Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

KOT ni 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
Tunataka apology la sivyo tutamsumbua mpaka afunge twitter account yake. Atajua kuna kanchi kanitwa Kenya huwa hakatajwi ovyo ovyo. Aulize CNN walilazimika kuapologize baada ya kutaja Kenya hovyo hovyo.
 
Unajua dar Moro kuna mabasi mangapi tena luxury plus coaster ndio ujue kuna demand kiasi gani ya usafiri . Hiyo namba inapigwa hata ndani ya mwaka mmoja . Watu wanasafiri sana nenda stendi ya Magufuli huone idadi ya mabasi ni mengi sana
SGR ya tanzania ibebe 7m passengers in one year? Itakua unavuta bangi kijana sindio?
 
Damn hii collection ni zaidi ya collections za nchi zote za East Africa combined.
Kenyas collection of Ksh 2.031 trillion (Tsh 40 trillion) is almost twice Tanzanias Tsh 22 trillion collection for the financial year 21/22.
Usiulize kwa nini Kenya imeendelea kuliko Tanzania we spend 2× what Tanzania spends in one year. The compounding extra net spending for years has made Kenya more developed and have a higher gdp than Danganyika
Screenshot_20220707-161925.jpg
 
Pesa otas!
Kenya's total revenue in Tshs is; Tshs 40.62T vs Tanzania's Tshs 21.4T
The best 007 iko wapi GDP ya $150B? yaani economic output yake, it is impossible to collect such little money kwa GDP ya $150B mjukuu,😖😛 yaani Morocco ya GDP ya $133B collects $35B (Tshs. 69T).., Kenya GDP ya $107B collects Tshs 40.6T, Tanzania ya GDP $77B collects 21.4T hapo iko sahihi kabisa..,
1657200596678.png

1657199227344.png

VS
1657199311503.png
 
Weka 'r' hapo ondoa 'l' ili ujumbe ukufikie vzr ukeshe ukilia, furaha yng ni kuona mkipata shida na mateso hapa duniani
Sasa kwa vile mnateseka ndo unafosi tufanane, bundle pekeake ilipopandishwa bei mlilia sana mtandaoni, je mkipandishiwa unga!??
 
Kenyas collection of $2.031 trillion (Tsh 40 trillion) is almost twice Tanzanias Tsh 22 trillion collection for the financial year 21/22.
Usiulize kwa mini Kenya imeendelea kuliko Tanzania we spend 2× what Tanzania spends in one year. The compounding extra net spending for years has made Kenya more developed and a higher gdp
View attachment 2283585
Nchi kubwa, watu wengi, city moja yenye CBD moja na makazi uchwara, alafu uchumi hafifu, watanzania hunichekesha wanavyo penda ubishi na domo domo, kumbe wanyonge duh😂😂😂😂
 
Kenyas collection of $2.031 trillion (Tsh 40 trillion) is almost twice Tanzanias Tsh 22 trillion collection for the financial year 21/22.
Usiulize kwa mini Kenya imeendelea kuliko Tanzania we spend 2× what Tanzania spends in one year. The compounding extra net spending for years has made Kenya more developed and a higher gdp
View attachment 2283585
Ile informal economy yao ya kushop kwa vibanda watatoa ushuru wapi. 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kenyas collection of $2.031 trillion (Tsh 40 trillion) is almost twice Tanzanias Tsh 22 trillion collection for the financial year 21/22.
Usiulize kwa nini Kenya imeendelea kuliko Tanzania we spend 2× what Tanzania spends in one year. The compounding extra net spending for years has made Kenya more developed and a have a higher gdp than Danganyika
View attachment 2283585
Hebu tuwekee in dollars manake hii pesa ya madafu ya tz siielewi.
 
Nimeangalia report DW walikuwa wanaonesha maisha ya wakazi wa Nairobi jinsi yalivyo,kiukweli kidogo nilie😭😭 nimeona bado Waafrika tuna kazi kubwa sana ya kufanya hasa kenya🇰🇪 Yani unakuta mwafrika anaishi kama mbwa...Kibaya zaid kilicho niumiza wakazi wengi wa hapo ni WAJALUO(kabila langu) ndiyo maana wakikuyu wanatuzidi akili sana,tunapaswa kuamka tuache sifa za kipuuzi na wakati hali zetu mbaya sana
 
Machinga hawalipi ushuru. Danganyika will forever remain behind Kenya
Jambo moja ambalo unapaswa kufahamu ni kuwa huu ni mwaka wa uchaguzi hapo kenya,kwahyo lazima serikali ijioshee kwa wapiga kura kuwa imekusanya pesa nyingi sana na wakati ni utumbo mtupu😂😂....Namuona RAO akiapishwa soon,Politic is science
 
Nimeangalia report DW walikuwa wanaonesha maisha ya wakazi wa Nairobi jinsi yalivyo,kiukweli kidogo nilie😭😭 nimeona bado Waafrika tuna kazi kubwa sana ya kufanya hasa kenya🇰🇪 Yani unakuta mwafrika anaishi kama mbwa...Kibaya zaid kilicho niumiza wakazi wengi wa hapo ni WAJALUO(kabila langu) ndiyo maana wakikuyu wanatuzidi akili sana,tunapaswa kuamka tuache sifa za kipuuzi na wakati hali zetu mbaya sana
Ebu kwanza tuambie ni nani wanakaa tandale, vingunguti , manzese, mbagala, kipawa etc
 
Nimeangalia report DW walikuwa wanaonesha maisha ya wakazi wa Nairobi jinsi yalivyo,kiukweli kidogo nilie😭😭 nimeona bado Waafrika tuna kazi kubwa sana ya kufanya hasa kenya🇰🇪 Yani unakuta mwafrika anaishi kama mbwa...Kibaya zaid kilicho niumiza wakazi wengi wa hapo ni WAJALUO(kabila langu) ndiyo maana wakikuyu wanatuzidi akili sana,tunapaswa kuamka tuache sifa za kipuuzi na wakati hali zetu mbaya sana
Omera polee...!!
 
Nimeangalia report DW walikuwa wanaonesha maisha ya wakazi wa Nairobi jinsi yalivyo,kiukweli kidogo nilie nimeona bado Waafrika tuna kazi kubwa sana ya kufanya hasa kenya Yani unakuta mwafrika anaishi kama mbwa...Kibaya zaid kilicho niumiza wakazi wengi wa hapo ni WAJALUO(kabila langu) ndiyo maana wakikuyu wanatuzidi akili sana,tunapaswa kuamka tuache sifa za kipuuzi na wakati hali zetu mbaya sana
Propaganda boy ameamka tena
 
Back
Top Bottom