Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

vingekuwa vizur sifa angepewa mama, kwa kuwa vinaonekana vibaya lawama zote kwa marehemu
hiv vya SGR sifa atapewa nani? bila shaka itakuwa ni “mama anaupiga mwingi”

kuna jamaa opportunity cost hajatoa maelezo yoyote kuhusu hivyo vichwa.. kanywea balaa ..
Namchora tu, anaonekana hata hamu hana, unajua jamaa anajitesa bure kujifanya kumkubali rais wa sasa kisa tu ana chuki na mtangulizi wake, anajipa tabu bure
 
We mkenya ni fala wa kupindukia.
DAILY NANUNUA SUKARI ROBO 650 NUSU 1300 KILO 2600.
UKIISHI MAENEO KARIBIA NAI VIWANDA VYA SUKARI KILO MPK 1800 YA SUKARI MATHALAN KILOMBERO.
Hahaha!!kwhyo unaleta bei ya sukari za kupimiana mitaani sio
Hata hyo bei uliyoitaja bado iko juu kw kenya mzee
 
leo nimepitapita huku kucheck hii barabara ilivyo, sikuwah kupita huku.. kupo vizur
IMG_4514.jpg

IMG_4515.jpg

IMG_4516.jpg

IMG_4517.jpg

IMG_4521.jpg

IMG_4520.jpg

IMG_4523.jpg

IMG_4519.jpg
 
Back
Top Bottom