Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa kwani sio slums? 😂😂😂

Eti sisi sio wenzao 🤣
Anaetaka kua mwenzenu kwenye slums ni nani?
Pipeline ya 2022 vs hii 👇 👇 takataka 90% poverty look in 2022!!😂😂😂😂., hatuwezi fanana kilaza..., hamuoni aibu kulazimisha fikra zenu., rudini mashambani mpande mahindi mtuuzie mpunguze ufukara na ushamba mlio jaza mjini, alafu, it's like over 60% ya Dar roads are not tarmacked😂😂😂😂😂😂😂.., niko free mtanzania ajitokeze kunidanganya..,
1655199307004.png

Vumbi city and ushamba in 2022😂😂😂😂😂
1655199321683.png

1655199364795.png

1655199375056.png

1655199396025.png


Ukilinganisha, yaani ni wazi Pipeline estate kwa mtanzania itakua ni downtown.., 🔥🔥😂😂😂
1655199480113.png

1655199490454.png

1655200466219.png

1655200380675.png

1655200395279.png

1655200411587.png

1655200424695.png

1655200444464.png

1655200487415.png
 
Ni lini utachanuka, hii kazi ya kuokota vipicha kwa google kujiliwaza haitowakomboa., mko hovyo ulie, ucheke, unyambe uhare mnabaki pale pale., Kumbe kampala ni Nairobi..,
View attachment 2260251

Alafu hizi matatu hauzipati kwa wingi hivi eti kwa stage Nairobi.,., Kenya sio Tanzania ya old model vehicles kwa wingi.., historia, kweli tumewanyonga kwa hii uzi, hamna pakutokea
View attachment 2260254
So hapa co ka Nairobi
JamiiForums563008670.jpg
 
Pipeline 🤮


Onyesha kote kote sio vijisehemu kujiliwaza, wekaq yote mazuri na mabaya tulinganishe., Na Dar je? na hizi ndizo standards kwa urefu na upana wa jiji 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
1655200799965.png
 
Wacha kukwepa na kapicha kamoja kazamani., sio wewe uli post hii? 👇 👇 👇 👇 google ni ya wasomi semi illitrate soja., hautumii tu kimandanzi😂😂😂😂😂😂😂😂., kuna google earth na youtube 2022 clips, mbona umekua muoga?😂😂😂
1655201021864.png


Nairobi old CBD kote kote downtown na upptown.., June 2022 hakuna kuficha., wenye wivu wajinyonge.,
Downtown..,


Uptown Nairobi CBD
 
Pipeline imeumiza watu sana, sasa kama hampendi mazingira machafu si mmbomoe? Au mui bomb hiyo area kuliko kulia lia na kufosi tufanane na mauchafu yenu.
Shughuli ipo kwenye fidia na ujenzi. Wanaogopa gharama wanaona bora liende tu hivyo hivyo.
 
Kenya ni dump site, hii ni pipeline na maeneo mengine yn uchafu uliowekwa humu ni 0.1% ya uchafu uliopo maeneo mengi ya Kenya, jamaa wachafu sn.

Kibera is overratedView attachment 2260322View attachment 2260323View attachment 2260325View attachment 2260326View attachment 2260327View attachment 2260328
Kuna jengo moja hapo juu lina matofali ya tope kuna siku litashuka na kuleta maafa. Kwanini viongozi wa Kenya huwa hawabadiliki na kuchukua hatua tofauti na TZ? Hapa hatuongelei battle,maisha ya watu yapo hatarini, kutatokea maafa makubwa mno kama hatua stahiki hazitachukuliwa.
 
Kuna jengo moja hapo juu lina matofali ya tope kuna siku litashuka na kuleta maafa. Kwanini viongozi wa Kenya huwa hawabadiliki na kuchukua hatua tofauti na TZ? Hapa hatuongelei battle,maisha ya watu yapo hatarini, kutatokea maafa makubwa mno kama hatua stahiki hazitachukuliwa.
Kenya kila siku mamia ya wananchi wanakufa kwa kuporomokewa na majengo yaliyojengwa na engineers waliopata elimu duni ya Kenya.
 
Pipeline imeumiza watu sana, sasa kama hampendi mazingira machafu si mmbomoe? Au mui bomb hiyo area kuliko kulia lia na kufosi tufanane na mauchafu yenu.
Wacha tubaki na uchafu wetu kuliko huu ushamba in 2022 bana😂😂😂😂😂😂., dhihirisho hamna hela ya kujenga flats/apartments😂😂😂😂..,
1655201711159.png

1655201523238.png

1655201678988.png
 
Hawako serious na maisha ya watu. Mlipuko wa ugonjwa ukitokea hapo ni hatari. Jiji kazi yake ni nini, wanaachaje uchafu utapakae namna hii, au kampuni za usafi ni za familia za watawala ( Untouchable).
Kenya nzima ni chafu mkuu, slums kila mahali mpk ikulu na hakuna hatua zozote zinazochukuliwa, wacha wafe wapungue wapo wengi mno alafu kanchi kenyewe kadogo, just imagine Wakenya wapo over 55mil (takwimu za zamani) kwa kanchi ambako ni mara mbili ya Tz while watanzania tupo only 60mil.
 
Back
Top Bottom