Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii render 3D picture!
Lazima tu mpinge Kila kitu?

Hii render 3D picture!
1655215577843.jpg
1655215256953.jpg
1655215229880.jpg
1655215205973.jpg
 
Uchafu wa pwani wa Dar.,
View attachment 2260451
Wewe huoni hizo takataka zimewekwa kimkakati tena anaonekana huyo mzungu anachukua picha kwa karibu ili ionekane big problem hao itakuwa watu wa enjiozi wanatafuta pesa , ukitazama ilo eneo walilo simama pembeni ni safi hadi mchanga tumia akili
 
😂😂😂😂😂😂👇👇👇👇 hebu tuaminishe sasaView attachment 2260644View attachment 2260645
Kwani wewe ni kipofu? wacha upumbavu sasa
1655216245486.png


Yaani iko same, kabisa, tofauti ni hiyo sehemu wamefanya clearance na kuweka fence, ujenzi unataka kufanyika., google earth ni current, picha pengine ni ya nyuma kidogo, ila buildings zote ziko, muonekano ni wa bird's eye view kilaza., linganisha pole pole., buildings ndefu unayaona kwa juu (rooftops)., umekufa wewe😂😂😂😂😂😂😂
1655216260579.png
 
wataelewa tu
Tusishabikie upumbavu mbona serikali aikusema kua hao wamasai siyo watz ? Upumbavu ni waserikali hadi leo imeshinda kutoa vitamburisho vya taifa hadi vile vilivyo tolewa mwanzo vimefikisha miaka 10 na kuexpire
 
I remember too, pia kuna an estate in Kisumu was posted some years back, mtu akasema "wacha ujinga hapo ni nairobi" mibongolala😂😂😂, Tanzania wako na nini kiukweli to level up with Kenya's development outside Nairobi? yaani ni domo domo tu.,😂😂😂😂😂
View attachment 2260508
They are very good at vita na midomo na kulazimisha mambo
 
Naujua uchumi wa Tanzania na Mwanza vizuri sana, na ninaweza kukuhakishia kuhusu huyo Muwekezaji siyo kama mnavyoambiwa, kama ni kweli ipo siku mtarudi hapa kuja kulalamikia haya mnayoyasifia!
Hapo kuna kitu cha ziada kimejificha
 
Kwani wewe ni kipofu? wacha upumbavu sasa
View attachment 2260662

Yaani iko same, kabisa, tofauti ni hiyo sehemu wameng'oa nyasi na kuweka fence, ujenzi unataka kufanyika., google earth ni current, picha pengine ni ya nyuma kidogo, ila buildings zote ziko, muonekano ni wa bird's eye view kilaza., linganisha pole pole., buildings ndefu unayaona kwa juu (rooftops)., umekufa wewe😂😂😂😂😂😂😂
View attachment 2260663
Achana na huyo mjinga. Yani Kisumu imemshtua hivyo 😂 😂 😂
Jamaa boya sana
 
Kenya ndiyo nchi pekee duniani inayoruhusu mifugo kuingia CBD na kunya kunya hovyo View attachment 2260234

Unajua nilivyoona hizi picha nilishangaa sana, kilichonishangaza ni guts za yule mwehu aliyezileta akisema eti Nairobi Masaai huchunga ng’ombe everywhere as long as ana kibali cha Serikali…..kilichonishangaza kikubwa ni kuona anajivunia watu kuchunga ng’ombe hadi CBD, kingine ni guts za kutuambia kuwa na sisi tuige huo upuuzi kumbe hajui kuwa hiyo huruma wanapewa wamasaai Nairobi ni guilty conscience ya manyang’au waliodhurumu ardhi yote ya Nairobi kwa wamaasai na sasa wanapaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Anyways, tuachane na wenzetu wako kwenye post agrarian revolution, inawezekana hao sio ngo’mbe ni drones
IMG_0012.jpg

IMG_0013.jpg

 
Back
Top Bottom