Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tazameni jinsi wanajeshi wa DRC wanalemewa na M23 rebels. Wale rebels TPDF ilidanganya ulimwengu kwamba imewamaliza.

wacha uwongo wa kuropoka ropoka hovyo kama mtoto ,mission ni makubaliano TPDF ilisign mkataba na baada yakufanya vyema ikaondoka zake..Je ni lini TPDF ilikuambia kuwa imemaliza kila kitu?

vikundi vya waasi vinaundwa kila uchao leo wakifa hawa kesho wanazalishwa wengine season ya TPDF ilishapita wakafanya yao kwa kuwachakaza M23 kusha wakarudi ..

sasa ni 2022 maisha mengine kabisa
 
😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka sana nani alikwambia hapo ni kisumu au umeokota picha na nikuoneshe sehemu ulipookota hio picha
If you have balls I dare you to show where I picked the picture.
 
Inatesa sana, ni uchungu, angesema ni Nairobi hapo, ni vile Kuna maji., ama wasingizie Mombasa😂😂
Wanadhani Kenyan cities are dull like the ones in Tanzania. Kwanza namngoja anionyeshe penye nimetoa huyo picha.
 
Kama render mwanangu
Screenshot_20220614-162421.jpg
Screenshot_20220614-095103.jpg
 
Back
Top Bottom