Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi-Nakuru highway as you enter Nakuru town
FB_IMG_1655203521407.jpg
 
Idadi ya Maasai na wanyama imezidi kuongezeka na kuwa kubwa na kutishia usalama wa wild animals, so kama wakiondolewa kwa haki mbona hakuna shida kabisa hapo.
Si wamepelekwa handeni,nasikia kuna kila kitu huko wameandaliwa
 
Investors have now discovered the new route of wealth
Yaani Mwanza itawaka haswaa. Sasa hawa wanaohamishwa wasiwaache wajenge kila mtu anapopataka ni vyema kupewa hati za viwanja vilivyopimwa ili pesa watakazolipwa wazitumie kujengea makazi mapya ambayo yatazidi kulipendezesha jiji kwa mpangilio ulio safi.

Wizara ya ardhi mnawajua watu wote ingekuwa vizuri mkawapa kipaumbele cha kupewa viwanja vilivyopimwa unless otherwise mtu atake pesa yake kuifanyia kitu kingine nje ya ujenzi wa nyumba.
 
Si wamepelekwa handeni,nasikia kuna kila kitu huko wameandaliwa
Ni kweli nimeona hata mimi nyumba wamejengewa nzuri tu na viwanja vimepimwa, sasa sijui kama ni wote wamekubali kuondoka au lah!

Siasa wakati mwingine huwa zinaharibu nchi. Hili lilikuwa jambo zuri lakini kuna wengine bado wanpinga. Hapa ndipo panaleta ukakasi. Walimalize kibusara zaidi.
 
Ni kweli nimeona hata mimi nyumba wamejengewa nzuri tu na viwanja vimepimwa, sasa sijui kama ni wote wamekubali kuondoka au lah!

Siasa wakati mwingine huwa zinaharibu nchi. Hili lilikuwa jambo zuri lakini kuna wengine bado wanpinga. Hapa ndipo panaleta ukakasi. Walimalize kibusara zaidi.
Kuna baadhi washaenda handeni
 
Yaani Mwanza itawaka haswaa. Sasa hawa wanaohamishwa wasiwaache wajenge kila mtu anapopataka ni vyema kupewa hati za viwanja vilivyopimwa ili pesa watakazolipwa wazitumie kujengea makazi mapya ambayo yatazidi kulipendezesha jiji kwa mpangilio ulio safi.

Wizara ya ardhi mnawajua watu wote ingekuwa vizuri mkawapa kipaumbele cha kupewa viwanja vilivyopimwa unless otherwise mtu atake pesa yake kuifanyia kitu kingine nje ya ujenzi wa nyumba.

Itakaa sawa kivipi? Majengo hayajengi nchi wala kuongeza income ya watu, kinachotakiwa siyo majengo mazuri mazuri bali ni viwanda vinavyoweza kutoa ajira kwa watu wetu ili kuongeza kipato na kujenga middle class inayoweza kumudu shopping, vinginevyo ni kujenga favela mpya, hao watu wote watawapeleka wapi ? Kuna sababu kwa nini walijenga huko milimani in first place.

Tanzania haihitaji shopping malls wala apartments na skyscrapers bali tunahitaji viwanda, …
 

5EC7E4EA-A9A4-4E95-AC7A-BE673460F194.jpeg

Waishio milimani Mwanza kuondolewa kupisha mwekezaji kutoka Brazil​



by swahilitimes44 minutes ago
Wakazi waishio maeneo ya mlimani jijini Mwanza wanatarajiwa kuhamishwa katika maeneo hayo ili kupisha wawekezaji kutoka nchini Brazili ambao wanatarajia kuwekeza kwenye sekta ya miundombinu, viwanda na utalii katika maeneo ya Igogo, Isamilo na Kegeto.

Akizungumza na Nipashe, Meya wa Jiji la Mwanza, Sima Constantine amesema wawekezaji hao kutoka jiji la Rio de Janeiro walifika jijini humo kuangalia fursa za uwekezaji, na mpango wa kuwahamisha katika eneo hilo unalenga kuboresha miundombinu pamoja na kukuza sekta ya utalii utakaogharimu TZS bilioni 150.

Aidha, amebanisha maeneo mengine ambayo wawekezaji wanayalenga ni pamoja na ujenzi wa kiwanda cha pembejeo za kilimo kwa ajili ya kuwahudumia wananchi wa kanda ya ziwa, ujenzi wa barabara pamoja na nyumba za ghorofa katika milima mbalimbali inayoangalia Ziwa Victoria.

Costantine ameeleza kuwa jiji limepewa jukumu la kulipa fidia katika maeneo ya Igogo, Isamilo na Kegoto ili kupisha uwekezaji huo.

Pia, wawekezaji hao wamekubaliana na jiji kutafuta ardhi na kukamilisha mipango ya ardhi ndani ya miezi mitatu kuanzia mwanzoni mwa mwezi huu kabla kazi hiyo kuanza.


Tanzania ina vituko sana. Okay, at least uwekezaji utabadilisha hali mbaya ya slums zilizopo kwenye Milima ya Mwanza. Lakini local government haijawahi kuwaza kufanya mpango wa kujenga affordable housing Kwa wananchi masikini, Au hata kutengeneza policies kulinda baadhi ya milima isikaliwe na watu. Yaani watu wanajenga mahali popote wanapotaka na mwisho wa siku this kinda mess is what you get.
 
Itakaa sawa kivipi? Majengo hayajengi nchi wala kuongeza income ya watu, kinachotakiwa siyo majengo mazuri mazuri bali ni viwanda vinavyoweza kutoa ajira kwa watu wetu ili kuongeza kipato na kujenga middle class inayoweza kumudu shopping, vinginevyo ni kujenga favela mpya, hao watu wote watawapeleka wapi ? Kuna sababu kwa nini walijenga huko milimani in first place.

Tanzania haihitaji shopping malls wala apartments na skyscrapers bali tunahitaji viwanda, …
Nimezungumzia mandhari.

Kitu kingine ni kwamba wanajenga kiwanda cha mbolea ambacho kitahudumia Kanda ya Ziwa hopefully kitakuwa kikubwa.

Kingine kuna hotel za kitalii na miundombinu ya barabara, hizi hotels na kiwanda zitaajiri watu, hapa hakuna faida kweli?

Kwani watu wakihamishwa hawatalipwa? Kuna fidia watapewa kama ambavyo mradi wa uwekezaji unavyosema. Labda kwenye kulipwa kiasi gani ndio sijajua, ila sijawasikia wakipinga.

Kukaa sawa namaanisha ujenzi duni na holela hautakuwepo, hivyo mandhari ya jiji itapendeza hata kwa utalii wa macho tu.

Watajenga beach ambayo itavutia watalii wa ndani na wa nje. Vipi hapo mkuu hakuna faida yoyote kweli?
 
Kenya ndiyo nchi pekee duniani inayoruhusu mifugo kuingia CBD na kunya kunya hovyo View attachment 2260234
Halafu wanakuambia walishaachana na agrarian economy 😂😂😂

Wapo industrial economy tungetakiwa kuona robots barabarani badala yake tunaona ngamia na ng'ombe kila kona😅😅😅

Akili ya, mkunya bana tabu sana 😄
 
Mzee umewahi kufika ARUSHA angalau ukapata kuona miradi aliyoifanya mwendazake Ili kuboresha mji wa Arusha, hiv unaujua mradi wa upanuzi wa runway ya uwanja wa ndege Arusha.? Unaijua miradi ya mabarabara karibu yote pale mjini, ujenzi wa zahanati.? Ukarabati wa shule kongwe n.k.? Au haujawahi fika kaskazini ndio mana unaropoka.? Moja Kati ya mipango ya Magufuli ilikua ni kutengeneza barabara ya Moshi-Arusha kuwa dual na miradi mingi mingi pale moshi mjini.. Umewahi kufika bahati wewe.? Nakuhakikishia barabara zinazoinganisha mikoa hapa Tz zote hazifiki uzuri na viwango vya barabara zinaunganisha mikoa ya kaskazini .. sasa kama kafanya mambo yote haya huyu bwana mwendazake vipi leo useme jamaa alikua anasambaratisha utalii Kaskazini.? Unajisahaulish kwamba ni katika uongozi wa Raisi magufuli ndio mapato yetu ya utalii yalipaa hata kuwazidi jirani wenye roho mbaya.?
ni ukweli usiopingika magufuli aliitenga mikoa ya kaskazini hususani kilimanjaro na arusha; dual carriage ya arusha moshi ilianza wakati wa kikwete hata hivyo magufuli akaisimamisha hadi alipofariki
 
Itakaa sawa kivipi? Majengo hayajengi nchi wala kuongeza income ya watu, kinachotakiwa siyo majengo mazuri mazuri bali ni viwanda vinavyoweza kutoa ajira kwa watu wetu ili kuongeza kipato na kujenga middle class inayoweza kumudu shopping, vinginevyo ni kujenga favela mpya, hao watu wote watawapeleka wapi ? Kuna sababu kwa nini walijenga huko milimani in first place.

Tanzania haihitaji shopping malls wala apartments na skyscrapers bali tunahitaji viwanda, …
Hii thread imejaa upuuzi sana. Umiliki wa property ni source ya income and wealth kwenye nchi zote! Usiwe muongo kiasi hiki! Kwa hiyo unataka nchi ijenge viwanda tu na watu wafanye kazi bila mahali pa kuishi? Interpretation yangu ni kuwa unataka the POOR working class wafanye kazi viwandani, wasiwe na fursa ya kumiliki property! Kama nchi inajenga viwanda, investments in property should also occur!
 
Hii thread imejaa upuuzi sana. Umiliki wa property ni source ya income and wealth kwenye nchi zote! Usiwe muongo kiasi hiki! Kwa hiyo unataka nchi ijenge viwanda tu na watu wafanye kazi bila mahali pa kuishi? Interpretation yangu ni kuwa unataka the POOR working class wafanye kazi viwandani, wasiwe na fursa ya kumiliki property! Kama nchi inajenga viwanda, investments in property should also occur!
Pia wamesema watajenga Kiwanda cha mbolea ambacho kitahudumia Kanda ya Ziwa, hotels na miundombinu ya barabara, bila shaka na maji, umeme na kila kitu,beach itajengwa sasa hapa hakutakuwa na ajira? Labda jamaa alikuwa hajasoma vizuri.
 
Back
Top Bottom