Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Umetisha mkuuhahahahaha 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
View attachment 2103221
Umetisha mkuuhahahahaha 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
View attachment 2103221
Mm nangojea hili flyoverlenu la chuma nione likiisha litafananaje, ila kusema ukweli bila kupepesa bora my flyover yenu yale ya matofali kuliko hii 😅😅😅Ukimaliza kulilia expressway tunakuletea hii. Huu mwaka lazima upate ugonjwa wa presha🤣🤣
View attachment 2103222
Jicheke mwenyewe kwa kumiliki utajiri wa ujinga.Wewe unataka MGR itumie bullet train.Unaposema MGR ya JPM na ya SSH unamaanisha nini.Kipindi cha JPM kilichokuja ni vile vichwa 11 vya train vikaleta mushkeri tukatangaziwa havina mwenyewe mwisho tukaambiwa TRC imevinunua .Tatizo mnalazimisha kila mtu abaki kuimba Jimbo za kipuuuzi.Najua itauma lakini huu ndio ukweli,
Hii treni ni kizamani Sana, hata kama ni MGR, naomba tulinganishe MGR ya Magufuli na huyu mama.
Magufuli
View attachment 2103212
Samia
View attachment 2103213
Tuliwacheka wakenya sasa ni zamu Yao kutucheka. Hata sasa sina Imani na aina za treni SGR kama tulizoambiwa na Magufuli ndo zitakuja. Nilisema tokea Mwanzo,huyu mama sio kabisa,Ila kuna wajinga wengi humu hawanielewi. Time will tell!😡
Pole mkuu yaani stimu zikakata😆😆🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mchana nilikua location napiga vyombo na tayari nilikua High, nilivyoliona nilishtuka sana[emoji1787].
Litafanana hiviMm nangojea hili flyoverlenu la chuma nione likiisha litafananaje, ila kusema ukweli bila kupepesa bora my flyover yenu yale ya matofali kuliko hii 😅😅😅
Ndio maana ata trc hayo madude yalivyongia hata hawajatangaza kwwnye akaunti zao maAna ni aibu 😅Po
Pole mkuu yaani stimu zikakata😆😆🤣🤣
Staki render mm nangojea vitu vyenyewe
Mipango mingi kabla ya Magufuli ilikuwa inaishia kwenye makaratasi tu, na hata pale ilipotimizwa ilikuwa low quality, Kikwete alifaulu sehemu moja tu nayo ni BRT sehemu nyingi alifeli vby au hata alipofaulu ilikuwa ni below average but nampa respect japo alizingua sn na hatoshi kwenye daraja la Nyerere na Magufuli ni dhambi kumuweka hapo hata yeye mwenyewe anajua.
Ngoja ya kwenu basi.Staki render mm nangojea vitu vyenyewe
Yaani dah!😆😆😆Nimecheka sana [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji90][emoji117][emoji2781][emoji706]View attachment 2103255
Hata mm siamini yaani,duh!Ndio maana ata trc hayo madude yalivyongia hata hawajatangaza kwwnye akaunti zao maAna ni aibu 😅
Kaupiga mwingi, nasubiri trc reli TV watuambie ni kitu gani hichiBomu la Hiroshima [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2103262
Yaani hii kama ni kweli ni sawa na mtu anayepiga penati mpira unakuwa wa kurusHii ni own goal wallahi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
hamnazo.Tulia wewe sukuma gang tuweke mambo sawa,mlijua kula na kuharibu ila kutengeneza hamjui kitu .
Shirika lipi la serikali limezorota ilhali Dart tuu hapo tumepata,TRA faida,Watalii wanamiminika,miradi kila Kona pesa ipo ..
Propaganda za kijinga tulishazika Chato
View attachment 2103265
View attachment 2103268
View attachment 2103269
View attachment 2103271
View attachment 2103272
View attachment 2103273
View attachment 2103274
View attachment 2103275
View attachment 2103276
View attachment 2103277
View attachment 2103278
SawaYou have been giving overs all along Mombasa has been widening the gap[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wanasema JPM hakufanya kitu.Mjambiani in Lwiva voice [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo ni departmental train on MGR vitu vidogo kama hivyo hatutangazitangazi sana.Good afternoon ladies and gentlemen
View attachment 2102605
View attachment 2102606
View attachment 2102607
View attachment 2102608
View attachment 2102614