Hao Wacongo wanatuhusu nini sisi?Ukija JF wanakwambia ligi yao ina pesa lakini star kavaa label bonoko, eti guggi nroth eace [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji375] View attachment 2281922
Hao Wacongo wanatuhusu nini sisi?Ukija JF wanakwambia ligi yao ina pesa lakini star kavaa label bonoko, eti guggi nroth eace [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji375] View attachment 2281922
Na nyie mliojengewa barabara na mchina tuwaitaje?In this day and age watanzania wamejengewa shule na China kufundishwa siasa. [emoji23] [emoji23] [emoji23] View attachment 2281925
Iko hivyo usipunguze wala kuongeza pasipo ushahidi wa credible source japo tunajua idadi ime triple.Mbona hiyo ni kidogo bongolala? [emoji23][emoji23][emoji23]
Kufunzwa siasa na wachina ni dharau sana.Na nyie mliojengewa barabara na mchina tuwaitaje?
Unataka tui zoom Kibera? Unaumizwa sn na ma slums yenu na kuyaondoa huwezi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani hiyo ya Kibera and surrounding areas imekuwa zoomed?
CCM itatawala milele na milele amina. 🤣🤣🤣In this day and age watanzania wamejengewa shule na China kufundishwa siasa. 😂 😂 😂 View attachment 2281925
Nani anayefuata hayo uliyoyasema kati ya hao wawili? Hakuna Rais wa Tanzania kutokea CCM atafuata hayo unayoyasema mark my words, kwanza mamlaka aliyonayo kikatiba hayampi hamu ya kufanya hayo uliyosema, narudia tena HAKUNA RAIS WA TZ KUTOKEA CCM ATAFUATA HAYO ULIYOSEMA hata Rais ungekuwa wewe.The best president to me is the one who upholds the rule of law, human rights, respect democratic space, freedom of speech and association.
Sasa hapo nichagulie raisi wewe unayeona ananifaa.
Nyie waliowafundisha siasa waliwaigiza chaka la siasa za kikabila.Kufunzwa siasa na wachina ni dharau sana.
Wapi hii mbona kumepauka namna hii?
Nyie mnaojengewa vyoo na USAID..?Msinye vichakani?Acha uree wwIn this day and age watanzania wamejengewa shule na China kufundishwa siasa. [emoji23] [emoji23] [emoji23] View attachment 2281925
Hakuna mambo ya paraphenalia wala nini. Eni lng ni $9 billion na Total lng ni $20 billion. Total valuation ndio hio $29 billion waliyopost hapo.Sasa hiyo $9bn ya ENi na paraphernalia zake ndio ime boost position ya Mozambique kwenye ile list uliyoshangaa kwanini Mozambique iwe juu.