Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni vizuri wakati mwingine kukubaliana na wengine siyo kila wakati mawazo yako ni sahihi, au kila unachokijua wewe ni sahihi kwa wengine. Usipende kubisha kwa vitu usivyovijua unajiabisha.

Kuna shida mahali unajionaga unajua kila kitu na upo sahihi kwa kila kitu. Unapovuliwa nguo na upepo chutama. Kubali kuelimishwa bwana Gezaulole.
Hujajibu swali kama wanyama walikuwapo kwanini mwendazake alisomba wa Serengeti kupeleka Bugiri-Chato NP? Naomba ujibu bila siasa na histotia nyingi!
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 acheni sifa za kipuuzi mufahamu kua dunia ishabadilika hebu jaribuni kubadilika wajinga nyinyi
The best thing is that keleke utapiga but there's absolutely nothing you can do about this reality.

Remember I mentioned Alkesh apartments? This is it taken in different angles.
Screenshot_20220614-173147~2.png
Screenshot_20220614-172913~2.png
aerialviewlo.jpg
images - 2022-06-14T172853.557.jpeg
images - 2022-06-14T173931.661.jpeg
rightviewlo.jpg

It's just next to Tom Mboya Labour College. Now shove it in 😂 😂
 
Wewe huoni hizo takataka zimewekwa kimkakati tena anaonekana huyo mzungu anachukua picha kwa karibu ili ionekane big problem hao itakuwa watu wa enjiozi wanatafuta pesa , ukitazama ilo eneo walilo simama pembeni ni safi hadi mchanga tumia akili
Hapo ni Kenya mzee, hiyo picha nmepost mm, huyo anaona aibu hapo.
 
chongchung coodip1 Geza Ulole nyie watatu ndio hufikiri kwamba Dar is a slum port inaweza kushindana na Mombasa port. Hii hapa ni new berth nambari 22 inafanyiwa testing kabla ya uzinduzi. Hii berth mpya ina capacity ya 450,000 TEUs na itafanya total capacity ya Mombasa port kufikia 2.1 million TEUs. Ikumbukwe Dar port inahandle chini ya 1 million TEUs. Hii ni meli ya kwanza kudock kwa hio berth.
View attachment 2260465View attachment 2260466View attachment 2260467View attachment 2260468View attachment 2260469

Cc tuusan
port inatumia tractors za shambani unategemea efficiency hii ni sawa na kusubiria dafu chini ya mti wa mwembe.
 
Ni vizuri wakati mwingine kukubaliana na wengine siyo kila wakati mawazo yako ni sahihi, au kila unachokijua wewe ni sahihi kwa wengine. Usipende kubisha kwa vitu usivyovijua unajiabisha.

Kuna shida mahali unajionaga unajua kila kitu na upo sahihi kwa kila kitu. Unapovuliwa nguo na upepo chutama. Kubali kuelimishwa bwana Gezaulole.
Wachana na huyo jamaa. Atakupotezea muda bure.
 
The best thing is that keleke utapiga but there's absolutely nothing you can do about this reality.

Remember I mentioned Alkesh apartments? This is it taken in different angles.
View attachment 2260704View attachment 2260705View attachment 2260706View attachment 2260707View attachment 2260708View attachment 2260709
It's just next to Tom Mboya Labour College. Now shove it in 😂 😂
Utauwa watanzania, wasamehe., imetosha, wambie hapo ni Dar Oyster Bay., 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Wewe ni mjinga sana. Unasema kwamba majengo hayajengi uchumi. Unajua kwamba kuna sector nzima ndani ya uchumi ya kila nchi inayoitwa real estate sector?

Real estate huja baada ya kuwa nchi imeshajenga middle class ya kuweza kulipia hizo real estate, sasa nchi haina middle class ya kutosha real estate ita survive vipi?


1655219558220.jpeg
 
Sijui kinawashinda nini na wapo kwenye uchumi ya uundaji magari
Halmashauri ziko taabani hazina hela ya kulipa kandarasi ya kuzoa uchafu na zenyewe hazina uwezo hata wa kununua magari ya uchafu. Dar mwaka huu tuu tumenunua gari nyingi sana za uchafu kwa manispaa zetu.
 
Unajua nilivyoona hizi picha nilishangaa sana, kilichonishangaza ni guts za yule mwehu aliyezileta akisema eti Nairobi Masaai huchunga ng’ombe everywhere as long as ana kibali cha Serikali…..kilichonishangaza kikubwa ni kuona anajivunia watu kuchunga ng’ombe hadi CBD, kingine ni guts za kutuambia kuwa na sisi tuige huo upuuzi kumbe hajui kuwa hiyo huruma wanapewa wamasaai Nairobi ni guilty conscience ya manyang’au waliodhurumu ardhi yote ya Nairobi kwa wamaasai na sasa wanapaka mafuta kwa mgongo wa chupa. Anyways, tuachane na wenzetu wako kwenye post agrarian revolution, inawezekana hao sio ngo’mbe ni drones View attachment 2260676
View attachment 2260677
 
Huwezi kumchagulia investor biashara ya kufanya ingekuwa ni initiative ya serikali sawa lakini sio.

Ni kweli kuna investor wezi pia wanaopiga Dili la Mabilioni na hawajui wafanye nini na hizo fedha, lkn investor aliyekop benki atajali kama huo uwekezaji unalipa au la
 
Back
Top Bottom