Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

View attachment 2260395
Huyo anaepiga picha uchafu ndio sampuli ya watalii wanaoenda kunyaland
Uchafu wa pwani wa Dar., 😂 😂 😂
1655207096953.png
 
Hii thread imejaa upuuzi sana. Umiliki wa property ni source ya income and wealth kwenye nchi zote! Usiwe muongo kiasi hiki! Kwa hiyo unataka nchi ijenge viwanda tu na watu wafanye kazi bila mahali pa kuishi? Interpretation yangu ni kuwa unataka the POOR working class wafanye kazi viwandani, wasiwe na fursa ya kumiliki property! Kama nchi inajenga viwanda, investments in property should also occur!

Real estate, shopping malls & Co. siku zote huja baada ya kujenga middle class ambayo inaweza afford hivyo vitu vinginevyo ni white elephant project, I mean hela za kulipia hizo appartments zitatokea wapi kama watu hawana kazi?
Labda nikuulize kwa nini shoprite na game wamefunga na kuondoka unafikiri ?
 
Hivi vibao vya summit vimewekwa very strategically, awali hayo maneno Tanzania hapo Chini haya kuwepo kwa ukubwa huo na lowest level hiyo ambayo hakuna picture utapiga isitokee hilo neno Tanzania

Pia Uhuru Peak waliamua kuweka bendera kabisa

Vibao vya zamani

View attachment 2260427View attachment 2260428

Vibao vya saivi

View attachment 2260431View attachment 2260432View attachment 2260430View attachment 2260429
Magu kaiamsha sn hii nchi, watu walikuwa wanafanya mambo bora liende ilimradi ana 10% yake, lkn bwana yule akasema hapana kuna faida kubwa tunaipata tukitanguliza nchi mbele kuliko 10%, now at least tumeanza kuenjoy umuhimu wa uzalendo, 10% tumewaachia failed state.
 
Naona umedhihirisha kwamba Geothermal plants Kenya hujengwa na makampuni ya nje! Zile kelele za Ethiopia ni kuchimba visima tu!
Wapi nilisema kwamba sisi tunajenga plants? Kuchimba pia sio kazi rahisi
 
Itakaa sawa kivipi? Majengo hayajengi nchi wala kuongeza income ya watu, kinachotakiwa siyo majengo mazuri mazuri bali ni viwanda vinavyoweza kutoa ajira kwa watu wetu ili kuongeza kipato na kujenga middle class inayoweza kumudu shopping, vinginevyo ni kujenga favela mpya, hao watu wote watawapeleka wapi ? Kuna sababu kwa nini walijenga huko milimani in first place.

Tanzania haihitaji shopping malls wala apartments na skyscrapers bali tunahitaji viwanda, …

Siyo viwanda tu hata kuwawezesha watu wetu kupiga hatua kwenye sekta nyingine kama sekta ya kilimo, uvuvi, ufundi n.k.
 
Real estate, shopping malls & Co. siku zote huja baada ya kujenga middle class ambayo inaweza afford hivyo vitu vinginevyo ni white elephant project, I mean hela za kulipia hizo appartments zitatokea wapi kama watu hawana kazi?
Labda nikuulize kwa nini shoprite na game wamefunga na kuondoka unafikiri ?
Sasa ngoja tumstopishe jamaa kujenga apartments lkn ututafutie mjenzi wa viwanda, we vp mkuu? Maviwanda yote hayo na infrastructures zote zinazojengwa Mwanza huoni?
 
Kabla Chato Burigi haijawa national park ilikua game reserve toka dunia imekua so hakuna mnyama aliehamishiwa, wanyama wote wapo toka dunia imeumbwa, bado Tanzania ina game reserves nyingi ambazo sio national parks zenye wanyama kibao!
Kadanganye wajinga! Wanyama walihamishwa kwenda Burigi! Upimbi aliofanya mwendazake ni kukandamiza wadau wa utalii wa Kaskazini walio kwenye sekta ya huduma za utalii kwa makodi kwa miaka nenda miaka rudi akidhani utalii hujengwa kwa mabavu! Na ndo ilikuwa hulka yake hata Kikwete alishawahi kulalamika!

Utalii siku zote ni mashirikiano wenye hoteli, conferences, airlines, restaurants, souvernir, Bureau de Change na tour firms Arusha wana hoteli Zanzibar au washirika na vice versa!

Ndo maana idea yake ya kupeleka utalii Chato imekufa nae! Southern corridor itakuwa kama Northern kwa vile private sector ndo inafanya mambo kule kwa ushirikiano na Northern circuit na Zanzibar!




 
Siyo viwanda tu hata kuwawezesha watu wetu kupiga hatua kwenye sekta nyingine kama sekta ya kilimo, uvuvi, ufundi n.k.

Hivyo vyote ulivyovitaja kwangu mimi vinajumuishwa kwenye viwanda, kwani Kilimo kuna viwanda vya karibia kila kitu kuanzia mbolea, pembejeo, mpaka chakula, uvuvi kuna viwanda vya kuchakata samaki na vyote hivi huongeza thamani siyo kama sasa hivi tunauza mahindi nje ya nchi tunaletewa unga tununue.

Hivyo kwangu mimi Viwanda ni neno jumuishi na linahusisha vyote ulivyovitaja kwani ufundi unahitajika sana tu viwandani pia.
 
chongchung coodip1 Geza Ulole nyie watatu ndio hufikiri kwamba Dar is a slum port inaweza kushindana na Mombasa port. Hii hapa ni new berth nambari 22 inafanyiwa testing kabla ya uzinduzi. Hii berth mpya ina capacity ya 450,000 TEUs na itafanya total capacity ya Mombasa port kufikia 2.1 million TEUs. Ikumbukwe Dar port inahandle chini ya 1 million TEUs. Hii ni meli ya kwanza kudock kwa hio berth.
download.png
download (1).png
download.jpeg
download (1).jpeg
download (2).jpeg


Cc tuusan
 
Halafu wanakuambia walishaachana na agrarian economy 😂😂😂

Wapo industrial economy tungetakiwa kuona robots barabarani badala yake tunaona ngamia na ng'ombe kila kona😅😅😅

Akili ya, mkunya bana tabu sana 😄

Unataja kote huko kwenye robot. Tulitaka tuone tu wameshiba. Hakuna anaye hofia kufa njaa. Upungufu wa chakula haupo tena.
 
Sasa ngoja tumstopishe jamaa kujenga apartments lkn ututafutie mjenzi wa viwanda, we vp mkuu? Maviwanda yote hayo na infrastructures zote zinazojengwa Mwanza huoni?

Naujua uchumi wa Tanzania na Mwanza vizuri sana, na ninaweza kukuhakishia kuhusu huyo Muwekezaji siyo kama mnavyoambiwa, kama ni kweli ipo siku mtarudi hapa kuja kulalamikia haya mnayoyasifia!
 
Back
Top Bottom