babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Nilikuwa speed sana mkuu, nimepiga baadhi tu zinazofanana.






wacha uwongo wa kuropoka ropoka hovyo kama mtoto ,mission ni makubaliano TPDF ilisign mkataba na baada yakufanya vyema ikaondoka zake..Je ni lini TPDF ilikuambia kuwa imemaliza kila kitu?Tazameni jinsi wanajeshi wa DRC wanalemewa na M23 rebels. Wale rebels TPDF ilidanganya ulimwengu kwamba imewamaliza.
nairobae Tony254 Coco Master Nicxie dyfre Don YF kujeni muone huyu mwarabu bonoko anapinga hata hapa sio Kisumu😂😂
nimekuuliza hapo ni sehemu gani kisumu naomba ujibu kuita watu wakusaidie haitakusaidia 😂😂😂😂
👇👇👇👇👇👇hebu tuambie haya ni maeneo gani hapo kisumu 🤣🤣🤣🤣
View attachment 2260596
Mipango tuu kama rwanda wameweza sisi tutashindwajeTuliangalie angalie hili mkuu kwa baadaye linaweza kutulipa, labda kama utakuwa mkubwa sana.
Hapo ni Milimani, uko na swali ingine?hebu tuambie haya ni maeneo gani hapo kisumu 🤣🤣🤣🤣
nauliza tena ni sehemu gani hapo kisumu 🤣🤣🤣🤣🤣nairobae Tony254 Coco Master Nicxie dyfre Don YF kujeni muone huyu mwarabu bonoko anapinga hata hapa sio Kisumu😂😂
View attachment 2260596
Hapo ni Milimani.nauliza tena ni sehemu gani hapo kisumu 🤣🤣🤣🤣🤣
Inatesa sana, ni uchungu, angesema ni Nairobi hapo, ni vile Kuna maji., ama wasingizie Mombasa😂😂nairobae Tony254 Coco Master Nicxie dyfre Don YF kujeni muone huyu mwarabu bonoko anapinga hata hapa sio Kisumu😂😂
View attachment 2260596
😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka sana nani alikwambia hapo ni kisumu au umeokota picha na nikuoneshe sehemu ulipookota hio pichaHapo ni Milimani, uko na swali ingine?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣na ww ume confirm hapo ni kisumuInatesa sana, ni uchungu, angesema ni Nairobi hapo, ni vile Kuna maji., ama wasingizie Mombasa😂😂
If you have balls I dare you to show where I picked the picture.😂😂😂😂😂😂😂 nimecheka sana nani alikwambia hapo ni kisumu au umeokota picha na nikuoneshe sehemu ulipookota hio picha
Wanadhani Kenyan cities are dull like the ones in Tanzania. Kwanza namngoja anionyeshe penye nimetoa huyo picha.Inatesa sana, ni uchungu, angesema ni Nairobi hapo, ni vile Kuna maji., ama wasingizie Mombasa😂😂
thibitisha hapo ni kisumu 🤣🤣🤣🤣 na leo nitahakikisha huchomoki trust meIf you have balls I dare you to show where I picked the picture.















The way Tanzanians talk here one would think that Dar and Tanzania in general is heaven on earth. Kumbe just another shithole city and country
nakwambia hvi thibitisha hapa ni kisumu 😂😂😂😂 milimani kisumu hahahahWanadhani Kenyan cities are dull like the ones in Tanzania. Kwanza namngoja anionyeshe penye nimetoa huyo picha.
nairobae Tony254 Coco Master Nicxie dyfre Don YF kujeni muone huyu mwarabu bonoko anapinga ati hapa sio Kisumu😂😂
View attachment 2260596
Ichoboythibitisha hapo ni kisumu 🤣🤣🤣🤣 na leo nitahakikisha huchomoki trust me
Achana na huyo mjinga ashalewa konyagi. That's Milimani, Kisumunairobae Tony254 Coco Master Nicxie dyfre Don YF kujeni muone huyu mwarabu bonoko anapinga ati hapa sio Kisumu😂😂
View attachment 2260596