Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
GDP ya Kenya ni ya makaratasi lakini statistics zote lazima tuwanyoe. 😂😂😂😂
That's a gap of 1B dollars.
GDP ya Kenya ni ya makaratasi lakini statistics zote lazima tuwanyoe. 😂😂😂😂
City gani dwarf namna hii...hii ni small town tuit's been long highlighting the recently inaugurated 4th city View attachment 2065914View attachment 2065915View attachment 2065928View attachment 2065917View attachment 2065918View attachment 2065985View attachment 2065982View attachment 2065920View attachment 2065921View attachment 2065922View attachment 2065923
We jamaa story story tu hupendi factsHapa ulituongopea sana mzee, US ako na 4.3m+ roads km while China iko na 4.9m+ roads km .. tukija kwenye high speed railways China ako na 139,000 km 2019 report says while US has 0 km .. alafu mimi sioni sababu ya kutaja taifa zima mana US itaishia kupata aibu tu .. tuzungumzie hii miji miwili tu kwenye eneo lolote we unahisi Chicago anaizidi Chengdu nitakuletea majibu tofauti.. nilijaribu kuifuatilia hii miji kwa undani kidogo na ndio maana sikuchagua kulinganisha Chicago na top five cities of China, nikaona angalau nikiishindanisha na Chengdu, italeta maana kidogo
Huu ni ukweli wanashindia majungu,umbea,kubishana mipira ,kupigiana miti na udaku..Nilichogundua katika interactions zangu na watanzania wengi ni kuwa asilimia ya kutisha ya watanzania wako misinformed Na pia hawana awareness ya kutosha ya mambo mengi ya dunia na ulimwengu Kwa ujumla.
It’s not my fault that you won’t accept the truth. Hivyo nitukane uwezavyo, lakini ukweli umeshaujua.
Kwahyo iyo 9.9% ni ya quarter 1 sio average ya mwaka mzima sasa nn kinakupa homa?A certain country is still growing at a rate of 4% and they are dreaming to surpass Kenya economically.
Njia rahisi ni kumuunga mkono SSH kwenye kukuza uchumi kwa njia ya kutafuta investors kokote.2022 hii wakuu. Kuna vitu inabidi tukubali tupambane kuvibadili. GDP ya Kenya iko juu kuliko yetu, tupambane tuwashinde kukataa haibadilishi kitu.
Nyinyi hiyo quater 1 mmegrow na ngapi?Kwahyo iyo 9.9% ni ya quarter 1 sio average ya mwaka mzima sasa nn kinakupa homa?
Kuwa serious Mzee, uchumi wa Kenya uko diversified Sana , uchumi wa hivi inakuaje hauna strong root?Tatizo la uchumi wa Kenya hauna "strong roots", nikuulize swali dogo tu, tangu tulipowapita katika "tourism revenue" mlishawahi hata kutukaribia tena?.
David Ndii huwa ninamkubali Sana, Kamwe Kenya haiwezi shindana na Tanzania kwa sababu uchumi wa Kenya umejengwa juu ya "very weak foundation".
Mzee Jommo Kenyatta alikumbatia ubepari bila kujua kwamba nchi haina rasilimali za kutosha, kuacha kila mtu ajinyakulie Mali kulingana na nguvu zake wakati hakuna rasilimali za kuwatosheleza watu wote ni Kitendo cha kipuuzi na ubinafsi wa hali ya juu sana(man eat man), Kenya kamwe haiwezi kuwa na uchumi endelevu Wala utulivu wa kisiasa na kijamii.
Maana upo mikononi mwa mabeberu ni kama enjiozi zinazo fadhiriwa na mabeberu ,kwa lugha nyingine uchumi wa kenya hautokani na akili za wanakenya wenyewe bali mabeberuKuwa serious Mzee, uchumi wa Kenya uko diversified Sana , uchumi wa hivi inakuaje hauna strong root?
Sijapata takwimu katika vyanzo sahihi nikipata nitawekaNyinyi hiyo quater 1 mmegrow na ngapi?
Inflation is global issue sio issue ya domestic policies.Hapo hakuna kitu bora asinge ongeza mishahara ila mfumuko wa bei ungebaki kama kipindi cha jpm maana kwa mfumuko wa bei ulivyo inatakiwa mishahara ipandishwe kwa asilimia 40 je kwa akili ya kawaida ya uchumi wa serikali ya sa100 wanao uwezo wa kuongeza mishahara kwa hiyo percent?
Umewahi kuona wapi ukaongeza salary kwa kutegemea Mikopo? Alikwambia nani kwamba kila mfumuko wa bei ni tatizo ni nani?Tatizo watz wengi walio ajiliwa serikalini hawana akili ya kiuchumi ndiyo maana wanadhani kuongeza mishahara ni akili ,ukweli ni tofauti kabisa jpm alikuwa vizuri kwenye uchumi kwa kuzuia mfumuko wa bei badara ya kuongeza mishahara,
Kuhusu mama kuongeza mishahara kwa asilimia 15 ni ndoto, kama ataongeza mishahara basi ni chini ya asilimia 4 tena hiyo hela atategemea mikopo kuongeza
WAHUNI MMEANZA KUSAFIRISHA MAGOGO KWANINI UKAME USIZIDI majuzi nilishuhudia yule panchori kakhn anakata miti kama elfu 90Inflation is global issue sio issue ya domestic policies.
Pia kwa sasa kuna tatizo la ukame bei za vyakula ziko juu na zitapanda.zaidi ,hili nalo sio swala la serikali..
Salary zitapanda na ajira mpya kama kawaida but huwezi ongeza kwa margin unayosema unless ufanye kwa wale wanaopata minimum wage..Uturuki wamefanya hivyo salary imeongezwa kwa 50% but kwa wanaopata kima cha chini Ili kukabiliana na mfumuko wa bei.
Tunasubiria mwezi wa 4 bajeti zikianza tutajua muelekeo wa sera za fedha na watakavhokabiliana ila kwenye mpango wa bajeti waliosema mwezi wa 9 wataongeza salary na ajira mpya.
Wakona kazi ya ziada kufika mahali Kenya iko sahii wachana hata na kutupita.That's a gap of 1B dollars.
Wewe na ndugu yako Mwendazake ni ma layman wa uchumi ndio maana muliharibu Nchi hadi leo hii tunahangaika kwenye growth rate ya 4-5% from 7.2%.Hiyo ni mazuzu wafanyakazi wa serikali awajui kuwa mfumuko wa bei ndiyo kitu muhimu kukidhibiti kuliko kuongeza mishahara ,magu alifanya elimu bure maana yake nikama kupandisha mishahara kwa watz wote mil60
Magogo hayajaanza leo kusafirishwa,wakati mnakata miti mil.3 kule kwenye Bwawa hamkujua mnharibu ikolojia?WAHUNI MMEANZA KUSAFIRISHA MAGOGO KWANINI UKAME USIZIDI majuzi nilishuhudia yule panchori kakhn anakata miti kama elfu 90
Du magufuli alikuwa chuma chuma kweli kweli cheki hiyo grafu
Ndiye aliye tutoa uchumi wa chini hadi kati ndani ya miaka minne tuWewe na ndugu yako Mwendazake ni ma layman wa uchumi ndio maana muliharibu Nchi hadi leo hii tunahangaika kwenye growth rate ya 4-5% from 7.2%.