Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tunakula robo ya iyo keki sio mbaya
Ukifatilia mgawanyo Tanzania tunakula zaidi, tutachopata na tulichowekeza ndio kinafanya Tanzania iwe mnufaika mkubwa kuliko Uganda, yeye mafuta ni yake na pia mtaji wake kwenye project ni mkubwa

Tanzania sisi chetu ni ardhi tu na bandari na kwenye mradi hivi vitu sio kama mafuta ya mganda ambayo yatafika kikomo someday, sisi bado tutakuwa na uwezo wa kupokea mafuta ya Sudan au DRC na kuendelea kupokea fees
 
Wewe jamaa ni punguani kabisa huoni unamtukana hadi mamaako mzazi.Aliyekulea ww mshikaji alipata taabu sana inabidi tumtafute tujue shida ilikua kwake au wewe umejifunza tabia za ovyo mwenyewe.Mtu kichwa chako chote kimejaa matusi.Ni shida Sana aisee
Wenyewe ndiyo wanajisifu hivyo siyo mimi
 
Leo mnajitia waungwana, mbona SGR dume letu linabeba double stack na bado mnaliponda..au vile leo yamewafika nyinyi
Hiyo ni sgr iliyo tumia .abilioni ya pesa uwezi linganisha na mgr ,tena nimefarijika baada ya Geza Ulole kusema hivyo vichwa ni kazi ya magufuli kwa sababu mimi nina imani na magufuli ni mzalenso wa kweli hawezi kutuletea upuuzi ,kama ni kazi ya jpm hivyo vichwa ni perfect perfect perfect
 
Oya mbona imefutwa ni kitu gani hiyo tweet
B6CFC8C6-F800-4281-9274-88F0E7910D43.jpeg
 
Haya matapishi jipake upendeze fala wewe..

JK alijenga uchumi mzuri Sana kwa wananchi na ndio Rais Samia anafuata nyayo.

Nenda ofisi yeyote ya Serikali uliza kama kuna shida ya flow ya pesa kwa sasa kama enzi za nyie washamba
Magufulu katutoa uchumi wa chini hadi wa kati kwa miaka 4 tu ,huyo kikwete mzee wa iptl na escow na majenereta nani ana mtambua tupa kwa chooo
 
Am in shock, mbona Judge Juma anamuongelea Magufuli kwa mapana hivi na kwa namna chanya kiasi hiki? Ndio kiongozi mkubwa wa kwanza awamu hii kumuongelea Magufuli namna hii kwa seconds zaidi ya 20.

Kumbe pia Magufuli alikua na mpango wa kulihamisha Bunge? Dah mzee kweli alikua mjenzi.
Kwa hiyo ulitaka amuongelee vipi ?
 
Hiyo ni sgr iliyo tumia .abilioni ya pesa uwezi linganisha na mgr ,tena nimefarijika baada ya Geza Ulole kusema hivyo vichwa ni kazi ya magufuli kwa sababu mimi nina imani na magufuli ni mzalenso wa kweli hawezi kutuletea upuuzi ,kama ni kazi ya jpm hivyo vichwa ni perfect perfect perfect
Hehehe!!kwhyo kununua kichwa sura mbaya kinachobeba double stack ni mbaya
 
Back
Top Bottom