Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,894
- 103,759
Hujajibu swali kama wanyama walikuwapo kwanini mwendazake alisomba wa Serengeti kupeleka Bugiri-Chato NP? Naomba ujibu bila siasa na histotia nyingi!Ni vizuri wakati mwingine kukubaliana na wengine siyo kila wakati mawazo yako ni sahihi, au kila unachokijua wewe ni sahihi kwa wengine. Usipende kubisha kwa vitu usivyovijua unajiabisha.
Kuna shida mahali unajionaga unajua kila kitu na upo sahihi kwa kila kitu. Unapovuliwa nguo na upepo chutama. Kubali kuelimishwa bwana Gezaulole.





