tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Mbona nyie hamjawah admitt kibera ni problemTuletee ile mbagala diamond aliimba, " tatizo kwetu mbagala"
Mbona nyie hamjawah admitt kibera ni problemTuletee ile mbagala diamond aliimba, " tatizo kwetu mbagala"
Tupatane next financial year ya 22/23 tuone kama collection za KRA zitakua chini ya ksh 2.03 trillion.Jambo moja ambalo unapaswa kufahamu ni kuwa huu ni mwaka wa uchaguzi hapo kenya,kwahyo lazima serikali ijioshee kwa wapiga kura kuwa imekusanya pesa nyingi sana na wakati ni utumbo mtupu😂😂....Namuona RAO akiapishwa soon,Politic is science
Imefanywa wapi.ile videp haikufanyika mbagala
Boss ondoeni kwanza mauswazi yaliotapakaa tanzania nzima ndo tuongee kibera.Mbona nyie hamjawah admitt kibera ni problem
Inasikitisha sana. Hawa akina Omera wanatakiwa kuamka siyo kula tu kamongo.Wajaluo kule Kenya ni maskini wa kutupa wengi wao naskia hawakuenda shule na ndiyo wapo wengi cjui ni kweli? Ila kwenye suala la umaskini wa wajaluo lipo wazi.
Wajaluo ni wasomi sana bro usidanganywe[emoji1787][emoji1787]Wajaluo kule Kenya ni maskini wa kutupa wengi wao naskia hawakuenda shule na ndiyo wapo wengi cjui ni kweli? Ila kwenye suala la umaskini wa wajaluo lipo wazi.
si niliwaambia nyinyi wabongo huaga mnatufuatiliza sana sisi kenyaland... najua hamtakubaliana nao, lakini huo ndo ukweli wa mambo. was it not for this thread, swear i bearly knew nothing bout' tanganyikaWajaluo kule Kenya ni maskini wa kutupa wengi wao naskia hawakuenda shule na ndiyo wapo wengi cjui ni kweli? Ila kwenye suala la umaskini wa wajaluo lipo wazi.
Wanajaribu kulinganisha na hizi middle class zao hazikai 😅😅😅So, hii huitaki [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2283763View attachment 2283764View attachment 2283765
Huyu mama ana pesa kichizi, Tony254 huyu mama anaweza kuinunua Nairobi anytime, nakumbuka kuna kipindi niliweka taarifa yake ukasema ni Muarabu 😅😅
Singlehandedly alisaini juzi kati joint ventures na major US company kuanzisha EPZ huko Kusini, actually ni mtu wa kusini kama surname yake ilivyo ila utajiri wake upo mpaka Lake Zone, hii ndio tofauti ya Tanzania na nchi yako, hatuna ukabila, mtanzania sehemu yoyote anatoboa
View attachment 2283835
Hao ndio waliosoma zaidi hii Kenya na ni werevu sana.Wajaluo kule Kenya ni maskini wa kutupa wengi wao naskia hawakuenda shule na ndiyo wapo wengi cjui ni kweli? Ila kwenye suala la umaskini wa wajaluo lipo wazi.
Tofauti ni kubwa sanabut this[emoji1427] one is 10× better thanView attachment 2283771
this Fuso over here[emoji1427]View attachment 2283772
Tandale paleImefanywa wapi.
Huu ndio upuzi wa SGR ulikua unafanya tunanyamazishwa na wadanganyika? Hili litrain ni mzee na linapiga kelele za chuma sana.mimi nilikua natarajia kichwa kama nyoka... kumbe tu ni Fuso ndo tunaletewa.!🤔 makosa sana. hapo tumechezwo View attachment 2283728
vs
View attachment 2283735
Woiye, Boris Johnson amelazimishwa kustep down. Pole sana kwake.
then ni ya abiria pekee, na wala haitobeba mizigo ya DRcongo, burundi, rwanda na zambia... ata tazara ni afadhali mara mia. recovering wht was injected will not be easy, ask Tony..Huu ndio upuzi wa SGR ulikua unafanya tunanyamazishwa na wadanganyika? Hili litrain ni mzee na linapiga kelele za chuma sana.
Heri diesel SGR ya Kenya ×100
Bakhresa hiyo ni Mali yake sio Mali ya familia, Kama alivyokua Mengi na Kirubi, ni Mali zaoForbes haijawahi kurate Vimal Shah kama dollar billionaire. Kenya haijawahi kuwa na dollar billionaire. Hio $1.6 billion au $2 billion ni mali ya Vimal Shah and family. Yaani wealth ya familia ya shah including baba yake Bhimji shah. Hii ni article ya 2013 na ipo very clear that hio family business ilikuwa worth $1.6 billion in 2013 na hawajasema wealth ya Vimal Shah mwenyewe. By the way just for your information, forbes ilishindwa kuvalue wealth ya Uhuru Kenyatta as a person kwa sababu hawajui Uhuru ana-own share ngapi ya family business. The Kenyatta family is very wealthy lakini ni impossible kujua Uhuru mwenyewe ana-own share ngapi ya hio family business. It is the same for Vimal Shah. It is also the same for the Bakhresa family in Tanzania. Soma hapa chini, wameandika vizuri sana "Vimal Shah and family". Hio sio mali ya Vimal pekee kama venye unasema.
![]()
Vimal Shah & family
Vimal Shah & family is #18 on Forbes' 2013 Africa's 40 Richest list. Read more about Vimal Shah & family, their experience, their asset summary, and more here.www.forbes.com
Danganyika SGR is doomed to fail, its just a matter of time.then ni ya abiria pekee, na wala haitobeba mizigo ya DRcongo, burundi, rwanda na zambia... ata tazara ni afadhali mara mia. recovering wht was injected will not be easy, ask Tony..
now this is wht i was discussing with u about.... this is wht is usually reffered to as the best example of an authentic white elephant project
Du hizi nauli ni noma