Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunatakiwa tupige kelele wasije kutuletea mabomu ya nyuklia kwenye SGR mana washaanza upumbavu.
hivyo vichwa viliagizwa chini ya Magufuli msitake kusingizia ati mama! Hivyo sogeza na vile vingine vyote vinatoka Malaysia! Na actually subirini seal itolewe vichwa ni vya kisasa!
 
na baadooooo...... mtajua hamjui.!. suluhu ako na suluhu kamili kwa watanganyika wote. suprises ka hizi inamfanya awe maarufu ata zaidi.. inadhiirisha kua yeye ni mama mwenye bidii sana..
huyu mama nampenda, ata ntampigia kura, zamu ya uchaguzi ukifika..

(anyway msikonde.. ivo tu ndo kunaendaga, mtazoea tu)
Mnampenda akifanya mambo ya hovyo, akisema SGR itafika DRC mnasema Tanzania inajitutumua kufanya miradi isio na uwezo nayo 🚮🚮🚮🚮
 
hivyo vichwa viliagizwa chini ya Magufuli msitake kusingizia ati mama! Hivyo sogeza na vile vingine vyote vinatoka Malaysia! Na actually subirini seal itolewe vichwa ni vya kisasa!
Hatuangalii usasa pekeake bali pia efficiency.
EFFICIENCY yake kubwa kuvuta mabehewa 35 mpk 40 tena ya mizigo siyo uwezo wa kitoto.
 
Acha tu nchekeee kwa utahiraaa huu ,soon tutakuw n mimba za kutoshaaa
Ni upumbavu huu mkuu, WB imetoa pesa ya kutosha, wangeteneza policy hawa watoto wajengewe shule za mabweni kwenye kanda tofauti Tanzania sababu hata hivyo hawapo wengi kivile

Anaetoka kanda ya ziwa akasome kanda ya Southern Highlands na nyingine hivyo hivyo ili huyu mama awapo shuleni afikirie ya shule tu, akiwa anasoma na watoto darasani hivi au hata akimuacha nyumbani bado akirudi atakua na majukumu kama ya mtu mzima, ule muda wa kufuatilia masomo lazima utofautiane na wanafunzi wa kawaida

Baada ya kujifungua wapewe mwaka mmoja wa kulelea wanao kisha baada ya hapo watoto waachiwe ndugu huyo mama apangiwe shule ya mbali ya bweni, akisoma hizo shule za kata akirudi nyumbani amuhudumie mtoto mara mtoto anaumwa lazima atadodge au kalazwa lazima atalala nae hospital

Hapo bado negative impact kwa yeye kusoma na hao wanafunzi wa kawaida 🚮🚮🚮

Mwanafunzi wa kuhurumiwa ni aliebakwa tu, hawa wengine waliyataka wenyewe na lazima watayatafuta tu sababu wanajua utamu wake.
 
Ila hata kama ni mgr hapo kuna sera za kula urefu wa kamba za mama samia na mzee wa msoga
Ndugu yangu muda umefika sas wakuhamia jukwaa la siasa.. naona umeachana na lengo la huu uzi we unajadili siasa tu
 



FKdPoZoWQAAoyy7
 
Wacha upuuzi nawe kwahiyo unataka kusema procurement ilifanywa wakati wa Samia na si Magufuli? BTW hivyo ni vichwa sogeza!

Wacha upuuzi nawe kwahiyo unataka kusema procurement ilifanywa wakati wa Samia na si Magufuli? BTW hivyo ni vichwa sogeza!
Acha upimbi,vya Magufuli hivi hapa
FEdTG6ZXMAML0QL (1).jpg

Hivyo vilivyokuja ni vyenu na mama yenu !
 
Hili eneo linaenda Kuchallenge pale Maeneo ya Mlimani city na ile Tower ya Blue.

Hapa pembeni inapigwa GPR ( Golden Premiere Residence) ambayo pia ujezi wake ulisimama sambamba na huu mradi.
Hapo niwapi mzee
 
T
na baadooooo...... mtajua hamjui.!. suluhu ako na suluhu kamili kwa watanganyika wote. suprises ka hizi inamfanya awe maarufu ata zaidi.. inadhiirisha kua yeye ni mama mwenye bidii sana..
huyu mama nampenda, ata ntampigia kura, zamu ya uchaguzi ukifika..

(anyway msikonde.. ivo tu ndo kunaendaga, mtazoea tu)
Tatajua hatujui wapi wewe izo behewa za mgr zetu zisikupe kiburi mtatiii tuu treni za umeme zikifika
 
Back
Top Bottom