Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jidanganye tu kama haitabeba mizigo . Pole nadhani initial ulidhani ni impossible kwa Tanzania kujenga SGR na kua na treni za umeme
umeme haina nguvu tosha ya kubeba tonnes ya mizigo mchizi wangu..... niulize mm mhandisi nikujibu.

this Tz's multi billion dollar mega project is only limited to tanzanian passengers, period.! heri ata ingekua ya fossil fuel kama yetu, na ibebe abiria pamoja na mizigo ya DRcongo, burundi, rwanda na Uganda... hapo my brothers mngekua mme kill it!.. ingekua na manufaa maradufu... ingejenga sana uchumi wa tz

lakini kwa sasa wacha tujitayarishe kutizama tu maua, yani bonge la binti💋💝🧜‍♀️ atakaye tubabaisha na maumbile ya kukata na shoka.......

nb: mwanamke sio urembo... ni tabia na anaye chapa kazi
 
Hiyo inaonyesha ni jinsi gani ulivyokua mjinga na mpumbavu. Wakenya wengi hizi social media ndio zimewafungua macho, mlikua wajinga Sana

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
but am well vast with more mature established countries than your shithole kantiri, even prior to joining this thread.! niulize nikujibu. sasa nijisumbue na nchi ambayo tunaipiku kwa kila kitu mpaka saa ngapi.. tht will be a waste of my precious tyme! sina tyme na tanganyika, a Least-Developed-Country
 
but am well vast with more mature established countries than your so called shit hole kantiri, even prior to joining this thread.! niulize nikujibu. sasa nijisumbue na nchi ambayo tunaipiku kwa kila kitu mpaka saa ngapi.. tht will be a waste of my precious tyme! sina tyme na tanganyika
Muhimu ni kwamba umekubaki kwamba ulikua mjinga na mpumbavu Kama walivyokua wakenya wengi, ujio wa social media ndio umeanza kuwafumbua macho kwamba slums, njaa, ukabila na umasikini wa kupindukia sio matatizo ya Africa nzima, only in Kenya.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Damn hii collection ni zaidi ya collections za nchi zote za East Africa combined.
Na wadanganyika bado wanajuiluzia kwa nini Kenya imeendelea kuwaliko. Sasa MTU kama anaingisha mshahara karibia mara mbili, mtaoatana aje kimaendeleo?
FB_IMG_16571982325307959.jpg
 
umeme haina nguvu tosha ya kubeba tonnes ya mizigo mchizi wangu..... niulize mm mhandisi nikujibu.

this Tz's multi billion dollar mega project is only limited to tanzanian passengers, period.! heri ata ingekua ya fossil fuel kama yetu, na ibebe abiria pamoja na mizigo ya DRcongo, burundi, rwanda na Uganda... hapo my brothers mngekua mme kill it!.. ingekua na manufaa maradufu... ingejenga sana uchumi wa tz

lakini kwa sasa wacha tujitayarishe kutizama tu maua, yani bonge la binti💋💝🧜‍♀️ atakaye tubabaisha na maumbile ya kukata na shoka.......

nb: mwanamke sio urembo... ni tabia na anaye chapa kazi
Una uiengineer upi? 😅😅😅😅

Unajua line ya SGR ni kilovolts ngapi?
 
Ushuru watoe wapi kama hizi ndio butchery zao. 🤣 🤣 🤣 Hadi machinga wanauza nyama.




Image
Hili lisharobaro limevaa kofia nyeupe limekalia mtungi wa nyama linanyambanyambia tu nyama alafu wateja wanunue ile ile nyama 😂😂.
Kwa nini nyama fresh inauzwa nje kwa uwazi? Kwani hakuna public health Danganyika? Tabia za kiLDC
 
Uogopi kuwa naweza kuwa SPY wa kibongo for DRC.. nakusanya data? 🤣🤣

Kingine..

Umeielewa vizur hii video?.. imepostiwa pia na page ya Rwandan Presidency office
paka anachokitafuta atakipata, time will tell
 
Back
Top Bottom