Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hatuangalii usasa pekeake bali pia efficiency.
EFFICIENCY yake kubwa kuvuta mabehewa 35 mpk 40 tena ya mizigo siyo uwezo wa kitoto.

vingekuwa vizur sifa angepewa mama, kwa kuwa vinaonekana vibaya lawama zote kwa marehemu
hiv vya SGR sifa atapewa nani? bila shaka itakuwa ni “mama anaupiga mwingi”

kuna jamaa opportunity cost hajatoa maelezo yoyote kuhusu hivyo vichwa.. kanywea balaa ..
 
Hvi cost ya kujenga refinery ni kiasi gani maana hawa waganda watakua wanefeli sana bila iyo kitu
kama umefuatilia huu mchakato utagundua team yao ilikuwa very competent kuna mawaziri kibao walitimuliwa na hata kesi nyingi za kuwabana kampuni za mafuta!
 
Wataalamu wa Tekinolojia ya mawasiliano hilo dude juu ya LC ni la kufanyia nini?

View attachment 2103745

sijui kama wameshajibu..
ila pitia google uangalie kazi yake
IMG_4527.jpg
 
Mbona haya mabasi yenyewe ya BYD mmeimport kutoka China. Kuna nini chenu hapo zaidi za kuandika hayo maandishi ya Hiyo Start up

BYD is the Chinese company and is the world largest Electric Vehicle Manufacturer. Angalia duniani kote wanaotumia electric Buses nyingi wameuziwa na BYD

View attachment 2100419
View attachment 2100420


Nyie Bus lenu hili hapa chini na mnatakiwa mfanye mambo kwenye upande wa Design
Hili ndio labda mjipongeze mmefabricate wenyewe.


View attachment 2100424
Ya kwenu yako wapi, tupia picha tuone hzo design kutoka bongo basi
 
Vipi kuhusu ufanisi wa mafuta na uwezo wa kubeba mizigo tofauti na tulizo nazo ? Za zamani zilikuwa na 8wezo wa kuvuta mabehewa mangapi
Mh hii speed yake haizidi 40km/hr.
Na mabehewa yanavyoongezeka pia kasi inaopungua.
Ila ni multipurpose hii train.
Haitumii mafuta mengi pia unaweza ukai connect ikawa electrified.
Inatumika ht ktk ukaguzi wa reli tofauti na kuvuta mabehewa ya mizigo pia ht abiria inafaa kusafirishia.
Za zamani zilikua zinavuta mabehewa mpaka 25.
Ila zilikua zna mwendo wa mpk 75 to 80km/hr.
 
I decided to google prices of these commodities and started with that of sugar. Then booom! I am met with shock, then decided not to waste my time on the other ones coz chances are, you lied as well. Hii karne ya internet unawezadanganya mtu kweli?

Prices of sugar in your country have shot to Tsh 3,000 so uwongo zako peleka Tandale

View attachment 2100459
Noma sana
 
Jicheke mwenyewe kwa kumiliki utajiri wa ujinga.Wewe unataka MGR itumie bullet train.Unaposema MGR ya JPM na ya SSH unamaanisha nini.Kipindi cha JPM kilichokuja ni vile vichwa 11 vya train vikaleta mushkeri tukatangaziwa havina mwenyewe mwisho tukaambiwa TRC imevinunua .Tatizo mnalazimisha kila mtu abaki kuimba Jimbo za kipuuuzi.
Hatakama Utamchikia Magu vipi
Yule hana Wakulinganishwa nae mpaka sasa Atazushiwa Mabaya yakila Aina
ila watanzania wana Akili
 
vingekuwa vizur sifa angepewa mama, kwa kuwa vinaonekana vibaya lawama zote kwa marehemu
hiv vya SGR sifa atapewa nani? bila shaka itakuwa ni “mama anaupiga mwingi”

kuna jamaa opportunity cost hajatoa maelezo yoyote kuhusu hivyo vichwa.. kanywea balaa ..
Utawaweza hawa nyumbu wa mjambiani kaka!?
Ila hvyo havina shida ni vya kupiga kazi tofauti.
 
Back
Top Bottom