joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hapa ninakubaliana na wewe 100%Huu ni upuuzi na hamtapata customers. Hamuwezi kucompete na Qatar na Emirates on pricing. Upuuzi kama huu ndio ulinilazimisha kutumia emirates badala ya KQ japo nilitamani kutumia KQ kwa sababu ya uzalendo lakini bei yao ni ya upuuzi. Air ticket ya KQ ilikuwa double the price ya Emirates. Yaani hata kama wewe ni mzalendo vipi, huwezi kutumia ATCL au KQ wakati kuna air ticket ambayo ni cheaper by 50%. No wonder airlines zetu zitaendelea kufeli na za Waarabu zitaendelea kufaulu. Pricing is everything.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app