Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamna mtalii anaenda Kunyaland, kuna vurugu za uchaguzi kule!



Zile kelele za KQ kuizuia KLM isitue moja kwa moja Zanzibar na Kilimanjaro ziliishia wapi?
Siyo hivyo tu Royal tour imewaumbua baada ya kujua kumbe vivutio vingi vya utalii viko Tanzania na siyo Kunyaland ,Kwahiyo sasa hivi wanakuja moja kwa moja kwenye nchi ya neema iliyojaa maziwa na asali.
 
Public buses za Kenya alafu hawa eti ndio wanatengeneza buses za Tz
Screenshot_20220614-115040.jpg
 
True. Nandy hakuwa hivyo zamani. Kuna wakati watanzania humu walikuwa wanashabikia ubaguzi wa rangi Kwa kusema vibaya watu wenye skin tone nyeusi wa kutoka Kenya. Inashangaza sana Maana standards za aina hii Ndio zinawafanya wadada wadhani kuwa urembo ni kuwa na ngozi nyeupe. Otherwise you are just ugly. Absolutely disgusting!
Nachukiaga watu wanaojichubua, mwingine unamkuta hadi mishipa ya damu inaonekana utadhani ni nyama iliyocharangwa,wanatia kinyaa sana.
 
Hotel zimejaa Arusha kwa wingi wa Watalii na Chambulo anasema mwakani yatakuwa mafuriko makubwa ya watalii akashauri miundombinu ya hotel za nyota 5 ziongezeke maana za kwake 3 zote zimeshafanyiwa booking.

Ushauri wangu kwanini Ngurudoto na Impala zisifufuliwe na kumaliza kesi ambayo iko mahakamani ili zianze kufanya kazi.

Mambo ya kesi ni kujichelewesha..mazungumzo yafanyike, serikali au Banks ziingie ubia na hizi hotel zilipiwe madeni yake halafu watajua jinsi watamalizana biashara iendelee.
Naamini hili litafanyika, mama yupo smart ana ubinadamu! Wale wanaodaiana na Hotel za Ngurdoto wanaweza kufanya off the court settlement ikiwemo madai kulipwa in parts!
 
Nachukiaga watu wanaojichubua, mwingine unamkuta hadi mishipa ya damu inaonekana utadhani ni nyama iliyocharangwa,wanatia kinyaa sana.
wacheni kuzusha kwahiyo nandy hakuwa light skin? Leta picha zake humu!

Nandy_1648540158.jpg



Nandy-Siwezi.jpg


the-beautiful-Tanzanian-lass-Nandy.jpg
 
Back
Top Bottom