joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
They can't relate, hawajawai kuona flyover iko na corners. Wanajua tu ile msalaba yao. 🤣 🤣 🤣City Cabanas area. The flyover in the middle of the pic leads to Pipeline estate on the right. Picha kama hii kule Dar ungeona dreamhouses left right and center in the most disorganized fashion
Yeye kiongozi wenu ndio kahusisha hilo nyomi na umasikini, hata hivyo kwani ni uongo? unawezaje kuacha shughuli zako ukae kwenye umati mkubwa hivyo kusubiri sukari nusu kilo kama wewe sio masikini?Poverty is a subjective matter. Yeye alitumia mbinu gani kujua kwamba hao watu wote walikuwa masikini. Wanasemanga fanya mema nenda zako. Yeye alifanya hivyo labda to gain political milliage and even went as far as calling those people poor which in my opinion is wrong.
Poverty is not measured by sharing Christmass goodies with people then calling them poor. It is a scientific data. As i told you, if you want to know mahali poverty imemea mizizi hapa EA itisha data uletewe,don't become a Twitter worrior
Kaka hii itakua komesha, mnuka mavu Teargass hauwezi jibu kitu atafyata .. 🤣🤣🤣 oy ni bonge moja la Station and the most modern in Afrika..Teargass a.k.a mnuka mavi ulikuwa unaulizia Dodoma station ukasema ipo tofauti na render, tafadhali angalia kuanzia dk ya 4:05 kaongelea design ya jengo inayofanana na mawe na pia usisahau station itakuwa ya kipekee kabisa kwamba itakuwa na tunnel kiasi cha kwamba abiria watashushwa ndani ya station kama zile station za ulaya, hilo limeelezwa kuanzia dk ya 5:08.
Wakenya poleni sanaView attachment 2456314
Wawe na nyumba kama hizo wangeringa sana.
kama nisemavyo kila siku, maumivu zako peleka Tandale
Kwenye miundombinu ninyi bado sana barabara hamna kabisa, ajali imetokea hapo hamuwezi kupitaHehehe 😂😂😂😂. They can't beat a quarter of this, especially Kisumu people wameamua😂😂.
View attachment 2456854
Mkuu tunnel ni kwa BRT ya kutoka airport kwenda mjini, ya kwenda Buguruni si zitapita juu ya tunnel! Hapo maana yangu ni kuharakisha abiria wanaoenda airport wakati mwingine pia viongozi wanaweza kutumia hiyo BRT r
Slums kila angle 🙄
Huelewi maana ya Krismasi ni nini wewe bwege. Pili,ukitaka tushare data za poverty rates kati ya hizi nchi mbili niambie. Domo domo hazitakusaidiaYeye kiongozi wenu ndio kahusisha hilo nyomi na umasikini, hata hivyo kwani ni uongo? unawezaje kuacha shughuli zako ukae kwenye umati mkubwa hivyo kusubiri sukari nusu kilo kama wewe sio masikini?
Pori kama pori
Poverty iliopo huko inatisha, Christmas huko ni mwendo wa chai ya rangi kwa hisani ya mbunge wakati Tanzania ni mbuzi zinadondoka kila nyumba wala sio kuku, ni mbuzi au ng'ombeHuelewi maana ya Krismasi ni nini wewe bwege. Pili,ukitaka tushare data za poverty rates kati ya hizi nchi mbili niambie. Domo domo hazitakusaidia
Ona wanavyoipiga vita sasa kwenye posts zao! 😂😂😂😂They can't relate, hawajawai kuona flyover iko na corners. Wanajua tu ile msalaba yao. 🤣 🤣 🤣
Mwenyewe anaona sifa kweli wakati ni kituko, gari zenyewe vibakuli vyote na zimechoka toka kipindi wanapata uhuru zipo barabaraniHvi ww huoni aibu kupost hii picha 😆😆😆
Hakuijibu alipita kmy kmy kama hajaona, makenya yana roho mbaya sanaKaka hii itakua komesha, mnuka mavu Teargass hauwezi jibu kitu atafyata ..oy ni bonge moja la Station and the most modern in Afrika..











Bongolala, I am asking you again, do you want me to share poverty reports between these two countries ndio tujueni wapi ndio poverty imepitliza? Hizi longololo zko hazitakusaidiaPoverty iliopo huko inatisha, Christmas huko ni mwendo wa chai ya rangi kwa hisani ya mbunge wakati Tanzania ni mbuzi zinadondoka kila nyumba wala sio kuku, ni mbuzi au ng'ombe
Jealousy inawamaliza kwa hizo comments. 🤣 😂Ona wanavyoipiga vita sasa kwenye posts zao! 😂😂😂😂
These people are so desperate