7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,067
Kwani huyu jamaa huwa ana shida gani kichwani? Chuki yake ni kwanini Magufuli alianzisha ujenzi wa reli.Iyo testing inafanyika dar moro alafu uko apa unaongea matope
Likija suala la mradi wowote wa Magufuli anajisikia uchungu sana.Bado ninatafakari hasira na chuki yake ni nini, nitapata tu jibu la uhakika [emoji848][emoji848][emoji848]