Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha kuwa kichwa nyanya, kwani zile 3 heads of mgr train , unafikiri aliagiza nyanya yako?..apo usitete ujinga ameboronga huo uchafu wakulekea kenya sio Tz
Hivi ulimsikia mkurugenzi wa TRC wiki iliyopita.treni ya majariibio inawasili April au mwanzo wa May.Ujinga ni kupopoma bila kua na taarifa.Tatizo ni kujua kutumia smartphone tu.Kuweni na wivu wa kufuatilia vitu.Wenye akili husubiria Kwanza kabla kusema chochote.
 
We mpumbaavu umetoka wapi ,kikwete alifanikiwa kuleta kipingupindu tu na panya road na mateja
Haya matapishi jipake upendeze fala wewe..

JK alijenga uchumi mzuri Sana kwa wananchi na ndio Rais Samia anafuata nyayo.

Nenda ofisi yeyote ya Serikali uliza kama kuna shida ya flow ya pesa kwa sasa kama enzi za nyie washamba
 
Watu wapuuzi sana vichwa kwa ajili ya ku-scan rail tayari kelele halafu vipo modern!


10448245_800860706601827_2613221525103790937_n.jpg



10494932_800860816601816_4481893725003987590_o.jpg



10515149_800860779935153_1581267803404478636_o.jpg

Afadhali ajali za treni zitapungua maana zimezidi
 
hivyo vichwa viliagizwa chini ya Magufuli msitake kusingizia ati mama! Hivyo sogeza na vile vingine vyote vinatoka Malaysia! Na actually subirini seal itolewe vichwa ni vya kisasa!
Kwa usasa gani apoo , we mzee wacha kutuchonga, bibi kafail....
 
Kaka hilo dude lipo aisee kweli.
Yapo matatu mzee kanambia muda si mrefu maana anafanya kazi huko.
Ni za kubeba mizigo zina uwezo wa kuvuta mabehewa 35 mpk 40 ya mizigo.
Vipi kuhusu ufanisi wa mafuta na uwezo wa kubeba mizigo tofauti na tulizo nazo ? Za zamani zilikuwa na 8wezo wa kuvuta mabehewa mangapi
 
Kweli nimeamini kuwa mwanamke siyo AKILI Bali ule msemo mwanamke ni CHOO ni kweli kabisa kwa sababu wanafikiri kwa kutumia makalio
Wewe jamaa ni punguani kabisa huoni unamtukana hadi mamaako mzazi.Aliyekulea ww mshikaji alipata taabu sana inabidi tumtafute tujue shida ilikua kwake au wewe umejifunza tabia za ovyo mwenyewe.Mtu kichwa chako chote kimejaa matusi.Ni shida Sana aisee
 
Ni ya metre gauge bro siyo sgr.
Na inasemekana hiyo kulingana na uwezo wake wa kuvuta mabehewa mengi ya mizigo ndio itatumika kusafirishia Uganda.
Kama lina ufanisi mkubwa siyo mbaya maana kitu cha kwanza ni ufanisi ,mfano kama linatumia mafuta vizuri na kubeba mzigo mkubwa ,,,kama ni imara kuliko mengine ,kama bei yake ni zuri kuliko mengine .......kama litakuwa na sifa bora basi tunalipokea kwa mikono miwili
 
Sawa ka mkubwa ngoja tuweke imani yetu kwny performance na efficiency!!!.Pia imani kwa tuliowapa dhamana!!!
True kama performance na efficiency hipo juu basi tumepokea huo mzigo kwa mikono miwili maana tutakuwa tumeipiga sgr ya kenya kwa mgr yetu
 
Pata picha if Kunyaland was to lunch something like this! Hell will break loose!



MY TAKE
Congratulation to Dangote group and Nigeria at large!
 
Kama lina ufanisi mkubwa siyo mbaya maana kitu cha kwanza ni ufanisi ,mfano kama linatumia mafuta vizuri na kubeba mzigo mkubwa ,,,kama ni imara kuliko mengine ,kama bei yake ni zuri kuliko mengine .......kama litakuwa na sifa bora basi tunalipokea kwa mikono miwili
Leo mnajitia waungwana, mbona SGR dume letu linabeba double stack na bado mnaliponda..au vile leo yamewafika nyinyi
 
Back
Top Bottom