umeme haina nguvu tosha ya kubeba tonnes ya mizigo mchizi wangu..... niulize mm mhandisi nikujibu.
this Tz's multi billion dollar mega project is only limited to tanzanian passengers, period.! heri ata ingekua ya fossil fuel kama yetu, na ibebe abiria pamoja na mizigo ya DRcongo, burundi, rwanda na Uganda... hapo my brothers mngekua mme kill it!.. ingekua na manufaa maradufu... ingejenga sana uchumi wa tz
lakini kwa sasa wacha tujitayarishe kutizama tu maua, yani bonge la binti



atakaye tubabaisha na maumbile ya kukata na shoka.......
nb: mwanamke sio urembo... ni tabia na anaye chapa kazi