Ukweli ni kwamba wazanzibari hawajawai kuwa na akili hata siku moja ndiyo maana hakuna mzenji hata mmoja kwenye uongozi amewai kuwa na hotuba za kijasiri na kizalendo zenye logic ambazo zinaweza kutumika redioni hata siku moja ,cheki hata mama sa100 hakuna hotuba hata moja yenye akili ,kama ipo niwekee hapa ,tofauti na Nyerere na Magufuli hotuba zao zinawatisha wahuni wote serikalini na ccm hadi sasa japo wenyewe wamekwisha kufa,
Ndiyo maana wahuni wamezuia hotuba za magufuli maredioni ,wahandishi wa habari wamefumbwa midomo na wamiliki wa vyombo vya habari kwa maagizo kutoka kwa mama samia na na muhuni kikweti wakishirikiana na matajiri mafisadi na majangiri ,pamoja na wauza ngada ,kumdhibiti MAGUFULI ALIYE KWISHA KUFA