Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🚮 Kuna kuongea na kujamba, hapa umejamba
Nilichogundua katika interactions zangu na watanzania wengi ni kuwa asilimia ya kutisha ya watanzania wako misinformed Na pia hawana awareness ya kutosha ya mambo mengi ya dunia na ulimwengu Kwa ujumla.

It’s not my fault that you won’t accept the truth. Hivyo nitukane uwezavyo, lakini ukweli umeshaujua.
 
Ila mzungu mtu mbaya sana yani NK eti iko na GDP ndogo kuliko Kenya 😂😂😂👇
1_Ryomyong-Street_CNN-17-0412.jpg
6ae3b62354134d12ba058d48b8a08f0e_18.jpg
GettyImages-608641166.jpg
north-korea-4386848_1920.jpg
ea0858e2d6cb04bd724bad2b8969555b.jpg
housing-development.jpg
NKFactSheets.jpg
north-korea-military-parade1-gty-mem-180208_16x9_992.jpg
parade-kim-il-sung-square.jpg
885ceeedf3dbb10bfebd5100452a6623.jpg
we all East Africans dreaming of havig this level of development .. mzungu bhana ..GDP ni propaganda tu
 
Mzee Walker255 china ako na entire world in the country 👇. We unazungumzia makazi ya watu na maendeleo sehemu moja moja za US na dunia 😂😂, na bado China ako na majiji makubwa ambayo sio maarufu duniani 👇. . Halafu unakuja kuzungumzia eti US kuna maendeleo 😂😂😂 u must be crazy..

Lord, please grant me humility to deal with ignorant people. Amen.
BCE5DC98-7760-4169-9237-89D0F46B809C.jpeg



Kwa hiyo argument yako nzima ni majengo?
 
Ila mzungu mtu mbaya sana yani NK eti iko na GDP ndogo kuliko Kenya View attachment 2064222View attachment 2064223View attachment 2064224View attachment 2064226View attachment 2064227View attachment 2064228View attachment 2064229View attachment 2064230View attachment 2064231View attachment 2064232we all East Africans dreaming of havig this level of development .. mzungu bhana ..GDP ni propaganda tu

Sio Kenya yote, Yaani GDP ya DPRK ni ndogo Mara Tano ya Kenya. Na ni ndogo kuliko GDP ya Nairobi. Jionee tofauti
 
Ila mzungu mtu mbaya sana yani NK eti iko na GDP ndogo kuliko Kenya 😂😂😂👇View attachment 2064222View attachment 2064223View attachment 2064224View attachment 2064226View attachment 2064227View attachment 2064228View attachment 2064229View attachment 2064230View attachment 2064231View attachment 2064232we all East Africans dreaming of havig this level of development .. mzungu bhana ..GDP ni propaganda tu
Ungekuwa Una ufahamu wa kutosha wa suala hili usingeleta picha za majengo na nuclear warheads. GDP ni thamani ya goods and services produced in a country over a year. Jiulize North Korea inazalisha goods na services zipi na ina-export wapi? Na trade partners wa North Korea ni Akina nani? Na foreign investments North Korea ni zipi (if they even exist) then utagundua kuwa uchumi wao ni mdogo sana. Hizi picha hazimaanishi kitu chochote. Ni facade tu! Tafadhali elimika!
 
Ungekuwa Una ufahamu wa kutosha wa suala hili usingeleta picha za majengo na nuclear warheads. GDP ni thamani ya goods and services produced in a country over a year. Jiulize North Korea inazalisha goods na services zipi na ina-export wapi? Na trade partners wa North Korea ni Akina nani? Na foreign investments North Korea ni zipi (if they even exist) then utagundua kuwa uchumi wao ni mdogo sana. Hizi picha hazimaanishi kitu chochote. Ni facade tu! Tafadhali elimika!
I have realized that most of these people don't even know the meaning of the word GDP itself. Kazi ni kuongea tu pasi na uelewa. They are ignorant about parameters used in calculating GDP. Wao wakishaona majengo marefu baas! Ignorance is such a bad thing!
 
Nilichogundua katika interactions zangu na watanzania wengi ni kuwa asilimia ya kutisha ya watanzania wako misinformed Na pia hawana awareness ya kutosha ya mambo mengi ya dunia na ulimwengu Kwa ujumla.

It’s not my fault that you won’t accept the truth. Hivyo nitukane uwezavyo, lakini ukweli umeshaujua.
Mzee wewe ndio upo misinformed, huna research za kutosha kutetea jambo unaling'ang'azia .. for example this is chengdu 👇
chengdu_china_1640961499026532.jpg
chengdu_china_1640961499026810.jpg
chengdu_china_1640963339282228.jpg
chengdu_china_16409647614057.jpg
chengdu_china_1640964847410592.jpg
chengdu_china_1640963407471754.jpg
chengdu_china_16409635102032.jpg
chengdu_china_1640963233353964.jpg
chengdu_china_1640963233353944.jpg
chengdu_china_1640963233354298.jpg
chengdu_china_1640963233354126.jpg
chengdu_china_1640963182379902.jpg
chengdu_china_1640964944432391.jpg
chengdu_china_1640964886583198.jpg
chengdu_china_1640964797462194.jpg
chengdu_china_164096153987279.jpg
chengdu_china_1640961539872813.jpg
hii CHENGDU sio hata miongoni mwa majiji tajiri ya China, it has population of of 10m+ pp, kwa US labda uiweke Chicago mji wa pili kwa kuwa na high rises nyingi the city of 2.7m pp, lakini pia Chicago haiwez toboa kwa CHENGDU. US is no where close to China bro tukizungumza maendeleo .. fatilia mambo bro Ooh, dunia inakuacha lala tu hapo ukiendelea kuwaza eti marekani wapo vizur kuliko China 😂😂😂.. NB: achana na western propaganda mzee
 
Ungekuwa Una ufahamu wa kutosha wa suala hili usingeleta picha za majengo na nuclear warheads. GDP ni thamani ya goods and services produced in a country over a year. Jiulize North Korea inazalisha goods na services zipi na ina-export wapi? Na trade partners wa North Korea ni Akina nani? Na foreign investments North Korea ni zipi (if they even exist) then utagundua kuwa uchumi wao ni mdogo sana. Hizi picha hazimaanishi kitu chochote. Ni facade tu! Tafadhali elimika!
Mzee Acha kuwa mpumbavu wewe jamaa pitia hii 👇
Screenshot_20211231-200702_1.jpg
tukianzia hapa ☝️kwenye suala la GDP kwanza , we unafkiri kenya anamzidi wapi hapo NK .? 😂😂😂 Ila wewe ni fala sana wewe
 
I have realized that most of these people don't even know the meaning of the word GDP itself. Kazi ni kuongea tu pasi na uelewa. They are ignorant about parameters used in calculating GDP. Wao wakishaona majengo marefu baas! Ignorance is such a bad thing!
Acha kuwa mpumbavu kwa wewe hapa 👇
Screenshot_20211231-200702_1.jpg
heb nieleze nini mnaizidi korea.?
 
Lord, please grant me humility to deal with ignorant people. Amen.
View attachment 2064238


Kwa hiyo argument yako nzima ni majengo?
Sidhani kama zile videos uliziangalia 😂😂😂 we jamaa haupo vizuri upstairs, kwahyo wew umeona majengo tu.? Ni kikuuliza what is development utakuja na majibu yapi.? .. heb ngoja kidogo pitia hizi videos uangalie kimeelezwa kila kitu kuhusu maendeleo humu 👇chines e unknown Cities . . Chinese copycat cities 👇. .. naomba uje na majibu, kama kila kilichotajwa hapo kwa hizo videos sio maendeleo, then what is the meaning of development .? Ulihudhuria darasani kweli wewe.? 😂😂😂😂, Tz iko na vilaza hii ..
 
I have realized that most of these people don't even know the meaning of the word GDP itself. Kazi ni kuongea tu pasi na uelewa. They are ignorant about parameters used in calculating GDP. Wao wakishaona majengo marefu baas! Ignorance is such a bad thing!
😂😂😂😂😂, Ila wakenya ukiwa against na upuuzi wao tu, unakua ignorant 😂😂😂, acha kuwa mpumbavu wewe .. hata roads markings ni indicator of development, sio majengo tu, tunabishana hapa kila siku kuhusu skyline ya NAIROBI vs DAR .? Barabara na reli je.? Apartments je.? au umesahau juzi tu wewe ulileta mada ya NMT Kati ya chuga na Kipoison .? Those are indicators of development, na ndio maana tunajadili hapa .. and kwa those aspects NK yupo vizuri ukilinganisha na nyinyi mnakopa/muingie mikataba ya hovyo ili muanze kujenga hivyo vitu now, fala wewe ..
 
Goods and services produced : Cement, Construction materials, Labor iliyotumika wakati wa ujenzi majengo na infrastructure zote hizo, Hazina impact kwenye GDP? Kuna Nchi GDP yao inabebwa na ujenzi , leo hii mnachukulia ujenzi poa Mbona mnachagua vinavyowafaa
 
Back
Top Bottom