Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ichoboy

The burden of proof iko kwako, wewe umesema hapo si kisumu sasa tuambie hio picha ni ya wapi.
unatapika tena ??🤣🤣🤣 msaidie mwenzako kuthibitisha hapa ni kisumu

mujikusanye wote musaidiane kwangu haina shida naona usha change id tayar😂😂😂😂👇👇👇👇
D4A11BC4-4F4D-466D-A9CC-51EA9EEBF0F5.jpeg
 
Achana na huyo mjinga ashalewa konyagi. That's Milimani, Kisumu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 thibitisha hapo ni milimani kisumu mbona simple
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 thibitisha hapo ni milimani kisumu mbona simple
Wewe pinga hapo sio Milimani tukuonyeshe kivumbi 😂 😂 😂 😂 😂
 
My fren, pita mbali na mimi manake sipendi ufala.
😂😂😂😂😂😂 ***** munaokota picha za ovyo mukiona watu wajinga sana humu na ww niblock kama mwenzio manake kashaaibika au ndio ushabadikisha id tayar

na akitokea mkenya yoyote akathibitisha hapa ni kisumu anitag mm 👇👇👇
F14DE528-15F5-4992-B59B-88EB497923BA.jpeg
 
Very very old pictures, no plastic wastes in Tz nowadays, babayao255 naomba hii picha tafadhali jamaa analeta picha za enzi ya Mkapa
tapatalk_-794862658_595x300.jpg
 
nakwambia hvi thibitisha hapa ni kisumu 😂😂😂😂 milimani kisumu hahahah
Bongolala, wacha kuwa mbishi January to December. Haikusaidii chochote. That's Milimani estate in Kisumu.

Hizo nyumba on the left side of the pic with red roofing ni Tom Mboya Labour College. The apartment in the middle of the pic with white paint is Alkesh Apartments. The tall building near the lake shore is Bluewater Hotel (still under construction). Hiyo barabara unayoona hapo (with two white cars on it) inaitwa Ring Road.

Sasa unabisha nini wakati wewe upo Tandale Dar hundreds of kilometers away na sisi ni wenyeji wa Kenya na Kisumu tunaenda from time to time? Utaacha ubishi za kijinga lini?
 
Bongolala, wacha kuwa mbishi January to December. Haikusaidii chochote. That's Milimani estate in Kisumu.

Hizo nyumba on the left side of the pic with red roofing ni Tom Mboya Labour College. The apartment in the middle of the pic with white paint is Alkesh Apartments. The tall building near the lake shore is Bluewater Hotel (still under construction). Hiyo barabara unayoona hapo (with two white cars on it) inaitwa Ring Road.

Sasa unabisha nini wakati wewe upo Tandale Dar hundreds of kilometers away na sisi ni wenyeji wa Kenya na Kisumu tunaenda from time to time? Utaacha ubishi za kijinga lini?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 acheni sifa za kipuuzi mufahamu kua dunia ishabadilika hebu jaribuni kubadilika wajinga nyinyi
 
Sio Tanzania ya karne hii, ufukara mlio nao itawachukua mda, pengine muujiza ufanyike lakini sio kwa uchumi wenu.., kila kitu kiko wazi karne hii, vitu havisongi in Tz, miradi inajikokota unasema nini wewe
Umefurahi kwa sababu sasa hivi tunaye zuzu ikulu ....ngoja tuone 2025
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 thibitisha hapo ni milimani kisumu mbona simple
Kiboko ya mtanzania ni World bank, IMF< CAG, TANROADS, na Google earth😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
1655214940315.png
 
Back
Top Bottom