sitaacha kumsema JPM au yoyote akionesha mapungufu, ambacho sitafanya ni kuwatukana na kuwakosea adabu.

So ukweli ni kwamba kwenye uwanja wa Mwanza (ambayo ni maamuzi ya JPM), alikosea kutoa maelekezo bila kuwashirikisha TAA na ndio kinasumbua mpaka sasa hivi uwanja haujakamilika, wewe uko kwenye aviation industry unajua. Matokeo yake kila mkuu wa mkoa akija anakuja na maagizo yake. Watu hawataki tu kusema ukweli. Very funny situation.

Hawataki kusema ukweli kwakua wanamuogopa Magufuli? si kila siku wanamnanga. Kama hali ni kama unavyosema hapa, kitambo wangesha mnanga, hasa wanasiasa kama wakina Zitto. Eti jengo halijakamilika, stand ya mabasi Moshi imekamilika, tatizo ni nini?

Acheni Mwamba apumzike.
 
Izo slums mnampango wa kuziondoa?
Barabara nzuri majengo mazuri ila katikati uko kuna watu wanateseka na umaskini
20221224_180921.jpg
 
Poverty is a subjective matter. Yeye alitumia mbinu gani kujua kwamba hao watu wote walikuwa masikini. Wanasemanga fanya mema nenda zako. Yeye alifanya hivyo labda to gain political milliage and even went as far as calling those people poor which in my opinion is wrong.

Poverty is not measured by sharing Christmass goodies with people then calling them poor. It is a scientific data. As i told you, if you want to know mahali poverty imemea mizizi hapa EA itisha data uletewe,don't become a Twitter worrior
To make the matters interesting yeye ndio aliwaalika wakuje kwake. So wakishakuja anawaita poor tena😂😂🤣😂
 
Eti sasa wabongo pia mkona traffic ya magari kumi after mumeona Kenya and South Africa christmas traffic jams. 🤣 🤣 🤣
Hehehe 😂😂😂😂. They can't beat a quarter of this, especially Kisumu people wameamua😂😂.

1671895785734.jpg
 
Back
Top Bottom