Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

T

Tatajua hatujui wapi wewe izo behewa za mgr zetu zisikupe kiburi mtatiii tuu treni za umeme zikifika
enway tungonje tu baći tuone.. usishangae tena kupigwa na bonge la li suprise kama hili hapa la mgr! 😳😳💥. kwani mta do.?!.. nothing!

i luv suluhu
 
FB_IMG_16437041859088780.jpg
 
enway tungonje tu baći tuone.. usishangae tena kupigwa na bonge la li suprise kama hili hapa la mgr!
Mnapenda kuongelea kuhusu reli wakati hamjui chochote kuhusu reli na rolling stocks. Hivyo vichwa ni vya ufundi kwaajili ya maintenance na repair ya reli ya MGR. Kama somo limeingia sasa lete vichwa vyenu vya engineering tena usilete vya MGR bali leta vya SGR tucheke kidogo.
 
Mnapenda kuongelea kuhusu reli wakati hamjui chochote kuhusu reli na rolling stocks. Hivyo vichwa ni vya ufundi kwaajili ya maintenance na repair ya reli ya MGR. Kama somo limeingia sasa lete vichwa vyenu vya engineering tena usilete vya MGR bali leta vya SGR tucheke kidogo.
la passenger....
mmamayo!

IMG-20210321191244.jpg
 
Mnapenda kuongelea kuhusu reli wakati hamjui chochote kuhusu reli na rolling stocks. Hivyo vichwa ni vya ufundi kwaajili ya maintenance na repair ya reli ya MGR. Kama somo limeingia sasa lete vichwa vyenu vya engineering tena usilete vya MGR bali leta vya SGR tucheke kidogo.
unataka kuanika kende za mtu hadharani! Sidhani kama wana multi function vehicle (MFV) Mchina alisahau kwa package! Let him prove us wrong! Nime-google sijaona!

CC: dyfre leta MFV yenyu tuone kwa hiyo SGR Kunyaland!
 
Ujasikia kuwa hivyo siyo vichwa vya kawaida vinakazi katika kuweka reli sawa
Leo utakwepa mpka basi, imekuaje na nyie leo mumeanza kuoenda vichwa sura mbaya..
Tena hilo lenu ni tungi kweli, liwe la nini au la nini bado ni tungi tu...
Halina tofauti na tungi la gongo
 
hivi mpo serious kabisa hii ni kwaajili ya matengenezo ya reli ni technical train au tnaeza sema ni Gari la gereji

kama mnajichekesha ili to suit your ego then fine
waambie na wenzio akna the best na lwiva
Geza kasema

Geza Ulole hawa jamaa huaga wanakuchukia lkn bado wanatembelea nyota yako..

Hata km lkn, ndio lifanane na bomu la heroshima
 








MY TAKE
hawa jamaa tunachapa kama tunavyotaka yaani hapa EACOP is confirmed huku SGR imebaki lot1 kufika Mwanza tena inatangazwa February hii! Huku kukiwa na lot mbili zaidi za SGR zikitangazwa mwaka huu! Tabora-Uvinza-Kigoma na Uvinza-Msongati-Gitega! Waombe Mungu wasipate machafuko hapo August kwenye chaguzi zao!
 
Mbona haya mabasi yenyewe ya BYD mmeimport kutoka China. Kuna nini chenu hapo zaidi za kuandika hayo maandishi ya Hiyo Start up

BYD is the Chinese company and is the world largest Electric Vehicle Manufacturer. Angalia duniani kote wanaotumia electric Buses nyingi wameuziwa na BYD

View attachment 2100419
View attachment 2100420


Nyie Bus lenu hili hapa chini na mnatakiwa mfanye mambo kwenye upande wa Design
Hili ndio labda mjipongeze mmefabricate wenyewe.


View attachment 2100424
hawana jipya hao,tuendelee kuwaenjoy tu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Najua itauma lakini huu ndio ukweli,
Hii treni ni kizamani Sana, hata kama ni MGR, naomba tulinganishe MGR ya Magufuli na huyu mama.

Magufuli
View attachment 2103212


Samia
View attachment 2103213

Tuliwacheka wakenya sasa ni zamu Yao kutucheka. Hata sasa sina Imani na aina za treni SGR kama tulizoambiwa na Magufuli ndo zitakuja. Nilisema tokea Mwanzo,huyu mama sio kabisa,Ila kuna wajinga wengi humu hawanielewi. Time will tell!
Brother hiyo chini ni treni ya matengenezo ya reli. Kigumu kuelewa ni nini hapo? ?
 
Back
Top Bottom