Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakati wakenya wanaendelea kupiga kelele. Tanzania inasambaa. Sasa tunaenda kuwasaidia Malawi


Mambo yanazidi kupamba moto 🔥Tanzania 🇹🇿 na Malawi 🇲🇼 Sekta ya Afya 🔥
View attachment 2455445
Bado hospitali yao wanaiita Queen Elizabeth? Duh, sisi Princess Margaret tuliibadilisha kitambo sana na kuiita Muhimbili.
 

Dodoma.

Nafikiri by June 2023, Tanzania yetu itakuwa na sura mpya.
BRT phase 2 itakuwa tayari.
SGR phase 2 itakuwa tayari.

Nb
Dodoma sgr station seems huge and modern kuliko Nairobi sgr.
Teargass a.k.a mnuka mavi ulikuwa unaulizia Dodoma station ukasema ipo tofauti na render, tafadhali angalia kuanzia dk ya 4:05 kaongelea design ya jengo inayofanana na mawe na pia usisahau station itakuwa ya kipekee kabisa kwamba itakuwa na tunnel kiasi cha kwamba abiria watashushwa ndani ya station kama zile station za ulaya, hilo limeelezwa kuanzia dk ya 5:08.

Wakenya poleni sana
Screenshot_20221224-051700.jpg
 
Mtwara port ikona gantry crane moja pekee. 😂 😂 😂 stop joking. Nchi nzima munamiliki STS gantry crane tatu pekee.
wapi gantry ya Lamu port inayopitisha kondoo sasa? hebu leta evidence nchi nzima ziko tatu pekee? Tanga gantry is on the way too to serve EACOP cargo!
 
KDF has entered Kibumba in eastern DRC after M23 withdrawal… the rebel leader under KDF watch dined the withdrawal treaty….the above picture also includes the KDF special Forces in the frontline..
 
Wewe endelea kutafuta video wakati Tanzanian investors are rushing to Mombasa kununua mabasi.
View attachment 2456216
View attachment 2456209View attachment 2456210View attachment 2456211
Wewe ng'ombe ulaya Sio una post mabasi yenye stika za AVA ndio useme wametengeneza wao..

Kama uko uswekeni kwenu huko na hela ya bando hauna maana ulizoea public wifi za nairobi bhas najua hutaweza ku post video.

Nakurahisishia, leta web link ya AVA tuona wapi wanasema wanaunda bodi za mabasi.
 
Hii port ikona STS Ganty crane moja pekee, ngoja rail mounted gantry cranes za Lamu zifike hii ujinga ya kucompare lamu na hizi fishing port za bongo utawacha.
Hizo crane zikifika zitakua zinatumika kubeba punda? Bandari yenu ile ni kwaajili ya punda na ngamia
 
Back
Top Bottom