Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aliyekuambia sijui trading protocols za EAC ni nani? Wewe kaa ukijua kwamba hatukubali sukari yenu huku Kenya. Unga wenu uliosagwa pia hatuukubali huku Kenya. Tunanunua raw materials pekee ikiwemo mahindi ambayo haijasagwa. Kaulize Uganda ambao wanaumia kwa kujaribu kutuuzia manufactured goods kama maziwa ya pakiti na sukari. Lazima tuprotect industries zetu kutoka kwa low quality, sub-standard goods kutoka nchi jirani.

Cc Geza Ulole
joto la jiwe
Na sisi tutatumia the principle of reciprocity kwenye Tanzania Kenya trade halafu tuone tutafika wapi na hii project ya EA.
 
Kwanini mnaomba "special favor" kutoka Tanzania na Uganda badala ya kuingia sokoni kupambana?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
It is not any special favour. It's all done in the spirit of EAC, nothing more. Ndio maana tunaendaga as far as Mexico when we can't get it regionally coz hela tunazo
 
Acha ku compare Iringa na miji ya kishamba
Sasa mji gani ndio ya kifala hata kwa kuangalia tu?
Kisii
images - 2022-07-09T110742.244.jpeg
images - 2022-07-09T110705.742.jpeg

Iringa
images - 2022-07-09T110550.772.jpeg
 
Sasa mbona unazungumzia Mambo mawili tofauti, Tanzania ndiyo nchi pekee ambayo is accredited, wakati ninyi mumechangia lakini bado hamjawa accredited, may be hiyo michango na kushiriki kwenu ndio kutasaidia na ninyi muwe accredited on the future.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Accredited to do what, nuclear science has very many applications. Kenya joined IAEA in 1965 while Tanzania joined 1976. Kenya is already making great progress on having nuclear power, this is confirmed by IAEA. The last time I checked, Tanzania was not on the lists of countries who have requested for an assessment from IAEA, neither has it considered plans for nuclear power yet.

 
Mbona msishindane na nchi zingine katika soko mnataka tuwawekee pembeni?, Mbona Uganda wamewacha kuwauzia mahindi kwasababu Bei yenu ipo chini kuliko South Sudan Kama ninyi ni matajiri?, Kwanini mnashindwa kula Milo mitatu kwa siku kwasababu Bei ya unga imepanda?, Huo ni utajiri gani mnashindwa hata na South Sudan?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Leta ushahidi kwamba Uganda wakaacha kutuuzia sababu bei yetu ipo chini
Isiwe ni maneno ya vijiweni tu
 
It is not any special favour. It's all done in the spirit of EAC, nothing more. Ndio maana tunaendaga as far as Mexico when we can't get it regionally coz hela tunazo
Kwani South Sudan sio member wa EAC?, Mbona mnaomba favour kutoka Zambia ambayo sio member wa EAC, ninyi ni masikini Sana, Kama hata mahindi toka Uganda na Tanzania ambako hakuna gharama kubwa za usafirishaji lakini bado mnaomba "special favour" na wananchi wenu wanashindwa kupata Milo mitatu kwa siku, Je mahindi toka mbali huenda wakenya watakula mlo mmoja kwa wiki

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
It is not any special favour. It's all done in the spirit of EAC, nothing more. Ndio maana tunaendaga as far as Mexico when we can't get it regionally coz hela tunazo
mbona hamuendi Mexico this time?
 
Kwani South Sudan sio member wa EAC?, Mbona mnaomba favour kutoka Zambia ambayo sio member wa EAC, ninyi ni masikini Sana, Kama hata mahindi toka Uganda na Tanzania ambako hakuna gharama kubwa za usafirishaji lakini bado mnaomba "special favour" na wananchi wenu wanashindwa kupata Milo mitatu kwa siku, Je mahindi toka mbali huenda wakenya watakuja mlo mmoja kwa wiki

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Bongolala, mbona mnapenda kujitekenya? Ni wapi ulisoma kwamba Kenya ulienda kununua mahindi Zambia ili kutafuta favour? Hii story ya favour umetoa wapi? It's even funny that you are quoting the word itself in your statement!
 

Tweet ya 2015 🤣 🤣 🤣 by the hii product hata sijawai kuiona. The only Azam product ambayo inajaribu Kenya ni ile energy drink ya blue, which is facing very stiff competition from local and international products.
 
Masikini wa kutupwa hawa jamaa, zaidi ya kujisifia hakuna kitu wanaweza, wanashindwa hata kupambana na South Sudan sokoni?
Tony254
dyfre
Don YF
Nicxie

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kenya they are trying to punch above their height lakini ukweli ni kwamba production costs in Kenya are way above other east african countries hilo halina mjadala. Kwanza umeme wao uko expensive na mwingi unakuwa produced from HFO ambayo sokoni bei ipo juu, raw materials hawana mostly wana import hivi vitu vyote huchangia directly kwenye upandaji wa bei za bidhaa sokoni.

There is no quick fix to it hata uitishe spirit of east african or Africa haitasaidia dawa ni kuruhusu free market economy mengine yote yata align into place.

Ukitaka kula sharti uliwe kidogo na wewe.
 
Back
Top Bottom