Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahaha!!kwhyo unaleta bei ya sukari za kupimiana mitaani sio[emoji1787][emoji1787]
Hata hyo bei uliyoitaja bado iko juu kw kenya mzee
Leta bei ya unga na mahitaji mengine.
Acha kuwa too defensive
 
😂😂 Markings is a no issue for now
infant markings ni Rangi tu!. i can go to road works hardware and purchase it very cheaply. kwa mfano; ukijenga nyumba, its the foundation, walling, roofing, plastering, finishings, plumbing, electrical.. tht matter most!.
sasa rangi nnn jameni.!🤔
 
Geza kasema[emoji1787][emoji1787]

Geza Ulole hawa jamaa huaga wanakuchukia lkn bado wanatembelea nyota yako..

Hata km lkn, ndio lifanane na bomu la heroshima[emoji1787][emoji1787]
Aliye cheki hivyo vichwa ni vyanini siyo geza ni babayao255 mimi nilitaka kucheki ila sikuona no zake kumbe zipo pembeni ,ila nilivuta pumzi alipo sema vime agizwa kipindi cha jpm nikajua ni vitu safi
 
vingekuwa vizur sifa angepewa mama, kwa kuwa vinaonekana vibaya lawama zote kwa marehemu [emoji23][emoji23][emoji23]
hiv vya SGR sifa atapewa nani? bila shaka itakuwa ni “mama anaupiga mwingi”

kuna jamaa opportunity cost hajatoa maelezo yoyote kuhusu hivyo vichwa.. kanywea balaa .. [emoji23][emoji23]
Wameumbuka baada ya kusema vya marehemu kisha vikagundulika ni vichwa vya ufundi sasa wanatamani wangesema ni kazi ya mama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hata daraja la tanzanite limejaa picha za kikwete na samia na team msoga
View attachment 2103973
 
Dar es Salaam
8fc9306a8b1363c410e3ddf6b8c60646.jpg
d65f58668e34257a26c7cd1b2e328860.jpg
eff569de6d6dca346808a5d8c18375cd.jpg
 

Attachments

  • eff569de6d6dca346808a5d8c18375cd.jpg
    eff569de6d6dca346808a5d8c18375cd.jpg
    138.6 KB · Views: 55
  • d65f58668e34257a26c7cd1b2e328860.jpg
    d65f58668e34257a26c7cd1b2e328860.jpg
    148.4 KB · Views: 57
BRT phase 2 ilitakiwa kuwa tayari mwaka jana hakuna kiongozi anaye sukuma huu mradi ,sasa hivi huu mwaka tulitakiwa tuwe tuna anza phase 3 na 4 kwampigo ,wakenya watafungua brt yao sisi bado tunatafuta uchifu mafii
 
Mh hii speed yake haizidi 40km/hr.
Na mabehewa yanavyoongezeka pia kasi inaopungua.
Ila ni multipurpose hii train.
Haitumii mafuta mengi pia unaweza ukai connect ikawa electrified.
Inatumika ht ktk ukaguzi wa reli tofauti na kuvuta mabehewa ya mizigo pia ht abiria inafaa kusafirishia.
Za zamani zilikua zinavuta mabehewa mpaka 25.
Ila zilikua zna mwendo wa mpk 75 to 80km/hr.
Siyo mbaya ila bei tuliyo uziwa ni sh ngapi maana kuna upigaji kwenye manunuzi sana
 
Hatakama Utamchikia Magu vipi
Yule hana Wakulinganishwa nae mpaka sasa Atazushiwa Mabaya yakila Aina
ila watanzania wana Akili
Wanajisumbua na upumbavu wao damu ya magufuli inawaita ndiyo maana daraja la tanzanite wamejaza picha za kikwete na samia kila kona na mwinyi ,hayo yote ni kutapatapa kwa damu waliyo mwaga dhidi ya maslai ya taifa
 
Back
Top Bottom