Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ichogal this is very evil of you, hii gari unajua it was kidnapped by al shabaab waalimu wakauliwa in cold blood from the main road, but your using it to fuel your hate here, wewe na devil worshipper hamna tofauti
Sasa kosa lipo wapi?, Kuna athari gani kwa kuionyesha na faida gani kwa kuzificha?, wacheni kupenda kulialia
 
Hapo hakuna kitu bora asinge ongeza mishahara ila mfumuko wa bei ungebaki kama kipindi cha jpm maana kwa mfumuko wa bei ulivyo inatakiwa mishahara ipandishwe kwa asilimia 40 je kwa akili ya kawaida ya uchumi wa serikali ya sa100 wanao uwezo wa kuongeza mishahara kwa hiyo percent?
Kwa mfumuko wa bei iliopo ni hatari, ukidhibiti mfumuko wa bei unasaidia maisha ya watanzania wote, kupandisha mishahara inagusa watanzania wachache sana wanaofanya kazi serikalini. Na kumbuka mishahara ikipanda ya hao wachache na bei za vitu huwa zinapanda.
Gharama za lot 3 ya sgr ni matokeo ya mfumuko wa bei.
Naomba kuwasilisha
 
Chicago city
DqwmrrWWkAEuXWZ.jpeg.jpg
 
Eti mmarekani mmoja ni sawa na wachina sita: aliskika mlevi mmoja akipiga kelele wamerikani wenyewe in their streets . . Homeless people . . Homeless people in china.? . The streets of china . .. mzee wachana na western propaganda .. vitu kwa ground vinajieleza vyenyewe nani yupo vizuri kimaendeleo kati ya China vs US
Kwani wachina wote wako equal?wacha maneno
 
Waongeze ata kwa 15% inatosha kwa kuanzia
Tatizo watz wengi walio ajiliwa serikalini hawana akili ya kiuchumi ndiyo maana wanadhani kuongeza mishahara ni akili ,ukweli ni tofauti kabisa jpm alikuwa vizuri kwenye uchumi kwa kuzuia mfumuko wa bei badara ya kuongeza mishahara,
Kuhusu mama kuongeza mishahara kwa asilimia 15 ni ndoto, kama ataongeza mishahara basi ni chini ya asilimia 4 tena hiyo hela atategemea mikopo kuongeza
 
Yani US imekua ni kituko cha dunia, mipango ya kujenga California high speed railway with 1287 km, mipango ya tangu mwaka 1996-2008 walipoanza ujenzi na yet hadi leo mchongo bado upo U/C eti ndio ishindane na china 😂😂😂 👇. Naomba kuuliza wajameni hizo utajiri mnataja kumilikiwa na US, hizo pesa Huwa wanazitumia kufanyia nini.? 😂😂😂.. eti bros Tony254 The best 007 ichoboy01
 
Tatizo watz wengi walio ajiliwa serikalini hawana akili ya kiuchumi ndiyo maana wanadhani kuongeza mishahara ni akili ,ukweli ni tofauti kabisa jpm alikuwa vizuri kwenye uchumi kwa kuzuia mfumuko wa bei badara ya kuongeza mishahara,
Kuhusu mama kuongeza mishahara kwa asilimia 15 ni ndoto, kama ataongeza mishahara basi ni chini ya asilimia 4 tena hiyo hela atategemea mikopo kuongeza
Hivi sababu kubwa ya mfumuko wa Bei ni kuongeza mishahara ya wafanyakazi wasiozidi 100000 katika nchi ya watu 50M?
 
Tatizo watz wengi walio ajiliwa serikalini hawana akili ya kiuchumi ndiyo maana wanadhani kuongeza mishahara ni akili ,ukweli ni tofauti kabisa jpm alikuwa vizuri kwenye uchumi kwa kuzuia mfumuko wa bei badara ya kuongeza mishahara,
Kuhusu mama kuongeza mishahara kwa asilimia 15 ni ndoto, kama ataongeza mishahara basi ni chini ya asilimia 4 tena hiyo hela atategemea mikopo kuongeza
4% ndio nn sasa watu wengine bana
 
Kwa mfumuko wa bei iliopo ni hatari, ukidhibiti mfumuko wa bei unasaidia maisha ya watanzania wote, kupandisha mishahara inagusa watanzania wachache sana wanaofanya kazi serikalini. Na kumbuka mishahara ikipanda ya hao wachache na bei za vitu huwa zinapanda.
Gharama za lot 3 ya sgr ni matokeo ya mfumuko wa bei.
Naomba kuwasilisha
Vitu vinapanda kila siku hv kwavile jpm aliwaongopea na nyie mkaona ni sahihi kutopandisha salary...kila kitu kwasababu zake...eti usipandishe salary kisa unazuia inflation huu ni ufala wakumbuambia layman tu ndio atakuelewa
 
Kwani wachina wote wako equal?wacha maneno
70% of pp in China ar living in the cities, hii ni sawa na mara tatu ya wamarekani wote nchi nzima mjini na vijijini.. unataka kuona vijiji vya China .? . . . . Hizi zingekua kwa jirani hapo kaskazini zingekua ni rich people's neighborhoods 😂😂😂 au areas where middle class ar living 😂😂.. na hii ni 30% ya watu wa vijijini huko china. Huna facts kaa kimya
 
One thing mnasahau wamarekani ni 300+M na wana gdp ya $21trillions while china wako 1.4b na wanagdp ya $15trillions tofauti ni kubwa sana tena sana yani mmarekani mmoja ni sawa na wachina sita kiuchumi.

Ili china iwe super power inahitaji kua na uchumi ×7 ya state ilipo sasa yani wawe na gdp ya atleast $105 trillions vs USA $21trillions...sasa bado wanamiaka mingi kufika uko...kumbuka states wanayo technology na most of world leading billionaires are residing in states
Wacha tumuelimishe ndugu yetu Sama boy 255 kwamba China versus USA ni kama Nigeria versus South Africa. Yaani tunachofanya ni kulinganisha nchi mbili ambazo zina uchumi ambazo zina ukubwa takriban sawa ila nchi moja ina population kubwa mara nne ya nyingine. South Africa wana watu 60 million wakati Nigeria wana watu 200 million. Vile vile China ina watu 1.2 billion wakati Marekani ina watu 300 million. Kwangu nachagua Marekani na South Africa kwa sababu wana uchumi mkubwa licha ya kuwa na population ndogo.
 
You have to check out your facts bro.. buildings with 150 metres in china are more than 2669 while US has about 843 buildings, na top Three list ya miji yenye majengo marefu yenye 150m+ in the world :-
1. Hong Kong- 517 buildings
2. Shenzhen- 340 buildings
3. New York- 298 buildings

NB: usisahau kwamba china Iko na 130 cities na pia China sio stagnant kama US...

Owky turudi kwa CHENGDU na CHICAGO, nimefanya research zangu na nikadundua CHENGDU inaiacha mbali sana Chicago kwenye maeneo yafuatayo

1. Subways (hapa ndio hata siwezi linganisha mana US ni vichekesho)

2. Airports (chengdu Old terminus handles about 55m passengers annually, and the new terminus, Chengdu Sichuan international airport is expected to handle more than 100m passengers annually while Chicago O'HARE international airport handles about 30m+ passengers annually)

3. High speed train (hapa napo ni hatari kwakweli, Chengdu beats Chicago hands down)

4. Roads infrastructures (chengdu wins)

5. quality of living (chengdu wins)

6. Innovation (chengdu wins)

7. Peace and security (chengdu wins)

8. Poverty eradication (chengdu wins)

9. Production (chengdu city has a lot of manufacturing companies including car manufacturing company (Volvo) which has annual sales revenue of about 40b+ 2020 report says while the biggest manufacturing company in Chicago (Sciaky, Inc) has about 249.9m sales revenue annually 1/1/2022 report says

10. Science and technology (chengdu wins)

Usisahau CHENGDU ni mji wa sita kwa maendeleo china while Chicago ni mji wa tatu kwa maendeleo China.. and that's why nasemaga US is nothing compared to China likija suala la maendeleo


Kwako wewe sasa unaona Chicago inaizidi chengdu kwenye maeneo yepi.? Uniaminishe mimi kwamba Chicago ni better than chengdu ..nipe facts bro nasubiri
Hapo number 5 quality of living Chicago amempiga Chengdu vibaya mno. Quality of living tunazingatia kipato cha wananchi na Mmarekani mmoja on average anapata kipato mara tano ya Mchina. Gni per capita ya Mchina ni $9,000 wakati Gni per capita ya Mmarekani ni zaidi ya $50,000. Kipato cha mtu anayeishi Chicago kwa wastani ni mkubwa sana kushinda kipato cha mtu anayeishi Chengdu
 
Wanaobishana eti china ina uchumi kubwa kuliko usa;
Over 70% of the world's dollar billionaires are based in the US. Also 65% of the world's top 100 companies are US companies.
responsive_medium_webp_sbEenlFsWigvjvl4eP-QRQ2pegomEuShN7z1A5UbEFM.jpeg

US ni level nyingine kabisa
 
Back
Top Bottom