Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,607
- 15,711
😃😃😃Sisi unakosea,mtaje aliekua anaficha,sema fulani alikua anaficha takwimu,ukisema sisi ni kwamba unatulazimisha sasa
Nimekuelewa ndugu. Rais Magufuli alikuwa akificha data za corona na hata kuwaaminisha watanzania wengi kwamba corona haipo



