Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
acha ushamba,kodi haikusanywi ipasavyo mapato mengi yanapotea ,hii yote ni uzembe wa serikali....wakisema wafanye bidii ya ukusanyaji mapato hamgusi hata roboNchi kubwa, watu wengi, city moja yenye CBD moja na makazi uchwara, alafu uchumi hafifu, watanzania hunichekesha wanavyo penda ubishi na domo domo, kumbe wanyonge duh![]()


makosa sana. hapo tumechezwo 