Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haka kamsemo hua nakapenda sana 🤣🤣
Screenshots_2023-01-03-12-04-10.png
 
Hoyce Temu, Deputy Head of Tanzania mission in Geneva, Switzerland was charged with MISCONDUCT and received disciplinary charges. Her appeal was was officially dismissed by the UNDT.

Ameleta aibu kwenye nchi. This is a huge scandal!

Alidhani UN ni kama ofisi za TZ ambazo hawajali kuhusu integrity? With all the benefits?
It was also an obligation for Swiss Government to conduct their vetting before accepting Hoyce as per diplomatic protocols, so unataka kutuambia hao nao hawakujua huu upupu unaoeneza? unataka tusiziamini serikali zote hizo mbili alafu tusikilize story za vijiweni? Man up bro.
 
Anyway, wadau.. mim ni Mechanical Eng, nipo serikaln lkn nina kampuni changu kinahusika na maintenance, service, na analysis za machines zote viwandan ..
Nina vifaa vyote muhimu vinavyohitaji (ni ghali sana, kiasi kwamba viwanda vinaogopa kununua kutokana pia hakuna anaejua kuvitumia)
Mf moja tu wa vifaa, kuna hii inaitwa SKF microlog analyzer
View attachment 2466872 (mim miaka ya 2015-2016 nilinunua mil 40, ila mpk sasa nimeshairudisha hela yote na faida nying juu) mfano kuna kipindi nilikuwa napost nipo kiwanda kimoja maeneo ya tazara, pale nililipwa zaid ya 30mil kwa siku kumi tu.. nilifanya analysis na service consultations ya machines zote. So kuwa expert na vitu flan na kuwa na vifaa vya kisasa vimeniwezesha kupiga hela nying kwa vitu vidogo vidogo tu ambayo kiuhalisi havihitaji hela nying ila sasa kwa sababu ya bei ya vifaa, bas bei ya service lazima niweke juu
Ni hayo tu wadau
Hongera sana.Kumbe unaweza kuwaajiri Wakenya wote wa humu Jamvini wanaoshinda wanatusumbua kwa maneno maneno mingi
 
It was also an obligation for Swiss Government to conduct their vetting before accepting Hoyce as per diplomatic protocols, so unataka kutuambia hao nao hawakujua huu upupu unaoeneza? unataka tusiziamini serikali zote hizo mbili alafu tusikilize story za vijiweni? Man up bro.
“Upupu” ninaoeneza ni factual truth, si story za vijiweni.

Let’s break this down further. What does the Vienna Convention on International Relations say about background checks on diplomats from the sending state? And the receiving state?

Perhaps the problem could be that our vetting procedures are not thorough, and possibly, party politics could play into the appointment decisions.
 
“Upupu” ninaoeneza ni factual truth, si story za vijiweni.

Let’s break this down further. What does the Vienna Convention on International Relations say about background checks on diplomats from the sending state?

Perhaps the problem could be that our vetting procedures are not thorough, and possibly, party politics could play into the appointment decisions.
It requires mutual acceptance for both sending and receiving partner states, the sending part is appointing after its due diligence and the receveing patner state conducting its due diligence before accepting. Hujawahi sikia nchi fulani imemkataa balozi au mwanadiplomasia fulani? So ndio nakuuliza, unaweza ukawa huna imani na vetting ya Tanzania, so unadhani Swiss nao walifanya ‘political vetting’?
 
It requires mutual acceptance for both sending and receiving partner states, the sending part is appointing after its due diligence and the receveing patner state conducting its due diligence before accepting. Hujawahi sikia nchi fulani imemkataa balozi au mwanadiplomasia fulani? So ndio nakuuliza, unaweza ukawa huna imani na vetting ya Tanzania, so unadhani Swiss nao walifanya ‘political vetting’?
Actually, per the Vienna Convention on International Relations, the receiving state can even deny the appointed representative of the sending country without disclosing a reason. If Switzerland accepted Temu with open arms, I don’t see how their form of background check is the same as ours considering we had solid reasons not to appoint her.

My question is what kind of criteria was used for due diligence. Did both countries utilize the same criteria? Seems highly unlikely. Switzerland might have used different methods of checking the representative, and it doesn’t make any sense for “Switzerland”to perform a background check on the representative’s organizational awareness. As the sending country, it is our duty to ensure that our diplomat is BEST suited for the job. So, our vetting process should have confirmed that Temu possessed integrity.
 
Hahah ukikaa kimya unaweza kufaa njaa boss..

Kule kwetu Kwa wafugaji ambao Sio wa kuchunga na kuhama hama huwa tuna msemo wetu.. Ng'ombe anaelia ndio anaerushiwa majani...
Yaani sasa hivi nimetoka kumwambia kijana ina maana humsikii ng'ombe akilia? Kakimbia kumuwekea majani
 
Back
Top Bottom